Naelewa vizuri maudhui ya blog ya Michuzi, kuna mtu alieleza kuwa dissapointed na Clouds FM kuhusu kuiita Oval Office "Overhaul Office" mimi nikawa wa kwanza kusema kwamba kutegemea seriousness kutoka Clouds FM ni sawa na kutegemea seriousness kutoka kwa Michuzi, kwa hiyo mimi naelewa maudhui ya blog ya Michuzi, ndiyo maana nikamwita clown.
Kisichoeleweka na wengi ni kwamba katika kujitia u clown Michuzi (which is just a mask for his ignorance, Mzee Jongo style) Michuzi safari hii kasema ukweli bila kukusudia, kwa hiyo Freudian slip ya kusema anaenda vacation, ni kweli rais Kikwete akienda nje largely anaenda vacation, lakini ukweli huu unakuwa choreographed na PR nyingi aonekane anafanya kazi, sasa safari hii mpiga picha wake mwenyewe kateleza ulimi na kureveal kwamba huko hamna chochote zaidi ya vacation, which is the truth.
Unaweza kuniambia Kikwete kafanya kitu gani huko cha maana? Kukutana na hao ma doctors na kijiaward chao mshenzi? Umesoma article ya NYT kuhusu afya za kinamama wanaojifungua katika hali mbaya Tanzania?
Ona hapa
https://www.jamiiforums.com/habari-...-tanzania-where-life-s-start-deadly-risk.html
Rais wa nchi kama hii anastahili award? Kitu gani, kukutana na Obama na kuendeleza uomba omba?
Pleeease!
Wanaenda vacation tu, na big mouth Michuzi ka expose hilo kwa wale wagumu wa kuelewa, sijui mnataka sign kutoka mbinguni ndiyo muelewe, na naona hata hiyo mta i doubt.