''....... Ninamwona raisi jakaya pale ambapo kuna tukio zuri la kihistoria huinua juu macho yake kule nyuma ishara ya kumkumbusha anko michuzi asiache kuchukua snap. ....
Posho atazopata zitamsaidia tuza hawa wake zake
Usiniambie rais wetu anashughulikia mambo madogomadogo kama haya ya kusimamia upigaji picha!
wewe unaonekana mtoto wa leo ..hebu kwanza kakojoe ulale ukue....Michuzi kaanza kupiga picha kwanza sio hizo za buku buku ...kaanzia kupiga picha kwenye kumbi za disko hapo darisalama kwa wazee wazamani Mbowe, YMCA na Ushirika Club au Maggot huko ndo Michuzi kapata kaujuzi kakupiga picha za mia mbili mbili na alikuwa amepanga chumba kipawa......baadae akajoin kwenye magazeti ya Daily News....kiukweli jamaa ni mhangaikaji I SALUTE HIM AMETOKA MBALI....HARDWORK PAYS.....KUDOS MICHUZI.
Kutesa kwa zamu
Sasa kwanini hii hukui-post kule kwake? si ungempongezea mule mule? au unasemaje.
Posho atazopata zitamsaidia tuza hawa wake zake
Usiniambie rais wetu anashughulikia mambo madogomadogo kama haya ya kusimamia upigaji picha!
Acha kujitoa akili wewe rais kumuita mpga pcha wake wa karbu si kosa ata obama anafanya usjitoe ufaham
wewe unaonekana mtoto wa leo ..hebu kwanza kakojoe ulale ukue....Michuzi kaanza kupiga picha kwanza sio hizo za buku buku ...kaanzia kupiga picha kwenye kumbi za disko hapo darisalama kwa wazee wazamani Mbowe, YMCA na Ushirika Club au Maggot huko ndo Michuzi kapata kaujuzi kakupiga picha za mia mbili mbili na alikuwa amepanga chumba kipawa......baadae akajoin kwenye magazeti ya Daily News....kiukweli jamaa ni mhangaikaji I SALUTE HIM AMETOKA MBALI....HARDWORK PAYS.....KUDOS MICHUZI.
wewe unaonekana mtoto wa leo ..hebu kwanza kakojoe ulale ukue....Michuzi kaanza kupiga picha kwanza sio hizo za buku buku ...kaanzia kupiga picha kwenye kumbi za disko hapo darisalama kwa wazee wazamani Mbowe, YMCA na Ushirika Club au Maggot huko ndo Michuzi kapata kaujuzi kakupiga picha za mia mbili mbili na alikuwa amepanga chumba kipawa......baadae akajoin kwenye magazeti ya Daily News....kiukweli jamaa ni mhangaikaji I SALUTE HIM AMETOKA MBALI....HARDWORK PAYS.....KUDOS MICHUZI.