Issue ya Masogange, Uwoya amlipua Wema

poleni wazazi, nimepitiliza ku type, no hard feelings....umbea uendeleeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usikondeee....dam dam
 
Nayeye irene akamatwe basi
 
Hujajibu swali langu kuhusu pia Wema kuongelea Masogange na Makonda.
Inaweza kuwa kweli, masogange kutoka na makonda, pia inaweza kuwa kweli masogange alibeba madawa ya kulevya SA na issue yake kuzimwa, issue hapa sio kama namtetea masogange sio punda, bali hii issue yake ilizimwa kitambo, sasa baada ya wema kumtaja masogange akawa ameifufua, maana kuna kauli alisema kuwa masogange alikamatwa zaidi ya mara tatu.

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
 
aah siku nitawaambia jinsia yangu

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
Wewe hata Ukiwa na dushe ni KE tu..
Hakuna mwanamme wa dizaini hio.. Labda kama na wewe unauza ngada
 

Kama ni kweli kwanini asiadhibiwe kwa kutuharibia watoto, ndugu, jamaa na marafiki zetu?

Tena unasema kisha shikwa "mara tatu"! Huyu si wa kupewa fursa kabisa ya kuishi uraiani. Ni zaidi ya ufisadi aufanyao kwa tamaa.
 
Kuficha uhalifu ni kosa kubwa sana. Mhalifu hata kama ni nduguyo hana wema. Wema alichokifanya kinatakiwa kuigwa na wengine, kama iwapo kuna mtu unamfahamu ni muhusika wa madawa ya kulevya ni vyema ukaitaarifu taasisi husika ili hatua stahiki zichukuliwe. Sasa Wolpa anataka wahalifu wafiche!!? Hapana! Hii inakaribisha jicho la kipekee lielekezwe kwa Wolpa, yawezekana na yeye anahusika.
 
Hujajibu swali langu kuhusu pia Wema kuongelea Masogange na Makonda.
Hio ilikuwa ni kofi.... Kwa nn mwanamke mwenzio anawekwa na muweka ndani unaye mfukoni unashindwa kumsaidia mwenzio... Ngoja nikutaje ili na wewe ukaone Kama ni pazuri.
 
mbona wahusika wanajulikana na wametajwa
 
Kama ni kweli kwanini asiadhibiwe kwa kutuharibia watoto, ndugu, jamaa na marafiki zetu?

Tena unasema kisha shikwa "mara tatu"! Huyu si wa kupewa fursa kabisa ya kuishi uraiani. Ni zaidi ya ufisadi aufanyao kwa tamaa.
wema kashikwa ameadhibiwa? ,akina tunda na rommy jones?lets try to be fair

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
 
Kumbe uwoya upo kama mimi eeh? Wema ni shetani, hafai sana yule ndio maana hazai mwanaizaya huyo mfyuuu.
Warumi mdomo huo mdomo, hautokusaidia na ipo siku utakuhukumu! Utazaa ila watakufa na utabaki mpweke kama huyo unayemuita hazai,kuna vitu vya kuchekana lakini sio kufuru hiyo unayoitoa
 
We ulitaka asikamatwe yeye nani?Kama Manji mwenyewe katajwa itakuwa huyo msingi tako?
 
Kumbe uwoya upo kama mimi eeh? Wema ni shetani, hafai sana yule ndio maana hazai mwanaizaya huyo mfyuuu.
Mie nilijua Wema ana Bipolar disorder kumbe anavuta bange!
Halafu hajajua hatima ya kesi yake ya kukutwa na kipisi cha bangi,ameshaanza kuchonga.Watu watammaliza anaweza kula miaka miwili bila ya fine,
 
Kumbe uwoya upo kama mimi eeh? Wema ni shetani, hafai sana yule ndio maana hazai mwanaizaya huyo mfyuuu.
Mie nilijua Wema ana Bipolar disorder kumbe anavuta bange!
Halafu hajajua hatima ya kesi yake ya kukutwa na kipisi cha bangi,ameshaanza kuchonga.Watu watammaliza anaweza kula miaka miwili bila ya fine,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…