Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Wewe ni kondoo wa machinjo.Huna akili kama ng'ombe wa Mayele
Kanjibai kaziingiza kwenye biashara ya ubuyu.Mimi ni shabiki wa Simba. Kinachonishangaza issue ya uwanja imekuwa kimya. Tangu mwezi wa 12 mwaka 2022 tunadangaywa tu kuwa maelezo yatatolewa na tutaletewa michoro.
Huu sasa ni uhuni.
Mwezi wa 12 mwaka 2022 bado kufika...Mimi ni shabiki wa Simba. Kinachonishangaza issue ya uwanja imekuwa kimya. Tangu mwezi wa 12 mwaka 2022 tunadangaywa tu kuwa maelezo yatatolewa na tutaletewa michoro.
Huu sasa ni uhuni.
NimerekebishaMwezi wa 12 mwaka 2022 bado kufika...
Wewe umefikaje huko?
Bora mudi anapiga mademu kuna wengine wanakula matter core ya msukule na wacha goats uchwara wasio na elimuDemu wa Mudi kuzuiwa wakademka na Uwanja ili kuyapiga mandondocha ya Makolo
Mimi ni shabiki wa Simba. Kinachonishangaza issue ya uwanja imekuwa kimya. Tangu mwezi wa 12 mwaka 2021 tunadangaywa tu kuwa maelezo yatatolewa na tutaletewa michoro.
Huu sasa ni uhuni.
Mchango umeenda kulipia lotions za msukule mwenye matatizo ya ngozi...next question pleaseHata mrejesho wa michango
Ukiulizia wewe inatosha.Badala ya kuulizia SGR ambayo itakusaidia kufika kijijini kwenu kwa uharaka na kuleta mahindi yako sokoni unahangaika na uwanja wa simba ambao hata haukusaidii
Mimi ni shabiki wa Simba. Kinachonishangaza issue ya uwanja imekuwa kimya. Tangu mwezi wa 12 mwaka 2021 tunadangaywa tu kuwa maelezo yatatolewa na tutaletewa michoro.
Huu sasa ni uhuni.