Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Mimi ni shabiki wa Simba. Kinachonishangaza issue ya uwanja imekuwa kimya. Tangu mwezi wa 12 mwaka 2021 tunadangaywa tu kuwa maelezo yatatolewa na tutaletewa michoro.
Huu sasa ni uhuni.
Huu sasa ni uhuni.