Lung'wecha
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 927
- 574
Thermostat ndiyo zinatolewa kwa sababu mazingira yetu (Tanzani & Africa generally) ni ya joto. Miji mingi ya Japan ina freeze, mf. Nagoya wanakotengeneza hizi gari hali yake ni baridi muda mwingi (10°,11°,12° etc) ndo maana wanaweka thermostat. Changamoto hiki kifaa kinaweza kumisbehave kikaziba na kuzuia Coolant isiende kwenye engine na mpaka ujue tayari ushakaanga cylinder head. Bora kuitoa ili uwe safe zaidi