Car4Sale IST ya 2015 sokoni.

Car4Sale IST ya 2015 sokoni.

Acha wendawazimu wewe, unaposema gari ya 2015 maana yake katika masula ya magari ni mwaka iliyotengenezwa, sio mwaka ilipoingizwa nchini

Kuna terminologies ulizopaswa kuzijua kabla huja post tangazo ndio maana unaona kila mtu anakushangaa
sawa mr Terminologies.
 
image.jpeg
image.jpeg
Chombo kipyaa kipo sokoni,
Bei yake ni 12 million.
Bado ni mpya kabisa, na ina documents zote.
0755155782 kwa mawasiliano zaidi.
Ipo Dar es salaam. View attachment 420053View attachment 420053 View attachment 420054View attachment 420055
Hii mbona sio ya 2015? Au una maanisha wewe uliinunua 2015?
Ya 2015 ni hiyo hapo juu.
 
Wewe ndio uliiagiza japan sijui wapi mwaka 2015 ila kwa kutengenezwa si ya mwaka tajwa...
 
Ha ha ha ha, wabongo nawakubali kwa ujuaji, mleta mada katulizwa, kaelewa na kakoma, hatarudia tena kukurupuka. Biashara hakuna tena ni mwendo wa notices tu, haha [emoji23]
 
Huyu jamaa ni muoongoooooooo.... Ngoja waje labda uongo wako watauelewa.
 
Kubali
Kujifunza ndugu yangu, ujinga sio dhambi! Unapoandika gari ya 2015 ina maana YOM na sio year of importing. Hakuna asie mjinga sehem fulani
 
IST ya 2015 iko hivi?[emoji23] [emoji23] [emoji23]


Labda hili bango ni special kwa wanaume/w'wake wa mikoani...
Usitudharau mkuu, huenda tunajua magari kukuzidi. Kwani huko Dar wote mnamiliki magari?
 
Unamaanisha iliingia bongo mwaka 2015 au ndio mwaka gari kutenezwa maana inaonekana ni ya mwaka 1998 au 2000 hivi.
 
Yaani kupewa udalali wa hiki kimkweche na wewe unataka upatie mtaji humo humo
 
Watanzania wachache sana wananunua magari yaliyotengenezwa kuanzia 2010 na kuendelea, mengi 2005 kurudi nyuma
 
Bila shaka keshajifunza, ila pole ulipokea gari kwa bosi kwa mauzo bila kulijua vizuri, sasa sijui hivi hapa kweli kitumbua bado kipo naona kama vile mchanga umeshakimwagikia, hongera kukwea jukwaaani, darasa umelipata
 
Usitudharau mkuu, huenda tunajua magari kukuzidi. Kwani huko Dar wote mnamiliki magari?
Kwani huko Dar wote mnamiliki magari?

Mkuu hilo swali hapo[emoji115] libadilishe liwe sentensi[emoji85] [emoji85]
 
Ha ha ha ha, wabongo nawakubali kwa ujuaji, mleta mada katulizwa, kaelewa na kakoma, hatarudia tena kukurupuka. Biashara hakuna tena ni mwendo wa notices tu, haha [emoji23]
biashara inaendelea kuna nyingine zimepostiwa,
wasiwasi wako tu.
 
kununua hamnunui kelele nyingi,
wanunuzi wanakuja kimya kimya.
Biashara it's all about creativity..
nisingeandika hivi mngekuja kucomment wapi?
 
Back
Top Bottom