sawa mr Terminologies.Acha wendawazimu wewe, unaposema gari ya 2015 maana yake katika masula ya magari ni mwaka iliyotengenezwa, sio mwaka ilipoingizwa nchini
Kuna terminologies ulizopaswa kuzijua kabla huja post tangazo ndio maana unaona kila mtu anakushangaa
Hii mbona sio ya 2015? Au una maanisha wewe uliinunua 2015?Chombo kipyaa kipo sokoni,
Bei yake ni 12 million.
Bado ni mpya kabisa, na ina documents zote.
0755155782 kwa mawasiliano zaidi.
Ipo Dar es salaam. View attachment 420053View attachment 420053 View attachment 420054View attachment 420055
wao ndo hawajaelewa sijasema imetengenezwa 2015.
Naipenda sana hii ya 2015View attachment 420384 View attachment 420383
Hii mbona sio ya 2015? Au una maanisha wewe uliinunua 2015?
Ya 2015 ni hiyo hapo juu.
Ya maana model kwenye sentesi yakowao ndo hawajaelewa sijasema imetengenezwa 2015.
Usitudharau mkuu, huenda tunajua magari kukuzidi. Kwani huko Dar wote mnamiliki magari?IST ya 2015 iko hivi?[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Labda hili bango ni special kwa wanaume/w'wake wa mikoani...
Kwani huko Dar wote mnamiliki magari?Usitudharau mkuu, huenda tunajua magari kukuzidi. Kwani huko Dar wote mnamiliki magari?
biashara inaendelea kuna nyingine zimepostiwa,Ha ha ha ha, wabongo nawakubali kwa ujuaji, mleta mada katulizwa, kaelewa na kakoma, hatarudia tena kukurupuka. Biashara hakuna tena ni mwendo wa notices tu, haha [emoji23]
Muda huu mleta mada anaongea na mamods waufute huu uzi.....Hamna namna.....And am just like
View attachment 421699