Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watakao kuamini.
We ndo hujaelewa, wanamaanisha imetengenezwa 2003, hawaangalii imeingizwa lini Tzkwa hiyo hiyo gari ya Mwaka Gani?
au mlikuepo wakati inaingia Tanzania?
hiyo imeingia 2015 na kwa Mtumba tuliouzoea ni mpya bado.
Ila ni kawaida watu kutaka kuchangia kila mada.
Mkimaliza mpost na Gari zenu mpya zenye tairi mpya. Tulinganishe!
Maelezo yako ni chombo kipya sasa tukubali ni ya 2015, je gari ya 2015 ni mpya? Si ishatumika kwa mwaka mmoja au zaidi?!kwa hiyo hiyo gari ya Mwaka Gani?
au mlikuepo wakati inaingia Tanzania?
hiyo imeingia 2015 na kwa Mtumba tuliouzoea ni mpya bado.
Ila ni kawaida watu kutaka kuchangia kila mada.
Mkimaliza mpost na Gari zenu mpya zenye tairi mpya. Tulinganishe!
Ukisema gari Ni ya mwaka 2015 Kwa waelewa Wa magari wanakuelewa kwamba gari imetengenezwa mwaka 2015.kwa hiyo hiyo gari ya Mwaka Gani?
au mlikuepo wakati inaingia Tanzania?
hiyo imeingia 2015 na kwa Mtumba tuliouzoea ni mpya bado.
Ila ni kawaida watu kutaka kuchangia kila mada.
Mkimaliza mpost na Gari zenu mpya zenye tairi mpya. Tulinganishe!
Acha wendawazimu wewe, unaposema gari ya 2015 maana yake katika masula ya magari ni mwaka iliyotengenezwa, sio mwaka ilipoingizwa nchinikwa hiyo hiyo gari ya Mwaka Gani?
au mlikuepo wakati inaingia Tanzania?
hiyo imeingia 2015 na kwa Mtumba tuliouzoea ni mpya bado.
Ila ni kawaida watu kutaka kuchangia kila mada.
Mkimaliza mpost na Gari zenu mpya zenye tairi mpya. Tulinganishe!