Car4Sale IST ya 2015 sokoni.

Car4Sale IST ya 2015 sokoni.

uongo
Huyu jamaa ni muoongoooooooo.... Ngoja waje labda uongo wako watauelewa.
ni upi hapo Gari haijafika Bongo 2015 au Gari haiuzwi 12m?
Au namba ya simu uongo?
 
kwa hiyo hiyo gari ya Mwaka Gani?
au mlikuepo wakati inaingia Tanzania?
hiyo imeingia 2015 na kwa Mtumba tuliouzoea ni mpya bado.
Ila ni kawaida watu kutaka kuchangia kila mada.
Mkimaliza mpost na Gari zenu mpya zenye tairi mpya. Tulinganishe!
Wanaoandikaga mwaka wa gari hua hawaandiki mwaka ilioingia, bali iliyotengenezwa,
Badilisha tangazo, acha ubishi
 
hii ist ya mwaka 2015 kweli???? mbona kama ya 2003???
Hahaha. Ni mpya kwake. Kwa maana ameitia mkononi 2015. Lkn ni nzee kwa kutumika kwa maana imeshatumika huko ilikokuwa. Tumsamehe tu hajui anachokiongea. Ndio hawa waliobukiwa kwenye mitandao ya jamii basi hata ya 2000 pia ni mapya kwao.
 
Back
Top Bottom