IST zimekuwa kero sana kwenye kuendeshwa kwa mwendo mkali bila tahadhari

IST zimekuwa kero sana kwenye kuendeshwa kwa mwendo mkali bila tahadhari

Nyumisi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2010
Posts
13,499
Reaction score
19,292
Habari wakuu,

kama mada inavyosema kuna hizi gari za IST a.k.a baby walker zimekuwa kero sana kwenye kuendeshwa kwa mwendo mkali bila tahadhari zozote, hadi huwa najiuliza kati ya dereva na gari ni nani aliyepagawa

Kwa wale mnaofahamiana na madereva wa 'ist' tunaomba mtueleze ni watu wa aina gani hasa na kuna jambo gani huwa wanaliwahi mara zote.

Yaani kwa sisi madereva wa magari kabla ya kufikiria kufanya movement yoyote barabarani, jambo la kwanza kufikiria ni uwezekano wa ISTkupita kwa kasi ya ndege ya kivita.

Nawasilisha.
 
Ist gari zuri sana na ni durable kwa aina ya matumizi iliyokusudiwa. Mjapan pale alitulia. Ni gari rafiki sana kwa mazingira ya TZ.
 
Ist gari zuri sana na ni durable kwa aina ya matumizi iliyokusudiwa. Mjapan pale alitulia. Ni gari rafiki sana kwa mazingira ya TZ.
Shida ambayo siielewi ni either dereva au gari yenyewe ndo imepagawa......
 
mkuu wenye baiskeli, aka. steling kiuno hamnaga wenge sana.....ukilinganisha na bodaboda.....
wenye baiskeli wamezidi kubinua matako,kuna jamaa nilikutana nae ikabidi nicheke,kabinua tako kiuno kimepinda afu ananyoka baiskeli kwenda nyuma yupo busy
 
Back
Top Bottom