kidukulilo akiwa anaponda vigari vya dizaini hii tuwe tunamwelewa....IST ujinga tu
Tena mkubwaIST ujinga tu
Kumbe ndiyo watumiaji wazuri wa ISTEndeleeni kujishaua...
Kabisa. Madereva wengi wa IST ni vijana ambao bado wana akili za kibodaboda.kidukulilo akiwa anaponda vigari vya dizaini hii tuwe tunamwelewa....
mkuu wenye baiskeli, aka. steling kiuno hamnaga wenge sana.....ukilinganisha na bodaboda.....Sisi wenye baiskeli vipi hatuleti kero huko barabarani?
Siyo viieite mkuu ni gari tofauti na ist, aka baby walker...Ndo kusema mwenzetu una viieite 😮
Kuna kijana juzi sehemu ya starehe alikuwa anajisifia kweli na Nissan dualis na kumponda kijana mwezie mwenye spacio. MnafananaSiyo viieite mkuu ni gari tofauti na ist, aka baby walker...
Shida ambayo siielewi ni either dereva au gari yenyewe ndo imepagawa......Ist gari zuri sana na ni durable kwa aina ya matumizi iliyokusudiwa. Mjapan pale alitulia. Ni gari rafiki sana kwa mazingira ya TZ.
Gari halina shida.Shida ambayo siielewi ni either dereva au gari yenyewe ndo imepagawa......
wenye baiskeli wamezidi kubinua matako,kuna jamaa nilikutana nae ikabidi nicheke,kabinua tako kiuno kimepinda afu ananyoka baiskeli kwenda nyuma yupo busymkuu wenye baiskeli, aka. steling kiuno hamnaga wenge sana.....ukilinganisha na bodaboda.....
Isijekuwa imepagawa kama ilivyo boxer....Gari halina shida.