Kaluluma
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 468
- 619
Habari ndugu zangu, nipo na Isuzu
forward hapa
Ina kama siku mbili imesimama
ghafla kupiga honi na kushusha
kioo upande wa dereva.
Nimejaribu kumcheki fundi umeme
wa magari ananiambia shida ya
gari inaweza kuwa kwenye fuse za
gari,
Tumebadili fuse zote lakini bado
changamoto iko palepale
Mwenye ujuzi na hili anisaidie
wakuu.
Natanguliza shukrani [emoji120]
forward hapa
Ina kama siku mbili imesimama
ghafla kupiga honi na kushusha
kioo upande wa dereva.
Nimejaribu kumcheki fundi umeme
wa magari ananiambia shida ya
gari inaweza kuwa kwenye fuse za
gari,
Tumebadili fuse zote lakini bado
changamoto iko palepale
Mwenye ujuzi na hili anisaidie
wakuu.
Natanguliza shukrani [emoji120]