Uchaguzi 2020 It is a fait accompli

Uchaguzi 2020 It is a fait accompli

CCM siyo ma-genious wa kuiba kura duniani. Tatizo ni ujinga wa watanzania. Hebu wachukue CCM waende Marekani tuone kama wataiba hata kura moja.


Election Day is tomorrow.

I was told by the JF powers that we can’t make predictions about it.

So I’m not gonna make a prediction one way or the other.

But let’s face it, most of us already know it’s a fait accompli, in regards to who will ‘win’.

Time to look forward to 2025.

I don’t expect much to be different in the next election cycle.

For, if you always do what you’ve always done, you’ll always get what you’ve always got.

2025 panapo majaaliwa, tutajikuta hapa hapa tulipo leo, na pale pale tulipokuwa 2015, 2010, 2005, 2000, na 1995.

Pia, nimegundua kuwa hata makamanda nao uhalisia umeanza kuwaingia na wameanza kukubali kile ambacho baadhi yetu ambao hatujalewa u-vyama, tumekijua tokea 1995.
 
Naona ile lugha ya "hapapatosha, tutaingia barabarani, tutalinda kura kwa gharama yoyote, tutakiwasha" imepotea kabisa. Tatizo nini?
Na walisema wako tayari hawaogopi lolote...kama wewe ni mpuuzi na muongo ni heri utunze kumbu kumbu. Leo unaongea wao, jana uliongea sisi, keshokutwa utaongea nini? Tatizo huko CCM ni kukosa akili, chama hicho hakika kina laana.

Hiyo laana ndiyo inalitafuna taifa letu pendwa, kisiwa cha amani. Mnapowasukumizia vichaa na wehu madaraka mkitegemea nini? Mnapong'ang'ania kwa nguvu madaraka huku hamna uwezo, sifa, hekima wala busara mnategemea nini?

Kuteka, kutesa na kuua kwa kuwa mna dola mradi vichaa wabaki madarakani hata kama hawapendwi ni busara kweli. Kumbuka kichaa hana rafiki, hamjui ndugu, hampendi jirani...ooh! Masikini Tanzania, my heart bleeds for you, why but oh why!
 
Magufuli ni hopeless sinner!

Mara zote duniani kufunga mitandao na internet, kutumia jeshi na intelligence katika kuendesha uchaguzi ndiyo imekuwa silaha ya mwisho ya madikteta wote waliokuwa wanakaribia kuanguka madarakani.

I never thought CCM inaweza kuja kuanguka kwa style hii na kwa mbinu za kijinga hivi.
 
Bila tume huru ccm atasumbua siku zote

Si tume huru tu, bila kuwepo demokrasia na uhuru kwenye vyama vyetu tutaendelea kulia.
Wananchi wanahitaji kuona tofauti yako na huyo unayetaka kumtoa kiuhalisia.

Magufuli anatuhumiwa kuwa dikteta, lakini kwa wale wabunge waliofukuzwa kwa kutotii amri ya mbowe kususia bunge unaitenganisha vipi na udikteta?

Tuonesheni utofauti wenu tuwaamini.
 
Election Day is tomorrow.

I was told by the JF powers that we can’t make predictions about it.

So I’m not gonna make a prediction one way or the other.

But let’s face it, most of us already know it’s a fait accompli, in regards to who will ‘win’.

Time to look forward to 2025.

I don’t expect much to be different in the next election cycle.

For, if you always do what you’ve always done, you’ll always get what you’ve always got.

2025 panapo majaaliwa, tutajikuta hapa hapa tulipo leo, na pale pale tulipokuwa 2015, 2010, 2005, 2000, na 1995.

Pia, nimegundua kuwa hata makamanda nao uhalisia umeanza kuwaingia na wameanza kukubali kile ambacho baadhi yetu ambao hatujalewa u-vyama, tumekijua tokea 1995.

Kaka,

Dakika za mwisho tembo anakwenda kuangushwa.

Ilibidi maagizo yale yatekelezwe kwakua alikuwa na nguvu ya Urais.

Masaa machache yajayo, tarajia lolote.

TAL is the next President to be
 
Election Day is tomorrow.

I was told by the JF powers that we can’t make predictions about it.

So I’m not gonna make a prediction one way or the other.

But let’s face it, most of us already know it’s a fait accompli, in regards to who will ‘win’.

Time to look forward to 2025.

I don’t expect much to be different in the next election cycle.

For, if you always do what you’ve always done, you’ll always get what you’ve always got.

2025 panapo majaaliwa, tutajikuta hapa hapa tulipo leo, na pale pale tulipokuwa 2015, 2010, 2005, 2000, na 1995.

Pia, nimegundua kuwa hata makamanda nao uhalisia umeanza kuwaingia na wameanza kukubali kile ambacho baadhi yetu ambao hatujalewa u-vyama, tumekijua tokea 1995.
Uchaguzi wetu ni Free and Fair?
 
Makamanda ndembendembe, siku za nyuma walikuwa wanajaza comments humu kuwa hatutakubali. Sasa hivi wamekuwa wapole, sijui nini kimewatokea wanasema "ila ccm wamejifunza"
we gasho atleast cku hz naona umetoa logo ya chadema...
 
Cry the beloved country
Iwe isiwe Magu, Mwinyi watatangazwa washindi tena kwa asilimia zaidi ya 90% na wabunge/madiwani wote watakuwa wa ccm labda Magu aamue kutoa hisani wa wabunge na madiwani kiduchu kwa kadiri itakavyompendeza, maana chama chetu ccm ni chama dola, tuna mbinu zote za ushindi kuanzia ushirikina, wizi, na hata damuza wanadamu.

Miaka mitano itakayoanza masaa machache kutokea sasa itakuwa michungu mnoooo kwa watanzania kwa kifupi masaa machache kutokea sasa miaka mitano ya njaa mnooo inaanza, Magu ndo ataonyesha rangi zake zote na hata ile huruma kidogo ambayo ccm huona anayo nayo itatoweka. Kama kuna ambaye anafikiri eti kuna nafuu inakuja nampa pole. Asomaye na afahamu.
 
Utopolo
Sometimes nawaza kwamba kama CCM hawawezi kuweka fairness katika maswala ya siasa na chaguzi basi tuwe kama China na chama chao cha kicommunist.

Seems to me kwamba multiparty democracy zinahitaji watu waliokomaa kuvuka viwango vya ubinafsi, na nchi zetu hizi watawala hawawezi kuachia madaraka hivi hivi eti kwa sanduku la kura tu. Kwanza mfumo wa vyama vingi ni kama tulilazimishiwa tu.

Na hapo sijaenda kwenye hoja. Maana kama ningekuwa mshauri wa chama kikuu cha upinzani, ningewaambia kwamba baadhi ya hoja zenu nyingine ziko too radical kiasi cha kuwafanya watawala waliopo kufanya "kila linalowezekanika" kuhakikisha misingi ya nchi haivunjwi. Hata Jakaya (kiongozi aliyekuwa tayari walau kucompromise misingi na kuacommodate upinzani) wapinzani walipomfikisha eneo la kuyumbisha misingi mikuu ya nchi ikabidi astuke na kuwafukuzia mbali.

Sasa changanya ubinafsi na uroho wa madaraka + utawala wa CCM kuogopa misingi ya nchi kuvunjika chini utawala tofauti. If you can't fight'em join'em!
 
Election Day is tomorrow.

I was told by the JF powers that be that we can’t make predictions about it.

So I’m not gonna make a prediction one way or the other.

But let’s face it, most of us already know it’s a fait accompli, in regards to who will ‘win’.

Time to look forward to 2025.

I don’t expect much to be different in the next election cycle.

For, if you always do what you’ve always done, you’ll always get what you’ve always got.

2025 panapo majaaliwa, tutajikuta hapa hapa tulipo leo, na pale pale tulipokuwa 2015, 2010, 2005, 2000, na 1995.

Pia, nimegundua kuwa hata makamanda nao uhalisia umeanza kuwaingia na wameanza kukubali kile ambacho baadhi yetu ambao hatujalewa u-vyama, tumekijua tokea 1995.
Hizi ni akili za kitumwa na watu waliokata tamaa ya mabadiliko. Ingalikuwa akina Nyerere wana akili hizi, tusingewahi kupata uhuru.

Kwahiyo unabariki huu ukandamizi mpaka milele?

Haikubaliki hata kidogo, tunahitaji mabadiliko na itabidi kuamini na kufanyia kazi kwamba tutayapata
 
Kama wapinzani wataendelea kuwa wanaharakati badala ya siasa, the status quo will go beyond 2025.
No hawataendelea, Chadema tayari wameisha shauriwa hapa, tena huyo aliyewashauri ni mshauri wao, wa enzi za Dr. Slaa, akawasusa Dr alipojitoa sasa amerudi na kuwashauri...
P
 
Back
Top Bottom