It is stupid to compare Mwanza to Mombasa

It is stupid to compare Mwanza to Mombasa

Mwanza na airport Kibanda utaanzaje kufwananisha na Mombasa? [emoji23]. Mwanza Linganisha na Lodwar. Very pathetic
Sasa wewe kweli hii takataka ndio ya kufananishwa na Mwanza? Really?

Kimji kenyewe ni 294 km² with 97% slums area

Utaeza shindana na Mwanza yenye 9,467 km² while slum is a myth? 🤣🤣🤣🤣

Tafuteni level zenu aisee

painet-jb1422-kenya-rusted-tin-roofs-kibera-slum-nairobi-mombasa-africa-A577YM.jpg
kenya-mombasa-the-slum-of-bangladesh-caroline-osong-social-worker-from-the-bangladesh-clinic-v...jpg
Screenshot_20201205-062727~2.png
 
i) Port ya 4 kwa ukubwa afrika iko mombasa, kubwa kushinda port zote 4 za Tanzania zikiwekwa pamoja.
ii) Mombasa na nairobi ndizo miji ziko na sgr inayotumika katika eac.
iii) Mombasa sahi KPA inajenga office bock kubwa afrika ya mashariki
iv) Mombasa iko mbioni inafata Nirobi kwa miundo mbinu afrika mashariki.
v) Kuanza 2029 mombasa commuter rail phase 1 itakuwa inaanza kwa kasi, hapo dar bado watakuwa wanang'ang'ana kumaliza phase 2 ya BRT.
vi) Kufikia 2029 Mombasa itakuwa na viwanda nyingi kushinda Nairobi kwa sababu ya dongo kundu sez. Dar bado watakuwa wanakimbizana na vyerahani.

Naona kulinganisha mombasa na mwanza ni kutusi mombasa, kwa huu mda hata dar es salaam haifikii mombasa kwa miundo mbinu.
Majengo ya kizamani balaa toka mwarabu anatwala hapo
 
Mombasa ni mji wa mashoga huwezi linganisha na mji wa wanaume Mwanza. Nyie nyang'au vipi.
 
Uwongo upi, Rock City, Mwanza ndio imewaamsha ila palikua hovyoo sana, kwa Tanzania nje ya Dar labda unitajie A-city ndio huwa imechangamka kiaina, hiyo nchi yenu nimekatiza katiza, watu mlioganda Buza tangu kuzaliwa hamjatoka hamuna lolote la kuniambia.
Siku moja nitakuletea maendeleo yaliyofikiwa buza utashangaa sana, usione watu wanaongelea buza hovyo ukadhani ndo kama kibera, just wait one day nitaenda kupiga picha nikuwekee hapa ushangae [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Majority of Mombasa people and Kenyans generally live in slums and throat cutting poverty

Extreme poverty mtanzania lazima utafute pakutokea😂😂😂., Dar is 85% shitty lifestyle, tufunze tu Kiswahili tutashukuru kaka, Tz bado sana, unateseka sana kuona Kenya above Tz and it will remain like that hadi mwisho wa dunia.😂😂😂

"...ni uchungu! lakini itabidi uzoee.."
😂😂😂😂
 
Extreme poverty mtanzania lazima utafute pakutokea😂😂😂., Dar is 85% shitty lifestyle, tufunze tu Kiswahili tutashukuru kaka, Tz bado sana, unateseka sana kuona Kenya above Tz and it will remain like that hadi mwisho wa dunia.😂😂😂

"...ni uchungu! lakini itabidi uzoee.."
😂😂😂😂
Kenya is the only country with a striving slum tourism business, please tell me why?.... 👇👇

 
Extreme poverty mtanzania lazima utafute pakutokea😂😂😂., Dar is 85% shitty lifestyle, tufunze tu Kiswahili tutashukuru kaka, Tz bado sana, unateseka sana kuona Kenya above Tz and it will remain like that hadi mwisho wa dunia.😂😂😂

"...ni uchungu! lakini itabidi uzoee.."
😂😂😂😂
Sasa unaniletea uchungu mimi ndio miguna niliosema hayo? 😅😅😅

Au njaa imepanda kichwani? 😂
 
Sasa mombasa si kama bagamoyo tuu
Sababu moja ya kuwadharau wana 255 ni kuwa hata wakiona kaukweli fulani, badala ya kujitetea kiungwana, wao hujifumba macho na kujifanya hamna kitu. Na Asiyekubali kushindwa si mshindani. Mi watu ka hao hata huwa sina wakati wa kuharibu na wao. Waeza ona mtu na akili zake akilinganisha Msa na Mwanza. You can't always live in denial otherwise you will never progress.
 
i) Port ya 4 kwa ukubwa afrika iko mombasa, kubwa kushinda port zote 4 za Tanzania zikiwekwa pamoja.
ii) Mombasa na nairobi ndizo miji ziko na sgr inayotumika katika eac.
iii) Mombasa sahi KPA inajenga office bock kubwa afrika ya mashariki
iv) Mombasa iko mbioni inafata Nirobi kwa miundo mbinu afrika mashariki.
v) Kuanza 2029 mombasa commuter rail phase 1 itakuwa inaanza kwa kasi, hapo dar bado watakuwa wanang'ang'ana kumaliza phase 2 ya BRT.
vi) Kufikia 2029 Mombasa itakuwa na viwanda nyingi kushinda Nairobi kwa sababu ya dongo kundu sez. Dar bado watakuwa wanakimbizana na vyerahani.

Naona kulinganisha mombasa na mwanza ni kutusi mombasa, kwa huu mda hata dar es salaam haifikii mombasa kwa miundo mbinu.
Ati 2029?Kwahyo unategemea kuna siku mombasa itaizidi Dar kwa miundombinu?
Kabla ya huo mwaka 2029 SGR itakua ishafika mwanza (electrified SGR ) ,by 2030 Dar itakua imekamilisha phase zote 6 za BRT, Do you know kibaha highway itaendelea kutanuliwa hadi chalinze in btn 2020-2025 izo ni 75km 8lanes kenya nzima hamna barabara ndefu kiasi iyo...so kabla ya 2025 Dar itakua zimejengwa flyovers sio chini ya 9 .and minds you dar port inaendelea kutanuliwa ...Wewe unaijua JNIA T3? Hub of airtz...mombasa even nairobi hamna terminal ya maana kama iyo sasa sijui mnazungumzia kitu gani
 
Sasa wewe kweli hii takataka ndio ya kufananishwa na Mwanza? Really?

Kimji kenyewe ni 294 km² with 97% slums area

Utaeza shindana na Mwanza yenye 9,467 km² while slum is a myth? 🤣🤣🤣🤣

Tafuteni level zenu aisee

View attachment 1641952View attachment 1641953View attachment 1641954
Sasa wewe kweli hii takataka ndio ya kufananishwa na Mwanza? Really?

Kimji kenyewe ni 294 km² with 97% slums area

Utaeza shindana na Mwanza yenye 9,467 km² while slum is a myth? 🤣🤣🤣🤣

Tafuteni level zenu aisee

View attachment 1641952View attachment 1641953View attachment 1641954
Masomo ni ya maana sana. Yaani mpaka leo mbongo hajui maana ya mji (town) na eneo (province/region). Hayo ni mambo mawili tofauti. Hata africa nzima hakuna mji wenye eneo kubwa hivyo may be the likes of new York, Sao Paulo etc. Even Nrb and Dar are around 600km2.
 
Uwongo upi, Rock City, Mwanza ndio imewaamsha ila palikua hovyoo sana, kwa Tanzania nje ya Dar labda unitajie A-city ndio huwa imechangamka kiaina, hiyo nchi yenu nimekatiza katiza, watu mlioganda Buza tangu kuzaliwa hamjatoka hamuna lolote la kuniambia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Masomo ni ya maana sana. Yaani mpaka leo mbongo hajui maana ya mji (town) na eneo (province/region). Hayo ni mambo mawili tofauti. Hata africa nzima hakuna mji wenye eneo kubwa hivyo may be the likes of new York, Sao Paulo etc. Even Nrb and Dar are around 600km2.
Unajua tofauti ya Region na County? Nani aliesema town?

Sasa kama County nzima ni kama certain home backyard, tukisema Metropolitan area si kitakua kama someone's veranda?

Polish_20201217_140543475.png
 
Unajua tofauti ya Region na County? Nani aliesema town?

Sasa kama County nzima ni kama certain home backyard, tukisema Metropolitan area si kitakua kama someone's veranda?

View attachment 1652214
294.7 is the size of Msa only, though the metropolitan area consisting of satellite towns is much bigger. Let's focus on town limits only. Kigali is more advanced than Mwanza yet has a population of a million people at 730km2 and this includes the rural area of Kigali. 6000km2 plus is not the size of a town(assuming you know what this size means!!!) Ni kumaanisha ukubwa wa Mwanza ni 80km urefu kwa 80km upana(nafikiri unajua urefu as 80km unatoshanaje!!!). Nimeangalia picha as video angani Mwanza, na. mi huona tu mji mdogo sana, sijui hesabu ndio shida au ni nini.
 
Back
Top Bottom