batmanwafez
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 882
- 1,346
Hivi unadhani IT ni programming tu... Sio kila mtu anatakiwa kujua kucode wengine wanajua command na ndio kazi zao.IT wa Tanzania ni hatari.
yani hawajua cooperate programming, mtu hajuu kutumia github (anajua tu ku clone au ku create new repository),
ziro kabisa kwenye matumizi ya AWS, Azure , Google Cloud etc au confluence hata kuandaka documentations kwa code wanazo andika hawawezi.
Swala lingine tena hata ku deal na bottleneck hawawezi, threading and parallelization hawajui unaskia bro kwa hiyo nini??
Mtu unamwambia wewe huja qualify ananza kulia na kuomba umsaidie.
Mm nimesima economic lkn nahisi najua mambo ya computer kuliko IT wa bongo mwenye GPA ya 4.4 kwenye Masters In Software Engineering
Ni kawaida sana kusikia katika dunia ya sasa vijana wanachana msamba zaidi ya kupiga hatua kupitia idea za Digital Platforms pindi wakimaliza kozi zao za Computer Science, Computer Engineering, IT, Software engineering, Cyber nini nini huko na kozi nyingine
Ni IT wachache mnooooo wameweza kutajirika na ujasiriamali wa digital platdorms. Naemjua kwa sasa ni Nala ila huyu naona anapata boost sana kutoka kwenye familia aliyotoka,, wengine ni yule jamaa wa Max Malipo alilipwa bilioni akanunua range kali sana ya mamia ya mamilioni toka hapo sijamsikia.
Ajabu ni kwamba hadi sasa alieweza kutoboa zaidi wala hakusomea IT, ni mtu aliesomea mambo ya uhasibu ila alikomaa kwenye IT akauza platform yake ya mambo ya kuuza gesi wakampa bilioni 50.
Wengine wapo bize kuiba account za Fb utakuta account ya dada yako inapost picha za uchi huko magroup ya sauzi kumbe kuna jangili anaitumia ili apate pesa za blogging, hapa penyewe wengi wanaambulia milioni kwa mwezi, (wapo wanaopiga hadi 10 ila wachache)
kwa tanzania, kati ya masomo ya kusomea watoto wako, sio IT, atapata shida. huwa nawaangalia maIT waliomaliza UDSM, wanapata mshahara mdogo wakati mtu wa IT hata form six anakuwa amefaulu vizuri kuliko wengine, ni watu waliofaulu vizuru hesabu. ila wanakuja kuishi maisha magumu tu. IT ni ulaya, kwasababu wao hawahitaji kuajiriwa, wanajiajiri na kuwa na makampuni na wanafanikiwa sana. hapa bongo hata kumpata developer wa maana kuanzisha mavitu kama tiktok au youtube au chochote, hakuna, kidogo namwona benjamin fenandez kama amejitahidi, naye sio IT ni mwanauchumi. wanauchumi wanaingia kwenye IT wanapiga pesa wakati IT wanakodoa mimacho tu.Ni kawaida sana kusikia katika dunia ya sasa vijana wanachana msamba zaidi ya kupiga hatua kupitia idea za Digital Platforms pindi wakimaliza kozi zao za Computer Science, Computer Engineering, IT, Software engineering, Cyber nini nini huko na kozi nyingine
Ni IT wachache mnooooo wameweza kutajirika na ujasiriamali wa digital platdorms. Naemjua kwa sasa ni Nala ila huyu naona anapata boost sana kutoka kwenye familia aliyotoka,, wengine ni yule jamaa wa Max Malipo alilipwa bilioni akanunua range kali sana ya mamia ya mamilioni toka hapo sijamsikia.
Ajabu ni kwamba hadi sasa alieweza kutoboa zaidi wala hakusomea IT, ni mtu aliesomea mambo ya uhasibu ila alikomaa kwenye IT akauza platform yake ya mambo ya kuuza gesi wakampa bilioni 50.
Wengine wapo bize kuiba account za Fb utakuta account ya dada yako inapost picha za uchi huko magroup ya sauzi kumbe kuna jangili anaitumia ili apate pesa za blogging, hapa penyewe wengi wanaambulia milioni kwa mwezi, (wapo wanaopiga hadi 10 ila wachache)
Pambana uvivuke hivyo vizingiti mkuuSystem hairuhusu startup kufanikiwa. Ukiona mtu ametoboa kwenye IT nchi hii ni yule ambaye yupo na financial support au connection ya kumwezesha kufika juu.
Kuna startup nipo nayo, lakini kila nikijaribu kuipush kuunganisha na system za fedha kama banks, mobile money wanahitaji a lot of documents ambazo kwa startup siwezi kuwa nazo au ili niwe nazo lazima mifuko itoboke kwa kiwango cha kutosha and they say ni matakwa ya BOT.
Ili tuweze kufanikiwa kwenye Tech industry kwa Tanzania, ni lazima tuwe na systems zinazo support maendeleo ya startups kuanzia kwenye policy, financial support, tech-minded leaders na sio wazee ambao they know nothing or they don't have any exposure to technology.
ahsanteni.
Kuwa IT / developer haina maana ni lazima uwe na product kama tik tok app. Huko U.S unafahamu ni wangapi wana product zao?, na wangapi ni waajiriwa tu kwenye hizo platform.??kwa tanzania, kati ya masomo ya kusomea watoto wako, sio IT, atapata shida. huwa nawaangalia maIT waliomaliza UDSM, wanapata mshahara mdogo wakati mtu wa IT hata form six anakuwa amefaulu vizuri kuliko wengine, ni watu waliofaulu vizuru hesabu. ila wanakuja kuishi maisha magumu tu. IT ni ulaya, kwasababu wao hawahitaji kuajiriwa, wanajiajiri na kuwa na makampuni na wanafanikiwa sana. hapa bongo hata kumpata developer wa maana kuanzisha mavitu kama tiktok au youtube au chochote, hakuna, kidogo namwona benjamin fenandez kama amejitahidi, naye sio IT ni mwanauchumi. wanauchumi wanaingia kwenye IT wanapiga pesa wakati IT wanakodoa mimacho tu.
Mkuu umeongea ki professional sana. Watanzania wengi bado biazjara ya science ns teknolojia gawajui inayooendeshwa wanalinganisha na uchuuzivwa kariakoo.IT ni kama taaluma nyingine kama U daktari, Uhandisi au Ualimu
Wenyewe haukufanyi uwe tajiri. Hao kina Mark Zuckerberg na Bill Gate ulio watazama kama mifano, moja hawakusomea IT kama Taaluma, na mbili sio IT iliyofanya wawe matajiri bali ni Entrepreneurship iliyochukua fursa ya soko la Personal computer (kwa Bill Gate) na technology ya World wide web (kwa Zuckerberg)
Pia tambua kuwa kuja na idea ni kitu kimoja, na kuifanya idea yako iwe product iliyofanikiwa sokoni ni kitu kingine
Wenzetu wana ecosystem nzuri mno ya kukuza kampuni changa / startups
Kuna startups marekeni zinapewa pesa nyingi ya kujiendesha kuliko pesa walizotoa DP Worlds kununua bandari zetu hapa
Na wana uwezo wa kuendelea kui support miaka mingi bila Faida
Hapa Tanzania kuna aina hio ya Ecosystem? Nani ni Angel investor hapa? Venture capital?
Jambo jingine, IT industry ya Marekani ni profitable kuliko nchi yoyote ile, so demand ya IT ni kubwa, hivyo mshahara wao ni mkubwa kuliko huku ambapo demand sio kubwa
The reason huku demand sio kubwa ni kwa sababu wafanyabishara wa huku hawaja ona value kubwa kwenye sekta ya IT, biashara zao bado ni Local
Mo anauza Juice na vibiriti.
Halafu hata logic yako bado ni ya kijinga, kutaka IT wa Tanzania wawe na mafanikio sawa na IT wa Marekani
Naweza tumia logic yako kusema Matajiri wa Bongo ni kituko, mbona hawapo top 100 ya Forbes?
Wewe ni taaluma gani kwani? Na una mafanikio kiasi gani?
Hapo kwenye mtaji kweli mkuu, yaani kuna baadhi ya leseni zina gharama sana.Kusomea IT au kuijua IT sio kutajirika. Kuna mambo mengi ya kibiashara ukiyaunganisha na IT ndo unaweza ukatoboa.
Mfano unaweza kuta mtu anajua kutengeneza mobile apps, ila anakwama kwenye mawazo ya kibiashara, ubunifu, mtaji wa marketing, etc.
Sio kweli mkuu, wapo waliosoma bongo na wapo vizuri mfano Stefano Mtangoo (Hosanna Higher Technologies), Edwin Bruno (SAG) na wengineo.insta pages but they know nothing . Wanao jua wamesoma IT malekani tu . Wengine wote amna kitu
Umesema kweli mkuu, yaani watu wanaamini ukisoma IT tu basi ni rahisi sana kujiari na kutoboaš¤.IT ni kama taaluma nyingine kama U daktari, Uhandisi au Ualimu
Wenyewe haukufanyi uwe tajiri. Hao kina Mark Zuckerberg na Bill Gate ulio watazama kama mifano, moja hawakusomea IT kama Taaluma, na mbili sio IT iliyofanya wawe matajiri bali ni Entrepreneurship iliyochukua fursa ya soko la Personal computer (kwa Bill Gate) na technology ya World wide web (kwa Zuckerberg)
Pia tambua kuwa kuja na idea ni kitu kimoja, na kuifanya idea yako iwe product iliyofanikiwa sokoni ni kitu kingine
Wenzetu wana ecosystem nzuri mno ya kukuza kampuni changa / startups
Kuna startups marekeni zinapewa pesa nyingi ya kujiendesha kuliko pesa walizotoa DP Worlds kununua bandari zetu hapa
Na wana uwezo wa kuendelea kui support miaka mingi bila Faida
Hapa Tanzania kuna aina hio ya Ecosystem? Nani ni Angel investor hapa? Venture capital?
Jambo jingine, IT industry ya Marekani ni profitable kuliko nchi yoyote ile, so demand ya IT ni kubwa, hivyo mshahara wao ni mkubwa kuliko huku ambapo demand sio kubwa
The reason huku demand sio kubwa ni kwa sababu wafanyabishara wa huku hawaja ona value kubwa kwenye sekta ya IT, biashara zao bado ni Local
Mo anauza Juice na vibiriti.
Halafu hata logic yako bado ni ya kijinga, kutaka IT wa Tanzania wawe na mafanikio sawa na IT wa Marekani
Naweza tumia logic yako kusema Matajiri wa Bongo ni kituko, mbona hawapo top 100 ya Forbes?
Wewe ni taaluma gani kwani? Na una mafanikio kiasi gani?
Kuna tofauti ya IT wa Udom,UD, na ma vyuo ya mbele huko! Ila wapo waliotusua, kuna mmoja ni CEO wa kampuni, ameajiri mpaka foreigners kuwa managers, kampuni ina matawi kadhaa Afrikakwa tanzania, kati ya masomo ya kusomea watoto wako, sio IT, atapata shida. huwa nawaangalia maIT waliomaliza UDSM, wanapata mshahara mdogo wakati mtu wa IT hata form six anakuwa amefaulu vizuri kuliko wengine, ni watu waliofaulu vizuru hesabu. ila wanakuja kuishi maisha magumu tu. IT ni ulaya, kwasababu wao hawahitaji kuajiriwa, wanajiajiri na kuwa na makampuni na wanafanikiwa sana. hapa bongo hata kumpata developer wa maana kuanzisha mavitu kama tiktok au youtube au chochote, hakuna, kidogo namwona benjamin fenandez kama amejitahidi, naye sio IT ni mwanauchumi. wanauchumi wanaingia kwenye IT wanapiga pesa wakati IT wanakodoa mimacho tu.