Pole mkuu, system za kiserikali hovyo kabisa.Hii nchi kila kitu ni cha hovyo. HESLB mefungua dirisha la kuomba mkopo lakini mpaka muda huu watu bado wanaohangaika kukamilisha vipengele.
Mfumo wenu ni mbovu nimelipia control number lakini kila nikitaka ku-create account page ina-load tu tangu asubuhi.
Kama mlijua hamjajipanga kwa nini mlifingua dirisha la maombi.View attachment 2704283View attachment 2704282
Huu mfumo mpya wa online waliuoleta walikua na mwaka mzima wa kuujaribu lakini wameamua kukuprupuka. Ni bora wangebaki na mfumo wa zamani tu kama hawajajipanga.Hii nchi haijawahi kuwa serious kwa chochote kile kila sehemu watu hawapo serious.
Mimi pale kwenye ku-share marafiki eti usubiri hadi bar yote ojae blue, yaani usiku kucha haijajaa. Nimeshindwa ku-dowload form ya dogoHii nchi kila kitu ni cha hovyo. HESLB mmefungua dirisha la kuomba mkopo lakini mpaka muda huu watu bado wanaohangaika kukamilisha vipengele.
Mfumo wenu ni mbovu nimelipia control number lakini kila nikitaka ku-create account page ina-load tu tangu asubuhi.
Kama mlijua hamjajipanga kwa nini mlifingua dirisha la maombi.
View attachment 2704283View attachment 2704282
Umeanza mchakato wa kuomba lini. Bora hata wewe unefika step ya mwisho sisi wengine tumekwama step ya kwanza kabisa.Mimi pale kwenye ku-share marafiki eti usubiri hadi bar yote ojae blue, yaani usiku kucha haijajaa. Nimeshindwa ku-dowload form ya dogo
JanaUmeanza mchakato wa kuomba lini. Bora hata wewe unefika step ya mwisho sisi wengine tumekwama step ya kwanza kabisa.
Kina Mimi hao najaribu kuload mkoa ninaoishi tu nimekaa siku 4 hakuna mkoa unakujaUmeanza mchakato wa kuomba lini. Bora hata wewe unefika step ya mwisho sisi wengine tumekwama step ya kwanza kabisa.
Mkimaliza chuo mtakutana Tena na iyo changamoto kule ajira portalHii nchi kila kitu ni cha hovyo. HESLB mmefungua dirisha la kuomba mkopo lakini mpaka muda huu watu bado wanaohangaika kukamilisha vipengele.
Mfumo wenu ni mbovu nimelipia control number lakini kila nikitaka ku-create account page ina-load tu tangu asubuhi.
Kama mlijua hamjajipanga kwa nini mlifingua dirisha la maombi.
View attachment 2704283View attachment 2704282
[emoji38][emoji38]Mkimaliza chuo mtakutana Tena na iyo changamoto kule ajira portal