sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Waweza kumfundisha kasuku aseme hana uwezo na ukamzawadia zabibu kumuashiria kafaulu mtihani nae akajiona kichwa, basi ndivyo ilivyo kwa IT wetu wa Tz wanafunzi wa vyuoni na wahitimu kibao, vyeti wanavyo na wengine wana ufaulu mkubwa sana lakini hawana uwezo wa kutatumia maarifa hayo lau kutumia free net kama nchi zingine.
Nchi nyingi masuala ishu za free net ni mambo yanayotatuliwa na jesh la wanafunzi wa IT vyuoni, lakini hapa kwetu mambo ni tofauti sana kiasi kwamba hata wahitimu wanatokewa knockout, mtu ukimwambia akupe hata abcd za pa kuanzia ni mwendo wa kukupa misamiati tu ila vitendo 0
Nchi nyingi masuala ishu za free net ni mambo yanayotatuliwa na jesh la wanafunzi wa IT vyuoni, lakini hapa kwetu mambo ni tofauti sana kiasi kwamba hata wahitimu wanatokewa knockout, mtu ukimwambia akupe hata abcd za pa kuanzia ni mwendo wa kukupa misamiati tu ila vitendo 0