Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimefurahia mda mfupi nilio kaa nanyi humu MMU,
Tofauti na kwenye siasa huku nilicheka na kutabasamu!
Nachukua likizo ndefu ya BAN,nitarudi Mungu akijaaria!
One love MMU
aondokeaii weweee
tumeshakuzoea usiende aiii
wewe si ushaaga?Hiyo ina mfaa zaidi,maana susy ni mtu wa kulalamika tu mda wote!
ala , unaaga halafu bado unaendelea kupiga domo?Naenda kujinoa,nikija ntakua balaa,...i promise (either negatively or positively)
umeona ee.......huyu sio kabisaWasalimie bana kweli sometimes huwa una maudhi thana wewe lol
wote humu JF tumemchokaAfadhali nipumzike maana una maudhi sana wewe kha!!! Yaani bora kabisa........................................................
wewe bana nendaEti dena,..
hawa nao wana nicheleweshea tiketi yangu sijui wana mpango gani!
Nimefurahia mda mfupi nilio kaa nanyi humu MMU,
Tofauti na kwenye siasa huku nilicheka na kutabasamu!
Nachukua likizo ndefu ya BAN,nitarudi Mungu akijaaria!
One love MMU
Acha hizo bana nipe password ya ID yako mimi nataka nikuongezee idadi posti,Thanks,Like na GroanMmmh,mwenyewe mda mwingine hua sijiamini kwa kila kitu,...
ije kua kukuamini wewe jombaa kweli hahaha
Nyie hamjajua anataka kuongeza idadi ya post zake huyu.......................................
Anaaga halafu bado yupo vichekesho kweli asiee mie nimemchokaaaaaaaaaaaaaaaaa