It was nice being with you MMU

It was nice being with you MMU

Wasalimie bana kweli sometimes huwa una maudhi thana wewe lol

Mamamkwe ni radha tu ya maisha,ukifurahi kila mara utasahau kama kuna shida duniani
 
Afadhali nipumzike maana una maudhi sana wewe kha!!! Yaani bora kabisa........................................................

Eti dena,..
hawa nao wana nicheleweshea tiketi yangu sijui wana mpango gani!
 
Speaker nipe password ya ID yako ili niwe natumia wakati ambao hautakuwepo,do we have a deal?
 
aii weweee
tumeshakuzoea usiende aiii
aondoke
Hiyo ina mfaa zaidi,maana susy ni mtu wa kulalamika tu mda wote!
wewe si ushaaga?
Naenda kujinoa,nikija ntakua balaa,...i promise (either negatively or positively)
ala , unaaga halafu bado unaendelea kupiga domo?
Wasalimie bana kweli sometimes huwa una maudhi thana wewe lol
umeona ee.......huyu sio kabisa
Afadhali nipumzike maana una maudhi sana wewe kha!!! Yaani bora kabisa........................................................
wote humu JF tumemchoka

Eti dena,..
hawa nao wana nicheleweshea tiketi yangu sijui wana mpango gani!
wewe bana nenda
 
Nimefurahia mda mfupi nilio kaa nanyi humu MMU,
Tofauti na kwenye siasa huku nilicheka na kutabasamu!
Nachukua likizo ndefu ya BAN,nitarudi Mungu akijaaria!

One love MMU

nenda ,nenda mwalimu
 
Speaker nipe password ya ID yako ili niwe natumia wakati ambao hautakuwepo,do we have a deal?

Mmmh,mwenyewe mda mwingine hua sijiamini kwa kila kitu,...
ije kua kukuamini wewe jombaa kweli hahaha
 
Mmmh,mwenyewe mda mwingine hua sijiamini kwa kila kitu,...
ije kua kukuamini wewe jombaa kweli hahaha
Acha hizo bana nipe password ya ID yako mimi nataka nikuongezee idadi posti,Thanks,Like na Groan
 
Nyie hamjajua anataka kuongeza idadi ya post zake huyu.......................................

Anaaga halafu bado yupo vichekesho kweli asiee mie nimemchokaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
avatar25214_12.gif

hater
 
ntakumiss mwana JF mwenzangu,

enjoy huko utakakokuwa unajivua gamba..lol
 
Bado upo tu!?Basi la siasani linaondoka saa ngapi?
 
Nyie hamjajua anataka kuongeza idadi ya post zake huyu.......................................

Anaaga halafu bado yupo vichekesho kweli asiee mie nimemchokaaaaaaaaaaaaaaaaa

Aaaaah,unadhani napenda niendelee kuwepo basi,...
ni kama ume kata tiketi afu gari inachelewa kufika stendi ili uondoke....
 
Bado upo tu!?Basi la siasani linaondoka saa ngapi?
Hawa wakuu wamechelewa kunipa ruhusa sijui wanapenda niendelee kuakaa humu,...
Hebu nipe list ya moderators nichonge nao basi please
 
Back
Top Bottom