Itabidi nimwambie tu kakangu ukweli

Itabidi nimwambie tu kakangu ukweli

Habari wakuu,

Kakangu yuko kwenye ndoa na mke wake yapata miaka 20 sasa,

Kakangu ni mtu wa kusafiri sana kutokana kazi zake,

Shemeji yangu hana shida kabisa,kila kitu ambacho mwanamke anahitaji kupewa na mume wake,shemeji yangu amepewa kila kitu na hata mimi shem ananiheshimu sana kama shem wake wa pekee hapa mjini ,kakazangu wengine wapo ila nao wanashughuli zao huko mkoani,

Tatizo la shem anaruka sana na wanaume mpaka mimi hii tabia yake nimeanza kuchukia sasa,

Sasa mimi namsubiri kaka yangu arudi kwake ili na mimi nikamwambie uchafu wa mke wake,

Najua hata nikimwambia kaka,hakuna ninayemtegemea kwa sasa,ila lazima niseme ukweli kwa kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
Kajitegemee mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shemeji yako ana miaka mingapi hivi sasa?
Kama ana 20yrs ndoani si atakuwa mmama wa kwenye early 40's?? Hio tabia ya kutombwa tombwa kwa umri huo mbona ni mbingu na nchi mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu najua inakela kuona Shem anaenda kutandazwa,ila ukitaka uishi kwa amani achana na hiyo habari,maana hata kaka kaka yako pia anachovya rungu huko,fanya yako vinginevyo utageuziwa kibao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfano, Ukamwambia, wakagombana, then wakapatana, wewe ndo utaonekana adui, my friend, mambo ya mapenzi yaache km yalivyo, kazi zipo nyingi tu za kufanya usipende kuwa na free time ndo maana utajikuta unawaza mambo ya watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom