Natumia akili nyingi sana na mpaka nafika hali ya kumwambia brother nina ushahidi wa kutosha,hadi picha za gesti ninazo,chezea Mimi bonge la shushushuTumia Technology mkuu
Kajitegemee mkuu.Habari wakuu,
Kakangu yuko kwenye ndoa na mke wake yapata miaka 20 sasa,
Kakangu ni mtu wa kusafiri sana kutokana kazi zake,
Shemeji yangu hana shida kabisa,kila kitu ambacho mwanamke anahitaji kupewa na mume wake,shemeji yangu amepewa kila kitu na hata mimi shem ananiheshimu sana kama shem wake wa pekee hapa mjini ,kakazangu wengine wapo ila nao wanashughuli zao huko mkoani,
Tatizo la shem anaruka sana na wanaume mpaka mimi hii tabia yake nimeanza kuchukia sasa,
Sasa mimi namsubiri kaka yangu arudi kwake ili na mimi nikamwambie uchafu wa mke wake,
Najua hata nikimwambia kaka,hakuna ninayemtegemea kwa sasa,ila lazima niseme ukweli kwa kaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilianza kujitegemea nikiwa na miaka 18 mpaka hapa nina miaka 30 sasa cjui unamaanisha aina gani ya kujitegemea
Huo muda wa kufuatilia maisha ya shemeji yako unatoa wapi?Nilianza kujitegemea nikiwa na miaka 18 mpaka hapa nina miaka 30 sasa cjui unamaanisha aina gani ya kujitegemea
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ww ujui tu unachukulia mambo kirahisi sana,huyo ni kakangu kama kuna mtu anataka kuharibu nyumba yake siwezi kukaa kimya,hata risasi nakupiga
Wewe utakua unamtamani shemeji yako sio bure!Mkuu ww ujui tu unachukulia mambo kirahisi sana,huyo ni kakangu kama kuna mtu anataka kuharibu nyumba yake siwezi kukaa kimya,hata risasi nakupiga
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe chai, jamaa umefukua kaburiNapendwa na mke wa mtu mpaka naumia moyo - JamiiForums
Napendwa na mke wa mtu mpaka naumia moyo
Naona vya wenzio aviumi ila cha Kaka ako kinauma[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano, Ukamwambia, wakagombana, then wakapatana, wewe ndo utaonekana adui, my friend, mambo ya mapenzi yaache km yalivyo, kazi zipo nyingi tu za kufanya usipende kuwa na free time ndo maana utajikuta unawaza mambo ya watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nisutwe na nani,hata nikisutwa hakuna ninachopoteza kwanza ndo nanepa kwa kusemwa
Ndo maana namsubiri tu akitoka sudan kwenye mission namwambie fasta sanaNimekuelewa, hebu fikiria siku kaka yako akagundua mwenyewe halafu akajua ulikuwa ukijua ila hukumwambia. Wewe ndo unamjua kaka yako ni mtu wa aina gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu najua inakela kuona Shem anaenda kutandazwa,ila ukitaka uishi kwa amani achana na hiyo habari,maana hata kaka kaka yako pia anachovya rungu huko,fanya yako vinginevyo utageuziwa kibao
Sent using Jamii Forums mobile app