Wala ujakoseaShemeji yako ana miaka mingapi hivi sasa?
Kama ana 20yrs ndoani si atakuwa mmama wa kwenye early 40's?? Hio tabia ya kutombwa tombwa kwa umri huo mbona ni mbingu na nchi mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
cha kufanya tafuta namba nyingine ya siri umuandikie msg ya hali halic unayoiona kuhusu shemeji yeye mwenyewe atasuka au kunyoaHabari wakuu,
Kakangu yuko kwenye ndoa na mke wake yapata miaka 20 sasa,
Kakangu ni mtu wa kusafiri sana kutokana kazi zake,
Shemeji yangu hana shida kabisa,kila kitu ambacho mwanamke anahitaji kupewa na mume wake,shemeji yangu amepewa kila kitu na hata mimi shem ananiheshimu sana kama shem wake wa pekee hapa mjini ,kakazangu wengine wapo ila nao wanashughuli zao huko mkoani,
Tatizo la shem anaruka sana na wanaume mpaka mimi hii tabia yake nimeanza kuchukia sasa,
Sasa mimi namsubiri kaka yangu arudi kwake ili na mimi nikamwambie uchafu wa mke wake,
Najua hata nikimwambia kaka,hakuna ninayemtegemea kwa sasa,ila lazima niseme ukweli kwa kaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu ushauri mzuricha kufanya tafuta namba nyingine ya siri umuandikie msg ya hali halic unayoiona kuhusu shemeji yeye mwenyewe atasuka au kunyoa
Risasi itakuhusuAcha kufuatilia Maisha ya watu ya ndoa. Kama hicho kitu kinakuuma tafuta mji wako mbali ukaishi huko. Na wewe subiri uoe watu wakumegee mkeo kama huyo kaka yako anavyofanyiwa maana naona unatukana mamba kabla hujavuka mto
Utagongewa na sio risasi tu hata kibao utashindwa kupiga kudadadeki. Narudia usitukane mamba kabla hujavuka mto
Utagongewa na sio risasi tu hata kibao utashindwa kupiga kudadadeki. Narudia usitukane mamba kabla hujavuka mto
Sawa ila uambiwalo lipo mkuu,na ogopa sana hawa viumbe wanawake waweza vunja hata uhusiano wenu we na kaka yako,na usiamini kilichotokea
Akiletewa ugonjwa utafurahi?? Mwambie tu kuna watu wamezoea kuchezea wenzao sababu hawajui uchafu wao!! Hakuna kitu kinaniudhi hapa duniani kama usaliti katika mapenzi.Acha ufala mkuu halafu wakiachana utafurahi watoto walelewe na baba tu au mama, mambo ya ndoa waachie wana ndoa.
... had mke anachepuka ujue na mumewe ni hivo hivo
Habari wakuu,
Kakangu yuko kwenye ndoa na mke wake yapata miaka 20 sasa,
Kakangu ni mtu wa kusafiri sana kutokana kazi zake,
Shemeji yangu hana shida kabisa,kila kitu ambacho mwanamke anahitaji kupewa na mume wake,shemeji yangu amepewa kila kitu na hata mimi shem ananiheshimu sana kama shem wake wa pekee hapa mjini ,kakazangu wengine wapo ila nao wanashughuli zao huko mkoani,
Tatizo la shem anaruka sana na wanaume mpaka mimi hii tabia yake nimeanza kuchukia sasa,
Sasa mimi namsubiri kaka yangu arudi kwake ili na mimi nikamwambie uchafu wa mke wake,
Najua hata nikimwambia kaka,hakuna ninayemtegemea kwa sasa,ila lazima niseme ukweli kwa kaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nashangaa hapo sijaelewa kabisaa tena mbaya mpaka hao wanawake wanasapoti!!
Watu wanapenda sana ngonoMimi nashangaa hapo sijaelewa kabisaa tena mbaya mpaka hao wanawake wanasapoti!!