Itabidi tu nitumie,na Mungu anisamehe

Itabidi tu nitumie,na Mungu anisamehe

Solarpanel

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2012
Posts
235
Reaction score
38
Sijajua nieleze vipi ila kwa ufupi nina sikitika sana kwa uamuzi ulionilazimu kuufanya,baada ya kuwa mmoja wa wale wanaopinga sana utumiaji wa njia za uzazi wa mpango,nami nikawa natumia njia ya asili,kwa takriban miaka miwili imenisaidia,ila mpk dk hii sijajjua nilipokosea lakini nimejikuta nikipata ujauzito wkt nahitaji bado kulea mtoto wangu kwanza.msinilaumu nipeni tu pole na kunishauri la kufanya,pia niambieni kama naweza kuendelea kunyonyesha mtoto niliyenae baada ya nilichokifanya.
Wenu aliokosa amani
 
Sijajua nieleze vipi ila kwa ufupi nina sikitika sana kwa uamuzi ulionilazimu kuufanya,baada ya kuwa mmoja wa wale wanaopinga sana utumiaji wa njia za uzazi wa mpango,nami nikawa natumia njia ya asili,kwa takriban miaka miwili imenisaidia,ila mpk dk hii sijajjua nilipokosea lakini nimejikuta nikipata ujauzito wkt nahitaji bado kulea mtoto wangu kwanza.msinilaumu nipeni tu pole na kunishauri la kufanya,pia niambieni kama naweza kuendelea kunyonyesha mtoto niliyenae baada ya nilichokifanya.
Wenu aliokosa amani

Haaaaa makubwa
 
Sijajua nieleze vipi ila kwa ufupi nina sikitika sana kwa uamuzi ulionilazimu kuufanya,baada ya kuwa mmoja wa wale wanaopinga sana utumiaji wa njia za uzazi wa mpango,nami nikawa natumia njia ya asili,kwa takriban miaka miwili imenisaidia,ila mpk dk hii sijajjua nilipokosea lakini nimejikuta nikipata ujauzito wkt nahitaji bado kulea mtoto wangu kwanza.msinilaumu nipeni tu pole na kunishauri la kufanya,pia niambieni kama naweza kuendelea kunyonyesha mtoto niliyenae baada ya nilichokifanya.
Wenu aliokosa amani

Pole huwa watalaamu husema haina adhala kunyonyesha.
 
Maziwa yanaweza mkataa mtoto na kuanza kuharisha so ni vzuri kumuachisha huyo wa miaka miwili....
Lea mimba maana hujui kwa nini mimba hiyo imetungwa usiwazie mabaya zaidi ya kumshukuru mungu wako na kuipenda mimba kwa afya ya mtoto
 
Yaa unaweza kuendelea kumnyonyesha mtoto. Af miaka miwili sio tatizo mbona, wew jipange tu na anza kuandaa mazingira kwa huyo mtoto ajaye
 
bas umeandika kimasikitiko wee kama sijui umetenda dhambi gani
 
we si wa kwanza wala wa kumi wala wa mia wala wa elfu kua katika hiyo situation... sioni cha ajabu hapo unajishtukia tu bila sababu ya msingi
 
Miaka miwili yote hiyo bado unamnyonyesha? Muachishe ziwa umletee mdogo wake...
 
Ndugu yangu MankaM ndio ni kwa masikitiko maana kweli sijakiweka wazi hapo nimeandika tu nilichokifanya bt ukweli nikwamba nimefanya uamuzi siwez sema ni mzuri au mbaya kwamaana nimeitoa,ndio maana naomba Mungu anisamehe kwa dhambi hiyo,kwanza sikuwa tayari tena,pili madocta walitushaur wakt najifungua kuwa tukae angalau miaka m3 maana nilijifungua kwa c section,pia hata eneo la kazi kama ujuavyo sekta binafsi wanataka mtu awe productive angalau kwa miaka mitati n si chini ya hapo.so hayo ndo niliyaconsider pamoja na kuwa tulipanga tupambane kwanza na mikakat ya kimaisha kabla ya kupata tena mtt mwingine.God plz forgive me.msinihukumu jamani,nimeumia sana na kulia sana
 
Miaka miwili yote hiyo bado unamnyonyesha? Muachishe ziwa umletee mdogo wake...

nilitamani sana mm na mume wangu tupate mtt mwingine huyu akishafikisha atlist miaka m4,maana umri bado unaniruhusu naweza sema tumewahi kuoana
 
we si wa kwanza wala wa kumi wala wa mia wala wa elfu kua katika hiyo situation... sioni cha ajabu hapo unajishtukia tu bila sababu ya msingi

ni kweli mm si wa kwanza,lakini laiti mazingira niliyopo yangeruhusu,hususan eneo la kazi,na maisha kwa ujumla.kweli kimeniuma maana sikukaa kuwaza kuwa naweza kufanya maamuzi ya aina hii.nayajutia
 
Yaa unaweza kuendelea kumnyonyesha mtoto. Af miaka miwili sio tatizo mbona, wew jipange tu na anza kuandaa mazingira kwa huyo mtoto ajaye

nimetoa ndugu yangu,ndo nauliza naweza endelea mnyonyesha huyu?na pia naomba tu kama una experience unishauri njia ipi nitumie kupanga uzazi,cs naweza sema sitaiamni tena ya calender,maana mpk sasa sijui tulipokosea ukizingatia tuko makini sana na wala hatunywi pombe
 
Nilikuwa naskia wanandoa ndo wanaongoza kwa kutoa mimba ila sikuwahi kujua kuwa na mm ipo siku itanitokea,nimeaffectika kisaikolojia,japo nakiri kuwa ningebaki nayo pia ningekuwa ktk hali mbaya kisaikolojia maana ningekuwa sijaipokea.ee mungu unirehemu
 
Nenda katubu kanisani hapa JF hatuna mamlaka ya kusamehe dhambi
 
Ndugu yangu MankaM ndio ni kwa masikitiko maana kweli sijakiweka wazi hapo nimeandika tu nilichokifanya bt ukweli nikwamba nimefanya uamuzi siwez sema ni mzuri au mbaya kwamaana nimeitoa,ndio maana naomba Mungu anisamehe kwa dhambi hiyo,kwanza sikuwa tayari tena,pili madocta walitushaur wakt najifungua kuwa tukae angalau miaka m3 maana nilijifungua kwa c section,pia hata eneo la kazi kama ujuavyo sekta binafsi wanataka mtu awe productive angalau kwa miaka mitati n si chini ya hapo.so hayo ndo niliyaconsider pamoja na kuwa tulipanga tupambane kwanza na mikakat ya kimaisha kabla ya kupata tena mtt mwingine.God plz forgive me.msinihukumu jamani,nimeumia sana na kulia sana

Hapa ndipo ulipokosea...hivi mwanamke mwenye ndoa yake takatifu unawezaje kuwa na mawazo ya kutoa mimba na hatimaye kutimiza wazo hilo...hivi mlikubaliana na mumeo ama umejiamulia mwenyewe..


Kuna wamama wamewaachisha watoto kunyonya baada ya miezi sita ya kunyonya sembuse we wa miaka miwili

Sijui hata.
 
Nilikuwa naskia wanandoa ndo wanaongoza kwa kutoa mimba ila sikuwahi kujua kuwa na mm ipo siku itanitokea,nimeaffectika kisaikolojia,japo nakiri kuwa ningebaki nayo pia ningekuwa ktk hali mbaya kisaikolojia maana ningekuwa sijaipokea.ee mungu unirehemu

Pole mamie.....usijefeel guilty kihivyo...ndo ishatokea, huwezi kubadilisha hali kwa kujilaumu...

Mungu anasamehe kila kitu, omba msamaha kiukweli....hakika yeye ni mwingi wa kusamehe....
 
Back
Top Bottom