Drifter
JF-Expert Member
- Jan 4, 2010
- 5,122
- 5,104
Hakika. Lakini hata Kenya, Zambia, Malawi, Ghana, … waasisi wao waliwarithisha mifumo ya ovyo ya kisiasa. Wao walipambana kuiondoa na kujiletea demokrasia ya kweli.Wa kumlaumu ni Nyerere aliyetengeneza mfumo uliopo
Sisi kwetu wamekumbatia ushenzi ule wa kale na kuzidi kuhamasisha siasa za kidikteta, manyanyaso na propaganda wakitumia rasilimali za taifa kuunda majeshi ya chawa huku wananchi wakiachwa wazame kwenye giza la ujinga na umasikini uliotopea.