Itachukua muda mrefu sana kwa walimu kuweza kujisimamia na huenda isitokee kabisa!

Itachukua muda mrefu sana kwa walimu kuweza kujisimamia na huenda isitokee kabisa!

Lanlady

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2019
Posts
1,836
Reaction score
6,303
Ni jambo la kusikitisha sana kuona baadhi ya walimu wanaunga mkono kitendo cha Mwalimu Maganga kukataliwa ombi lake.

Wanadhani wao watakuwa salama?

Hata kama ana makosa, bado kuna kila sababu ya kulinda nguvu ya chama cha walimu.

Ama sivyo tukubaliane wazi kwamba chama hiki hakiko huru na hakina nguvu yoyote katika kutetea haki za wanachama wake.
 
Naandika kwa msisitizo,tatizo kubwa ni kwamba CWT haina Nia Wala uwezo wa kumtetea mwalimu tena. CWT ilishatekwa na ccm na kwa jinsi ilivyo sasa haina hadhi ya chama Cha wafanyakazi,japokuwa kwa nje waweza sema ni chama Cha wafanyakazi.Walimu wenyewe wanajua na kuwa Cwt si Yao tena na yanayotokea huko hayawahusu
 
Back in the days walikuwa wanaheshimika sana. What happen hapa katikati mpaka imekuwa moja ya kazi zinazo dharauliwa recently
 
Ni jambo la kusikitisha sana kuona baadhi ya walimu wanaunga mkono kitendo cha mwlm Maganga kukataliwa ombi lake!
Wanadhani wao watakuwa salama?
Hata kama ana makosa, bado kuna kila sababu ya kulinda nguvu ya chama cha walimu!
Ama sivyo tukubaliane wazi kwamba chama hiki hakiko huru na hakina nguvu yoyote katika kutetea haki za wanachama wake!
na wewe tafakari ameomba kuazimwa kwa muda gani, yaani yeye kila akiomba anapewa tu na huku nafasi yake ya awali inatunzwa.

Yeye nani bana wangapi wameomba na wamenyimwa na wametulia na kuendelea na shughuli zao?

sasa si aache iyo kazi yake ya msingi aende huko alikoazimwa kama atafanikiwa?

huku anakorudishwa ndio msingi wa hizo kazi za kuazimwa alizokua anazifanya.
sasa Kiburi, tamaa, uchu na ujeuri, mwisho wake sio mzuri siku zote.
 
Wewe eidha ni mbumbumbu hujui sheria za utumishi wa umma au umeamua kujizima data . Watumishi wa CWT ni watumishi walimu wanaoazimwa kwa kipindi fulani kwa kibali cha katibu mkuu utumishi .
 
Mkuu kwenye kutii na kuheshimu mamlaka hakuhitaji siasa.. Acheni kuleta siasa kwenye hili suala..
Kwa hiyo ukiteuliwa bila kuambiwa na hiyo kazi huitaki unaenda tu na hiyo ndiyo tafsiri ya kutii na kuheshimu mamlaka?
Hizo fikra za ajabu sana.
Si kila mtu maishani ana ndoto ya kufanya kazi ya siasa. Ilifaa aulizwe kabla ya kutangazwa tu ghafla.
 
Ni jambo la kusikitisha sana kuona baadhi ya walimu wanaunga mkono kitendo cha mwlm Maganga kukataliwa ombi lake!
Wanadhani wao watakuwa salama?
Hata kama ana makosa, bado kuna kila sababu ya kulinda nguvu ya chama cha walimu!
Ama sivyo tukubaliane wazi kwamba chama hiki hakiko huru na hakina nguvu yoyote katika kutetea haki za wanachama wake!
Chama kinaongozwa na vilaza fomfoo feilia, unafikiri watajielewa lini, elimu ya Tanzania ni ujinga tu, karne ya 21 watunga sheria wengi ni vilaza wa darasa la 3C
 
Ni jambo la kusikitisha sana kuona baadhi ya walimu wanaunga mkono kitendo cha mwlm Maganga kukataliwa ombi lake!
Wanadhani wao watakuwa salama?
Hata kama ana makosa, bado kuna kila sababu ya kulinda nguvu ya chama cha walimu!
Ama sivyo tukubaliane wazi kwamba chama hiki hakiko huru na hakina nguvu yoyote katika kutetea haki za wanachama wake!
Niambie ni chama GANI cha wafanyakazi kipo active na kinajitambua!!?

Madaktari,polisi kipi!?

Yaani ambacho kinadai maslahi yake na serikali inatetemeka hapa Tz!?

Tuache ujinga wa mazoea mkuu!

Unataka walimu na chama chao wawe active kama chama kipi cha wafanyakazi TANZANIA!?

Vyama vyote vya wafanyakazi TANZANIA vinanywea KWA serikali kipi kimedindia serikali kukawa na ushindi!!?

Muulize dokta ulimboka!!

Acheni ufala nyie!!
 
Back
Top Bottom