Itakavyokuwa hotuba ya Bernard Membe ya Kuwaunganisha wapinzani

Itakavyokuwa hotuba ya Bernard Membe ya Kuwaunganisha wapinzani

Tila-lila2

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
652
Reaction score
1,058
Ni wazi kuwa Benard Membe anaenda upinzani. Mkakati unakamilika tarehe 21 Julai, 2020. Tukae mkao wa mapambano!

Katika inayotarajiwa kuwa hotuba yake Benard Membe anaelezwa kuleta picha kubwa zaidi ya inavyofikirika katika kambi ya upinzani. Katika maelezo yake ataanza na kuelezea kuwa katika maisha yake yote ya kisiasa hakuwahi kushambuliana na wanasiasa wenzake, si wa upinzani wala wa ndani ya Chama chake. Yeye amekuwa ni mtu wa kujitetea tu siku zote. Amekuwa akishambuliwa bila sababu yeyote.

Ataeleza jinsi anavyoamini katika mshikamo katika kuleta maendeleo ya kiuchumi na kidemokrasia. Ateleza namna kipato cha kila mtu kilivyopomoroka kwa kipindi hiki cha miaka mitano na yeye atakavyokuja na sera mbadala ya kuwajaza wananchi na njururu. Hapo atakugusia kupomoroka kwa kipato cha wafanyakazi na kupanda chati ya kimaslahi kwa wale wateule wa Mkulu wanaopendelewa. Atatoa ushahidi, pay roll inayoonesha Doto James kulipwa siku 6 kwa kazi ambayo hajashiriki hata kidogo. Ana huo ushahidhi tayari.

Katika hotuba yake ataonesha namna gani wapinzani wana nguvu wakiwa pamoja na kusisitiza upendo kwa nchi yetu. Ataeleza kwa kukosoa jinsi nchi inavyoongozwa kwa ubabe kwa sasa wakati hakuna hata haja ya kuleta ubabe usio na maana. Ataongelea kuhusu kuminywa kwa demokrasia akigusia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ataongelea kupotea kwa watu na kuminywa kwa uhuru wa habari. Ataongelea jinsi hali za kipato kwa wananchi zilivyo hafifu na kukosoa ujenzi wa miundo mbinu ambayo haina manufaa yeyote kwa kipato cha mwananchi wa kawaida. Pamoja na kuwa jana Tanzania imetangazwa nchi iliyohamishiwa kwenye kundi la nchi za kipato cha chini bado wananchi hawatakuwa na manufaa yeyote kwa sababu kuhamishiwa huko ina maana kuwa nchi itakuwa inakopesheka na haitakuwa ikipata misaada tena.

Ataongea kuhusu umuhimu wa Katiba mpya na kuahidi kutenganisha majukumu ya wakurugenzi kusimamia Uchaguzi kwani wanakuwa nao ni sehemu ya Tume ya Uchaguzi. Ataeleza kwa kina kuwa kuanzia ngazi ya chini kabisa atatengeneza mazingira ya uhuru wa wananchi wa chini kuchagua viongozi wao. Ataeleza kuwa wananchi kuanzia ngazi za chini waishi kwa kupendana na wasijengewe chuki na watawala kwa ajili ya watawala kutaka kutawala kwa nguvu. Ataahidi kuondoa kinga ya kutoshtakiwa kwa Rais na viongozi wengine akielezea kwa kina kuwa Serikali itayaoingia madarakani haitakuwa na sababu za kujiwekea makinga kinga wa sababu itakuwa ni Serikali safi.

Ataahidi kulipa fidia kwa wale waliobomolewa nyumba zao Dar na kwingineko. Ataahidi kuendeleza Jiji la Dodoma kwani anaufahamu Mpango Kazi wote kuhusu kuendeleza mji huo. Ataahidi kuwafanyia wafanyabiashara mazingira rafiki ya kufanya biashara zao ikiwepo kutowabambikizia kodi bila utaratibu unaoeleweka. Ataahidi kuanzisha uchunguzi kuhusu matukio ya watu kupotea na wale waliomtwanga risasi Tundu Lisu akionesha kwa wazi kuwa watu hao watapatikana iwe isiwe.
 
Ni wazi kuwa Benard Membe anaenda upinzani. Mkakati unakamilika tarehe 21 Julai, 2020. Tukae mkao wa mapambano!

Katika inayotarajiwa kuwa hotuba yake Benard Membe anaelezwa kuleta picha kubwa zaidi ya inavyofikirika katika kambi ya upinzani. Katika maelezo yake ataanza na kuelezea kuwa katika maisha yake yote ya kisiasa hakuwahi kushambuliana na wanasiasa wenzake, si wa upinzani wala wa ndani ya Chama chake. Yeye amekuwa ni mtu wa kujitetea tu siku zote. Amekuwa akishambuliwa bila sababu yeyote.

Ataeleza jinsi anavyoamini katika mshikamo katika kuleta maendeleo ya kiuchumi na kidemokrasia. Ateleza namna kipato cha kila mtu kilivyopomoroka kwa kipindi hiki cha miaka mitano na yeye atakavyokuja na sera mbadala ya kuwajaza wananchi na njururu. Hapo atakugusia kupomoroka kwa kipato cha wafanyakazi na kupanda chati ya kimaslahi kwa wale wateule wa Mkulu wanaopendelewa. Atatoa ushahidi, pay roll inayoonesha Doto James kulipwa siku 6 kwa kazi ambayo hajashiriki hata kidogo. Ana huo ushahidhi tayari.

Katika hotuba yake ataonesha namna gani wapinzani wana nguvu wakiwa pamoja na kusisitiza upendo kwa nchi yetu. Ataeleza kwa kukosoa jinsi nchi inavyoongozwa kwa ubabe kwa sasa wakati hakuna hata haja ya kuleta ubabe usio na maana. Ataongelea kuhusu kuminywa kwa demokrasia akigusia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ataongelea kupotea kwa watu na kuminywa kwa uhuru wa habari. Ataongelea jinsi hali za kipata kwa wananchi zilivyo hafifu na kukosoa ujenzi wa miundo mbinu ambayo haina manufaa yeyote kwa kipato cha mwananchi wa kawaida. Ataongelea kuhusu kutofuatwa kwa sheria na upendeleo wa waziwazi unaoneshwa na Serikali hii.

Ataongea kuhusu umuhimu wa Katiba mpya na kuahidi kutenganisha majukumu ya wakurugenzi kusimamia Uchaguzi kwani wanakuwa nao ni sehemu ya Tume ya Uchaguzi. Ataeleza kwa kina kuwa kuanzia ngazi ya chini kabisa atatengeneza mazingira ya uhuru wa wananchi wa chini kuchagua viongozi wao. Ataeleza kuwa wananchi kuanzia ngazi za chini waishi kwa kupendana na wasijengewe chuki na watawala kwa ajili ya watawala kutaka kutawala kwa nguvu. Ataahidi kuondoa kinga ya kutoshtakiwa kwa Rais na viongozi wengine akielezea kwa kina kuwa Serikali itayaoingia madarakani haitakuwa na sababu za kujiwekea makinga kinga wa sababu itakuwa ni Serikali safi.

Ataahidi kulipa fidia kwa wale waliobomolewa nyumba zao Dar na kwingineko. Ataahidi kuendeleza Jiji la Dodoma kwani anaufahamu Mpango Kazi wote kuhusu kuendeleza mji huo. Ataahidi kuwafanyia wafanyabiashara mazingira rafiki ya kufanya biashara zao ikiwepo kutowabambikizia kodi bila utaratibu unaoeleweka. Ataahidi kuanzisha uchunguzi kuhusu matukio ya watu kupotea na wale waliomtwanga risasi Tundu Lisu akionesha kwa wazi kuwa watu hao watapatikana iwe isiwe.
Chadema wasije kuingia tena kwenye huu mtego.. Mara uchguzi ukiisha jamaa ana kwenda kuunga juhudi. Na kuacha majeraha. Kama atpokelewa Chadema apokelewe bila kutoa msharti ya aina yoyote..
 
Hana nafasi ya kugombea nje ya CCM (Too late)
 
Kitu pekee tu nilichokigundua kwa haraka ni kwamba Membe ana Washauri Wapuuzi na Wanafiki sana ambao nina uhakika wanampoteza mazima na wanamtafutia matatizo ambayo bahati nzuri hata Yeye Mwenyewe ( Membe ) kwa Kiapo chake anayajua kuwa akiyakiuka yatamgharimu tu.

Bado sijauona huo Mvuto wa Kisiasa alionao Membe hata kama akiungana na huyo Kiongozi wa Wanasiasa Wanafiki Tanzania nzima. Anajisumbua bure tu!
 
Inakuwaje unawadharau wenzako kiasi hata unawaita wapuuzi? Nani kakudanganya kuwa wewe ndiye genius?

Wacha dharau na huo u genius wako baki nao nyumbani kwenu.
Kitu pekee tu nilichokigundua kwa haraka ni kwamba Membe ana Washauri Wapuuzi na Wanafiki sana ambao nina uhakika wanampoteza mazima na wanamtafutia matatizo ambayo bahati nzuri hata Yeye Mwenyewe ( Membe ) kwa Kiapo chake anayajua kuwa akiyakiuka yatamgharimu tu. Bado sijauona huo Mvuto wa Kisiasa alionao Membe hata kama akiungana na huyo Kiongozi wa Wanasiasa Wanafiki Tanzania nzima. Anajisumbua bure tu!
 
Chadema wasije kuingia tena kwenye huu mtego.. Mara uchguzi ukiisha jamaa ana kwenda kuunga juhudi. Na kuacha majeraha. Kama atpokelewa Chadema apokelewe bila kutoa msharti ya aina yoyote..
Msiogope gia za angani ni kawaida sana ili mradi tufike.
 
Inakuwaje unawadharau wenzako kiasi hata unawaita wapuuzi? Nani kakudanganya kuwa wewe ndiye genius?

Wacha dharau na huo u genius wako baki nao nyumbani kwenu.

Nafurahi sasa kuanza Kuona wale Washauri niliowaita Wapuuzi wa Membe taratibu mnaanza Kujitokeza. Sipo CCM wala Upinzani na siku zote nitabaki kuwa Neutral na hata Maoni yangu / Michango yangu hapa Jamvini itabaki na itaendelea kuwa ni ya Kati ila huyo Membe wenu hata afanyeje hatothubutu kuja kuwa Head of State and Commander in Chief wa Tanzania hii hii ambayo Mimi pia naiishi.
 
Turufu nyingine ya UPINZANI kupigwa hiyoooooo. Mamluki a.k.a Jasusi mbobezi anaenda.
Safari hii wakikumbatia ndio nitajua au nitajihakikishia kile huwa nasema hakuna upinzaninTz labda wananchi wa kawaida.

Dr Ulimboka alichomolewa meno katika utawala wake, yeye akiwa jasusi aliyesoma kwa kodi za wanyonge hajawahi kusema nani alihusika.

Issue ya hela Gaddafi hajawahi kuitolea maelezo, hana Moral authority kusema haya, labda TL tu amabae hana makandokando.

Wampokee waishe
 
Ni wazi kuwa Benard Membe anaenda upinzani. Mkakati unakamilika tarehe 21 Julai, 2020. Tukae mkao wa mapambano!

Katika inayotarajiwa kuwa hotuba yake Benard Membe anaelezwa kuleta picha kubwa zaidi ya inavyofikirika katika kambi ya upinzani. Katika maelezo yake ataanza na kuelezea kuwa katika maisha yake yote ya kisiasa hakuwahi kushambuliana na wanasiasa wenzake, si wa upinzani wala wa ndani ya Chama chake. Yeye amekuwa ni mtu wa kujitetea tu siku zote. Amekuwa akishambuliwa bila sababu yeyote.

Ataeleza jinsi anavyoamini katika mshikamo katika kuleta maendeleo ya kiuchumi na kidemokrasia. Ateleza namna kipato cha kila mtu kilivyopomoroka kwa kipindi hiki cha miaka mitano na yeye atakavyokuja na sera mbadala ya kuwajaza wananchi na njururu. Hapo atakugusia kupomoroka kwa kipato cha wafanyakazi na kupanda chati ya kimaslahi kwa wale wateule wa Mkulu wanaopendelewa. Atatoa ushahidi, pay roll inayoonesha Doto James kulipwa siku 6 kwa kazi ambayo hajashiriki hata kidogo. Ana huo ushahidhi tayari.

Katika hotuba yake ataonesha namna gani wapinzani wana nguvu wakiwa pamoja na kusisitiza upendo kwa nchi yetu. Ataeleza kwa kukosoa jinsi nchi inavyoongozwa kwa ubabe kwa sasa wakati hakuna hata haja ya kuleta ubabe usio na maana. Ataongelea kuhusu kuminywa kwa demokrasia akigusia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ataongelea kupotea kwa watu na kuminywa kwa uhuru wa habari. Ataongelea jinsi hali za kipata kwa wananchi zilivyo hafifu na kukosoa ujenzi wa miundo mbinu ambayo haina manufaa yeyote kwa kipato cha mwananchi wa kawaida. Ataongelea kuhusu kutofuatwa kwa sheria na upendeleo wa waziwazi unaoneshwa na Serikali hii.

Ataongea kuhusu umuhimu wa Katiba mpya na kuahidi kutenganisha majukumu ya wakurugenzi kusimamia Uchaguzi kwani wanakuwa nao ni sehemu ya Tume ya Uchaguzi. Ataeleza kwa kina kuwa kuanzia ngazi ya chini kabisa atatengeneza mazingira ya uhuru wa wananchi wa chini kuchagua viongozi wao. Ataeleza kuwa wananchi kuanzia ngazi za chini waishi kwa kupendana na wasijengewe chuki na watawala kwa ajili ya watawala kutaka kutawala kwa nguvu. Ataahidi kuondoa kinga ya kutoshtakiwa kwa Rais na viongozi wengine akielezea kwa kina kuwa Serikali itayaoingia madarakani haitakuwa na sababu za kujiwekea makinga kinga wa sababu itakuwa ni Serikali safi.

Ataahidi kulipa fidia kwa wale waliobomolewa nyumba zao Dar na kwingineko. Ataahidi kuendeleza Jiji la Dodoma kwani anaufahamu Mpango Kazi wote kuhusu kuendeleza mji huo. Ataahidi kuwafanyia wafanyabiashara mazingira rafiki ya kufanya biashara zao ikiwepo kutowabambikizia kodi bila utaratibu unaoeleweka. Ataahidi kuanzisha uchunguzi kuhusu matukio ya watu kupotea na wale waliomtwanga risasi Tundu Lisu akionesha kwa wazi kuwa watu hao watapatikana iwe isiwe.


Nitacomment baada ya kusikia aliwazungumziaje wapinzani miaka ya nyuma na kabla ya kuungana nao
 
Nitacomment baada ya kusikia aliwazungumziaje wapinzani miaka ya nyuma na kabla ya kuungana nao
Hakuwahi kuwaongelea vibaya hata kidogo. Membe yupo peace sana! Atazibadilisha siasa za Tanzania soon
 
Wewe na Mungu muna undugu mkuu naona unaongea as if na ww wahusika katika kupanga matukio yanayotokea hapa duniani.
 
Inakuwaje unawadharau wenzako kiasi hata unawaita wapuuzi? Nani kakudanganya kuwa wewe ndiye genius?

Wacha dharau na huo u genius wako baki nao nyumbani kwenu.
Umeshaandaa andaa matambara ya kudekia barabara kwa ajili ya Membe?
 
Hapana kwani safari hii ni zamu yako kudeki hiyo barabara ili mh Membe apite wakati anaingia lumumba kuchukua form ya kugombea urais
Umeshaandaa andaa matambara ya kudekia barabara kwa ajili ya Membe?
 
Hakuwahi kuwaongelea vibaya hata kidogo. Membe yupo peace sana! Atazibadilisha siasa za Tanzania soon

Mkuu hata Membe apange sentensi tamu za kuvuta wapinzani namna gani, kilichotokea kwa Lowassa kinatosha. Wengi wetu hatuko tayari tena kurudia kosa. Kama anakuja upinzani kudai tume huru ya uchaguzi hapo ni sawa, ila sio apewe nafasi ya kugombea urais kisha tumuunge mkono. Tunajitambua vya kutosha.
 
Ni wazi kuwa Benard Membe anaenda upinzani. Mkakati unakamilika tarehe 21 Julai, 2020. Tukae mkao wa mapambano!

Katika inayotarajiwa kuwa hotuba yake Benard Membe anaelezwa kuleta picha kubwa zaidi ya inavyofikirika katika kambi ya upinzani. Katika maelezo yake ataanza na kuelezea kuwa katika maisha yake yote ya kisiasa hakuwahi kushambuliana na wanasiasa wenzake, si wa upinzani wala wa ndani ya Chama chake. Yeye amekuwa ni mtu wa kujitetea tu siku zote. Amekuwa akishambuliwa bila sababu yeyote.

Ataeleza jinsi anavyoamini katika mshikamo katika kuleta maendeleo ya kiuchumi na kidemokrasia. Ateleza namna kipato cha kila mtu kilivyopomoroka kwa kipindi hiki cha miaka mitano na yeye atakavyokuja na sera mbadala ya kuwajaza wananchi na njururu. Hapo atakugusia kupomoroka kwa kipato cha wafanyakazi na kupanda chati ya kimaslahi kwa wale wateule wa Mkulu wanaopendelewa. Atatoa ushahidi, pay roll inayoonesha Doto James kulipwa siku 6 kwa kazi ambayo hajashiriki hata kidogo. Ana huo ushahidhi tayari.

Katika hotuba yake ataonesha namna gani wapinzani wana nguvu wakiwa pamoja na kusisitiza upendo kwa nchi yetu. Ataeleza kwa kukosoa jinsi nchi inavyoongozwa kwa ubabe kwa sasa wakati hakuna hata haja ya kuleta ubabe usio na maana. Ataongelea kuhusu kuminywa kwa demokrasia akigusia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ataongelea kupotea kwa watu na kuminywa kwa uhuru wa habari. Ataongelea jinsi hali za kipata kwa wananchi zilivyo hafifu na kukosoa ujenzi wa miundo mbinu ambayo haina manufaa yeyote kwa kipato cha mwananchi wa kawaida. Ataongelea kuhusu kutofuatwa kwa sheria na upendeleo wa waziwazi unaoneshwa na Serikali hii.

Ataongea kuhusu umuhimu wa Katiba mpya na kuahidi kutenganisha majukumu ya wakurugenzi kusimamia Uchaguzi kwani wanakuwa nao ni sehemu ya Tume ya Uchaguzi. Ataeleza kwa kina kuwa kuanzia ngazi ya chini kabisa atatengeneza mazingira ya uhuru wa wananchi wa chini kuchagua viongozi wao. Ataeleza kuwa wananchi kuanzia ngazi za chini waishi kwa kupendana na wasijengewe chuki na watawala kwa ajili ya watawala kutaka kutawala kwa nguvu. Ataahidi kuondoa kinga ya kutoshtakiwa kwa Rais na viongozi wengine akielezea kwa kina kuwa Serikali itayaoingia madarakani haitakuwa na sababu za kujiwekea makinga kinga wa sababu itakuwa ni Serikali safi.

Ataahidi kulipa fidia kwa wale waliobomolewa nyumba zao Dar na kwingineko. Ataahidi kuendeleza Jiji la Dodoma kwani anaufahamu Mpango Kazi wote kuhusu kuendeleza mji huo. Ataahidi kuwafanyia wafanyabiashara mazingira rafiki ya kufanya biashara zao ikiwepo kutowabambikizia kodi bila utaratibu unaoeleweka. Ataahidi kuanzisha uchunguzi kuhusu matukio ya watu kupotea na wale waliomtwanga risasi Tundu Lisu akionesha kwa wazi kuwa watu hao watapatikana iwe isiwe.
Kakaa Serikalini karibia maisha yake yote, eti Leo ndo anaona umuhimu wa katiba mpya? Aache unafiki akafie mbele huko msyuuu
 
Yani Kama na uchaguzi ujao upinzani ukiungana halfu ukampitisha kada wa CCM alietimuliwa ndo awe mgombea urais ndo nitaamini kabisa kuwa Tanzania bado hakuna upinzan wa kweli Bali Kuna Wahuni tu.
 
Back
Top Bottom