Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika industry hii ya bongo flavour hizi curiosity ni shida..Hii thread ni ya kudadisi zaidi
sio ya kuponda na kushangilia upande
i am more curious ni hii fitina ya hii industry kuliko kushabikia timu fulani
E FM wenyewe wanaonekana kushindwa, walekua ktk game 2016 2017 lkn hadi kufikia Leo, naona bado hawajatoboa tena hao wana TV wana radio, sembuse msanii wa kawaida!!!?Kila anayegombna na clouds huwa anapat sapport ya mashabiki siku za mwanzoni tu mfn mzur siku ruby alipoamua kutoa ya mayoni kuhusu clouds alipat maelfu ya comments yakimpa moyo huku yakiibeza clouds lkn mwisho wa siku karudi kuomba msamaha!!
Clouds kuiangusha mpaka pale wasanii wote watapoamua kusimama kidete lkn hii ya kusubir kila mtu apambane kivyake itawacost sana watu walioweza kidgo kuiyumbisha clouds ni ant virus tu hawa wengine bado sana coz ant virus ilipata sapport karibia vituo ving sana vya radio!!
Kuna Tv na radio nyingi mno hazipati faida TZ..na zina pesa
mfano TV ya David Mosha....haina hata watazamaji licha ya mtaji mkubwa
ASTV..
Dimond hana Uwezo wa kufungua Radio na TV,kuna watu wapo nyuma,achaneni na maisha ya instagram na facebook ya wasanii,maisha ya uhalisia ni tofauti na instagram,awamu ya 4 dimond alikuwa anatumia migongo ya kina rizmoko kufanya dili zake za "SNOW",Dimond mziki haumlipi hata kidogo,Show anazofanya wakati ana kundi la watu 20 wote hiyo hiyo hela ya show zinatosha? Hata akipiga show kwa 20m,mtagawana vipi? Fela,Tale,Mwarabu koko salamu,Dancers,Walinzi etchata mimi nimeanza kuhisi Wasafi Tv na redio huenda siyo za diamond maana nimeanza kuona kuna wengi wanaficha mambo yao nyuma ya kijana.
ila clouds wao wanajinasibu kuwa ahwana bifu na diamond, na leo nimemuona soudy anamsifia diamond halafu akamalzia kwa kusema mwenye matatizo ni kubwa jinga akimaanisha sallam
Jide na Sugu mkuu naomba msiwe mnamsahau Sugu jamanMpaka sasa JIDE ndio kakomaa na CLOUDS wengine wote wameomba msamaha,Dimond na MWarabu KOKO SALAMU lazima watakuja kuomba msamaha.
Jide na Sugu mkuu naomba msiwe mnamsahau Sugu jaman
Hahah!! Mwana anaforce kila mtu asimame upande wakeNiombe radhi haraka otherwise kama lengo lako ni kunitafutia ban basi na iwe hivyo.
Nakupa dakika 20 nitarudi hapa.
Yani huyo Ruge alikua ananyimwa usingizi na Sugu maana jamaa ni mbishi sana yani Ruge anamkwamishia harakati kimuziki ila Sugu akazidi kutoboa mpaka kuingia bungeniSugu peke yake naweza kusema ndo aliwatetemesha hawa
Sugu hakusanda askari wangu asikuambie mtu, Ruge ndio alisanda mpaka kuomba suruhu kupitia viongoz wa SunguSugu hapana mkuu,Sugu kasanda,ugomvi wao uliisha kwa kigezo cha kusema Mbowe alikutana na Ruge hili waweze kupata mwafaka...SUGU kashamaliza ugomvi na Ruge.
Dimond hana Uwezo wa kufungua Radio na TV,kuna watu wapo nyuma,achaneni na maisha ya instagram na facebook ya wasanii,maisha ya uhalisia ni tofauti na instagram,awamu ya 4 dimond alikuwa anatumia migongo ya kina rizmoko kufanya dili zake za "SNOW",Dimond mziki haumlipi hata kidogo,Show anazofanya wakati ana kundi la watu 20 wote hiyo hiyo hela ya show zinatosha? Hata akipiga show kwa 20m,mtagawana vipi? Fela,Tale,Mwarabu koko salamu,Dancers,Walinzi etc
Kwasasa wanajipendekeza kwa BASHITE awape madili haramu kama enzi za awamu ya nne,endorsements za dimond za kuhesabu ambazo haziwezi kumlipa mpaka kununua nyumba instagram iliyopo S.A,mtu mwenye hela hawezi kuishi kwenye kiwanja cha 25 kwa 25 madale,ilitakiwa awe na 140m kwa 140m ESTATE na si viwanja ukijenga hata Gari mbili ndani haziingii.
Wasanii maisha yao yote ni maigizo tu.
Wanachopaswa kutambuwa watu ni kwamba Makonda siyo RC wa milele Dar, ametukuta Dar na atatuacha na.Dar yetu.
Ukitaka kushindana na Madon kama kina Kusaga sisi tuliozaliwa na kukulia jiji hili tunakutazama tu, tunajuwa ngoma ya kitoto haikeshi.
Naseed sidhani kama ana matatizo na mtu bali genge lake ndio linamuingiza matatizoni na wote ukiwatazama kwa makini wanaishi mjini kwa kutumia kipaji cha Naseeb.
Anyway muda utaamuwa lakini WCB hawana ubavu wa kudindishiana msuli na Clouds Media.
Joseph Kusaga alianza mwenyewe kubeba maspika ya kupigia disco kupeleka ukumbini, kuna washamba wa kuja wanamchukulia poa.
Clouds siyo Ruge, Clouds ni Joseph Kusaga, wacha wajinga wajaribu kujamba wakati wana matumbo ya kuhara, tuombe uhai tu.
Sikuombi radhi ....Niombe radhi haraka otherwise kama lengo lako ni kunitafutia ban basi na iwe hivyo.
Nakupa dakika 20 nitarudi hapa.
Yani huyo Ruge alikua ananyimwa usingizi na Sugu maana jamaa ni mbishi sana yani Ruge anamkwamishia harakati kimuziki ila Sugu akazidi kutoboa mpaka kuingia bungeni
Sugu hakusanda askari wangu asikuambie mtu, Ruge ndio alisanda mpaka kuomba suruhu kupitia viongoz wa Sungu
Hapana sizungumzii sehemu,nazungumzia msanii kama yeye kuishi kwenye kiwanja kama kiganja cha mkono.....Sehemu zote ni sawa tu,tena nje ya mji ndio kuzuri,ona kina 50 cent wanakaa nje ya mji ila ana ekari za kutosha.Mkuu kwani kuishi Madale ni big deal?
yaan ruby unamlinganisha na diamond?Kila anayegombna na clouds huwa anapat sapport ya mashabiki siku za mwanzoni tu mfn mzur siku ruby alipoamua kutoa ya mayoni kuhusu clouds alipat maelfu ya comments yakimpa moyo huku yakiibeza clouds lkn mwisho wa siku karudi kuomba msamaha!!
Clouds kuiangusha mpaka pale wasanii wote watapoamua kusimama kidete lkn hii ya kusubir kila mtu apambane kivyake itawacost sana watu walioweza kidgo kuiyumbisha clouds ni ant virus tu hawa wengine bado sana coz ant virus ilipata sapport karibia vituo ving sana vya radio!!
ivi unamkumbuka Sugu? nani aliomba po?Kila anayegombna na clouds huwa anapat sapport ya mashabiki siku za mwanzoni tu mfn mzur siku ruby alipoamua kutoa ya mayoni kuhusu clouds alipat maelfu ya comments yakimpa moyo huku yakiibeza clouds lkn mwisho wa siku karudi kuomba msamaha!!
Clouds kuiangusha mpaka pale wasanii wote watapoamua kusimama kidete lkn hii ya kusubir kila mtu apambane kivyake itawacost sana watu walioweza kidgo kuiyumbisha clouds ni ant virus tu hawa wengine bado sana coz ant virus ilipata sapport karibia vituo ving sana vya radio!!