Itakuaje siku Diamond akiwaomba radhi clouds TV?

Itakuaje siku Diamond akiwaomba radhi clouds TV?

Kutaka Amani wa Vita utakufa Mapema.....Sugu ilitakiwa akaze mwanzo mpaka mwisho mpaka kile walichokua wanakisimamia vinega kiwekwe sawa.
Mbunge sahivi ana mambo mengi ya kufanya pia njia aliokua anatumia kupambana na Ruge sio rafiki tena kwa sehemu alipo sasa... ila kimtindo harakati aliziendeleza bungeni mpaka Ruge kuomba yaishe
 
We jamaa una mawazo km yangu, binafsi nahisi Wasafi TV Radio sio ya Dai, bali inawezakuwa ya DAB.

Pili bifu la Sallam ilikuwa njia ya Sallam kumuokoa Iyobo na kwa kuwa Ruge ndo aliamuru jamaa apelekwe police ndo jumba bovu likamuangukia hasa ukizingatia Ruge hana ule ushikaji wa nje na kazi... na km vile Sallam anaiogopa clouds
ivi clouds wao nani wasishindwe?
 
Wakupambana na clouds n
Comandoo jide pekeake
Hao wengine wote n fukuza


Upepotu wcb c chochote Kwa
Clouds na wasngefka hapo kama
Co ruge Sasa wajue kua
Kama wamliamsha bhas watalinywa


Waangalie wenzao kina tid,sugu,ruby
Wote walisanda sembuse wao kuku
Mtt wa kumzaa mwenywe hawez
Kukushinda tabia
 
Ila kuendesha Radio/Tv si kazi rahisi. Mpaka upate mashabiki royal inahitaji muda sana.

Na radio si Muziki tu, siku hizi Watu wanapata Muziki wanapata Youtube na social networks nyingine. Radio/Tv zinahitaji contents tofautitofauti na kusoma mahitaji ya soko.

Cc: chige
kaa ivo ivo,, subiri tu,, hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
 
Wanachopaswa kutambuwa watu ni kwamba Makonda siyo RC wa milele Dar, ametukuta Dar na atatuacha na.Dar yetu.

Ukitaka kushindana na Madon kama kina Kusaga sisi tuliozaliwa na kukulia jiji hili tunakutazama tu, tunajuwa ngoma ya kitoto haikeshi.

Naseed sidhani kama ana matatizo na mtu bali genge lake ndio linamuingiza matatizoni na wote ukiwatazama kwa makini wanaishi mjini kwa kutumia kipaji cha Naseeb.

Anyway muda utaamuwa lakini WCB hawana ubavu wa kudindishiana msuli na Clouds Media.

Joseph Kusaga alianza mwenyewe kubeba maspika ya kupigia disco kupeleka ukumbini, kuna washamba wa kuja wanamchukulia poa.

Clouds siyo Ruge, Clouds ni Joseph Kusaga, wacha wajinga wajaribu kujamba wakati wana matumbo ya kuhara, tuombe uhai tu.
Na domo alivomjinga na akili zake zote
Anakubali kuwa na beed na clouds
Anachokitafta atakipata
 
Sikuombi radhi ....

Kuna watu wa kuomba radhi....sio wewe.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Naomba kurudi manenno yangu "Diamond platnumz ndio msaanii wa kwanza Afrika Mashariki anaziangusha Media na kuendelea kusimama mwenyewe Ahsante Chibuendelea kuwakomboa Wasanii wenzio kifikira na kuufanya Muziki biashara kama nchi zingine zilivyoendelea katika Tasnia hii".
 
Naomba kurudi manenno yangu "Diamond platnumz ndio msaanii wa kwanza Afrika Mashariki anaziangusha Media na kuendelea kusimama mwenyewe Ahsante Chibuendelea kuwakomboa Wasanii wenzio kifikira na kuufanya Muziki biashara kama nchi zingine zilivyoendelea katika Tasnia hii".
Ndoto za mchana hz mtaota sana
 
Wakupambana na clouds n
Comandoo jide pekeake
Hao wengine wote n fukuza


Upepotu wcb c chochote Kwa
Clouds na wasngefka hapo kama
Co ruge Sasa wajue kua
Kama wamliamsha bhas watalinywa


Waangalie wenzao kina tid,sugu,ruby
Wote walisanda sembuse wao kuku
Mtt wa kumzaa mwenywe hawez
Kukushinda tabia
Tatizo lako unasahau kama WCB imejiimarisha kitaasisi sio mtu mmoja,ukishindwa kutumia kichwa kuona mambo basi tumia hata makalio alokupa mungu bure kuwazua mambo...shwain
 
Back
Top Bottom