Itakuaje siku Diamond akiwaomba radhi clouds TV?

Kutaka Amani wa Vita utakufa Mapema.....Sugu ilitakiwa akaze mwanzo mpaka mwisho mpaka kile walichokua wanakisimamia vinega kiwekwe sawa.
Mbunge sahivi ana mambo mengi ya kufanya pia njia aliokua anatumia kupambana na Ruge sio rafiki tena kwa sehemu alipo sasa... ila kimtindo harakati aliziendeleza bungeni mpaka Ruge kuomba yaishe
 
ivi clouds wao nani wasishindwe?
 
Wakupambana na clouds n
Comandoo jide pekeake
Hao wengine wote n fukuza


Upepotu wcb c chochote Kwa
Clouds na wasngefka hapo kama
Co ruge Sasa wajue kua
Kama wamliamsha bhas watalinywa


Waangalie wenzao kina tid,sugu,ruby
Wote walisanda sembuse wao kuku
Mtt wa kumzaa mwenywe hawez
Kukushinda tabia
 
kaa ivo ivo,, subiri tu,, hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
 
Na domo alivomjinga na akili zake zote
Anakubali kuwa na beed na clouds
Anachokitafta atakipata
 
Sikuombi radhi ....

Kuna watu wa kuomba radhi....sio wewe.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Naomba kurudi manenno yangu "Diamond platnumz ndio msaanii wa kwanza Afrika Mashariki anaziangusha Media na kuendelea kusimama mwenyewe Ahsante Chibuendelea kuwakomboa Wasanii wenzio kifikira na kuufanya Muziki biashara kama nchi zingine zilivyoendelea katika Tasnia hii".
 
Ndoto za mchana hz mtaota sana
 
Tatizo lako unasahau kama WCB imejiimarisha kitaasisi sio mtu mmoja,ukishindwa kutumia kichwa kuona mambo basi tumia hata makalio alokupa mungu bure kuwazua mambo...shwain
 
Ujinga wa mwingine ndio fursa wewe tulia ukune nazi eti kuanzisha tv na radio kazi kwani hao wanaoweza ilikuaje.
Nasema hv ngoma ya watoto haikesh
Mkibisha mkamuulize ruby
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…