Binafsi nna maswali kibao....
1.ugomvi huu hasa chanzo ni nini?
chanzo ni maslahi binafsi ya Magodfather wa mziki wa bongoflava.
2.Mkubwa Fella yuko upande upi?
Yupo upande wa Joseph kusaga
3.tv ya WCB ni yao wao au wana sponsor?
TV NA WCB WEBSITE NI YA CLOUDS MEDIA GROUP
sponsor wao ni nani?
Sponsor wao ni JOSEPH KUSAGA
4.Ruge na Salaam wana bifuu lingine la personal?Salaam anaandaliwa na kKUSAGA kua the next RUGE MUTAHABA na JOSEPH KUSAGA.
5.mikataba ya Diamond kwenye karanga na perfume itakuwa canceled ?Mikataba ipo pale pale kama vile JOTI anavyotangaza Chama ndo Diamond anavyotangaza karanga za SMART INDUSTRY na CHIBU PERFUME ya mke wa KUSAGA
6.victims wa beef hili watachagua upande?.Victim n wale washinda INSTA wanaojua tukanana hata kazi hawataki..
Wasafi
DEVELOPER WAKE NI
Home setuplimited.
AMBAO SETUPLIMITED WAPO AFFILIATED NA
About Us - Clouds Media Group CLOUDS MEDIA GROUP
WANAOELEWA WAELEWE HIYO INAITWA FORENSIC AUDIT...OR FOLLOW THE MONEY STRATEGY
View attachment 873214View attachment 873213View attachment 873211