Pre GE2025 Itakuwa Aibu sana kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania kutumikishwa na mtu mdogo kama Albert Chalamila

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Alokwambia JWTZ watafanya usafi ni nani je kama watafanya usafi polisi,jkt,au migambo au hujui hao wote ni wanajeshi???
 
Moja ya majukumu ya jeshi ni kushirikiana na jamii katika majanga,kuna janga la kipindupindu limeanza kujitokeza nchini hivyo Jwtz inaenda kutekeleza wajibu wake.

Nadhani mshaelewa sasa kwanini mapolisi nao hutekeleza maelekezo mengine ambayo huwa yanatuacha vinywa wazi.
 

Mimi huyu Jamaa huwa namuona hamnazo. Ila tu basi kwakuwa mfumo wetu wa kupata viongozi wakat mwingine haueleweki. Jamaa hafai msikitini Hafai kanisani ni mental kabisa
 
Wanajidhalilisha wenyewe hao, Kama waliingia mitaani kukamata "MITUMBA" Chalamila waongezee kazi, wazibue "VYOO" mkoa mzima wa Dar, harufu ya mavi iwakumbushe wajibu wao😡😡😡
 
Noma sana
 
😆😆😆😆
 
Siku niliyoona CDF Mabeyo anampigia salute DC Mwegelo, nikajua tu hii nchi kuna tatizo mahali, binafsi naona bora jeshi lingeingizwa kwenye mihimili mikuu ya serikali
 
Wakati jeshi linasafisha HANANG mliona ni sawa. Sasa hata kwa Dar pia mtulie. Ni bahati mbaya shughuli yao imeangukia kwenye tarehe yenu ya maandamano. Pangeni tarehe nyingine
 
CDF tunasubiria majawabu yako kwa WaTanzania wote wanaolipa kodi zao kwa Serikali na ninyi mkipata posho zenu hapo.
HAKI HAKI.
 
politicising the army, matokeo yake nao watatamani URAIS... Samia chunga sana hii, itakugeuka in the long run! waache wanajeshi wakae kambini
 
Umenielewa au na wewe kichwa maji? Mimi nimezungumzia chain of command then wewe unaleta mambo ya makende, nikisema wewe ni ndo kende zangu nitakuwa sahihi.
Hauna kende wewe ndiyo maana unadhani kila anayekupinga ni kende zako.

Kama chain of command haiko sawa basi tusubiri hiyo tarehe 24/1
 
Kikubwa jitokezeni tarehe 24,so acheni stori zisizo na msingi
 
Jeshi sio kama huko kwenu ambapo ni familia ya kambale, jeshi ni NIDHAMU kwa kuzingatia mambo makuu matatu UTII,UAMINIFU NA UHODARI. Jeshi linatii Mamlaka ambazo zipo kwa mujibu wa sheria.

Nyie watu ambao kidogo tuu mshakimbilia Brussels na Canada sio watu wa kuaminiwa na taifa hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…