Itakuwa jambo jema na la busara kama Serikali ya Tanzania itaifungia Twitter

Kama anga la Tanzania linaweza kuona ndege vita inayoweza kuiletea madahara Tanzania ndio isiweze kudhibiti Vpn,naomba ulale kama hauna mke
Mie naongea kwa kiwango changu cha elimu na uzoefu wangu wa kikazi katika network security. Wewe ukiamua kuja hapa na mambo ya kijinga na comments za kitoto tafadhali usipoteze muda wangu. Tafuta mashoga wenzako muanze kusutana. Ukitataka majadiliano ya kistaarabu unakaribishwa sana kujadili nami.

Kama nilivyosema sina muda wa kupoteza kwa watu kama wewe wasio wastaarabu na wenye fikira finyu, kwa hio hapa ndio tamati ya kuongea nawe. Do not come back to me with any comment regarding anything as i would not read it. I never argue with a fool.
 
Kufungwa hiyo vepe so wameshatuma malaika wafunge mitandao ibilisi akaleta vPn? Unataka kufungiwa kiaje elewa Kuna kufungwa na kunyongwa mtandao na endapo wakifungia vPn lazima itume na Wana uwezo pia ya kufungua vPn ila tatizo itacost hata wao binafsi ILO ninngumu sana kufungia vPn na Pia tweter. Haina shida kubali kukosolewa wewe sio mbogo bhana msalmie meku tulioko uku gabos Botswana tunadeal na tweeter and Instagram na jfrums
 
Utakuwa na uqendawazimu wa kupindukia. Wanadamu wenye akili wanaenda mbele, wewe unarudi nyuma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sitini parentage ya guys walioko tweeter Ni wasomi na waelewa matumizi ya mtandao na wanaojiamini wasio sifia upumbavu Kama ume mind Rudi fb kwa wazururaji limradi uvae nguo mpya unapost nmetokelezaje tweter hawauzi sura
 
ICC ataanza sefu sharif yeye alitangaza watu wabebe silaha za jadi wakapambane na polisi, alisema mwenye panga,sime,mundu, mkuki,visu, watokeze barabarani kufanya maandamano ya amani,!! yaani maandamano ya amani na silaha,!!
 
Ukifikika tweeter wasalimie hawa wanaharakati
[emoji117]Kigogo 2014 anaishi South Africa
[emoji117]kigogo,[emoji1139] anaishi minessota marekani
[emoji117]Mange kimambi From pensli Vania marekan
[emoji117]Maria sarungi tseshai from Hungary
[emoji117]Fatma karume sjajuaga
[emoji117] Amsterdam from london
[emoji117]Hilda Newton from ufaransa paris
Na wengineo tu hawa wqnaipa tabu wapenda kifua mbeleee
 
Kwanza nikuambie usikurupuke kujifanya unajua, picha nyingi huko twitter zinaonyesha watu wametobolewa kifuani matundu ya nchi nne, sasa niambie risasi ya 9mm inaweza kutoboa tundu la namna hiyo?
 
Omba sana mungu usiwe na akili kiduchu dawa ni kuwatafuta wanaotukana hasa kwenye mitandao yote watukanaji wapo kwenye mitandao yote na si wote wanaoingia twitter wanakwenda kwa interest ya nchi yako na na mambo yake 70% wanakwenda kwa mambo mengine kabisa kwa taarifa yako watu kwa kipindi hiki hawako very close sana na issue za SIASA ndio maana hata kwenye kura walikuwa kiduchu na hata kwenye mahamasisho ya lissu watu HAWAKUENDA KABISA note that signal that measns people are not in that directions you thought TUMUACHE MJENZI WA TAIFA LETU AFANYE KAZI YAKE KWA UFANISI KUMBUKA HAO WASHENZI HAWAPENDI HATA TUWE NA UMEME WETU WA UHAKIKA PIA WANASHANGAZWA SANA NA JINSI TULIVYOWEZA KUSAMBAZA UMEME KATIKA KARIBU VIJIJI VYOTE NA KUBAKIZA 15% TU KITU AMBACHO WAO WASHENZI KATIKA MAHESABU YAO WALITUPIGIA HESABU TUTAWEZA KUKAMILISHA MASUALA YA UMEME TANZANIA NIA NZIMA IFIKAPO 2050 LAKINI KWA KASI YA JPM IFIKAPO 2022 TANZANIA YOTE ITAWAKA UMEME SAFI KABISA ZOEZI AMBALO HATA KENYA LIMEWASHINDA KABISA KABISA NOTE THAT{ JPM NAOMBA KAZI HATA YA KUFAGIA IKULU]
 
Serikali yetu ni sikivu njia rahisi ni kufunga Twitter isipatikane hakuna cha Kigogo2014 wala Kijiti
Kwenye mtando wako wa FB kuna matusi kuliko twitter alipojifichia kigogo anaweza kujifichia hivyo hivyo ndani ya FB #KIGOGO ATAFUTWE NA AKAMATWE NDILO LA MSINGI
 
Kwenye mtando wako wa FB kuna matusi kuliko twitter alipojifichia kigogo anaweza kujifichia hivyo hivyo ndani ya FB #KIGOGO ATAFUTWE NA AKAMATWE NDILO LA MSINGI
Fb ukitukana au kueneza proganda za kipuuzi kama za wajinga wa Twiiter unadakwa kirahisi sana, labda haupo hapa Tz,fuatilia kuna kesi nyingi sana za wapuuzi wanaotukana viongozi kupigia Fb. Kuna mtu alifungwa miaka miwili na yumo humu Jf sio vizuri kumtaja Fb sio kama Twitter.
 
Ninaposema una akili kiduchu ndipo hapo wewe binafsi ingia twitter utukane uone kama utachukuwa 24 hrs bila kukamatwa matusi ni kosa la jinai njia anayojifichia mtukanaji ndiyo njia hiyo hiyo anaweza kujifichia FB tena tusiombe aingie FB ina watu watu wengi mno dawa ni akamatwe tu
 
Duh.... Nina akili kiduchu? Hao wanaoeneza uongo Twitter mbona hawajakamatwa?
 
We need the World than it needs us. The days of closed systems are long a time gone. It is time for the existence of opposites perpetuated by a shared information system.
 
Duh.... Nina akili kiduchu? Hao wanaoeneza uongo Twitter mbona hawajakamatwa?
kweli akili kidogo ni tabu sana yaani bado hujanielewa tu mlengwa wako wewe ni kigogo2014 tumbe asiingie FB kwani yaelekea njia yake anayoitumia kujifichia ili asikamatwe ni mbinu isiyo ya kawaida nasisitiza serekali imtafute adui huyu wa taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…