Itakuwa jambo jema na la busara kama Serikali ya Tanzania itaifungia Twitter

Itakuwa jambo jema na la busara kama Serikali ya Tanzania itaifungia Twitter

Umesema watumiaji wengi ni wa huku nje, sa ikifungiwa huko Tz itasaidia nini?
Pia, mbona watu washajua namna ya kukwepa hayo mazuio?
 
Kama wewe kweli unalipenda Taifa lako na hausambazi uongo mbona unatumia fake name humu?
Kama wewe ni msafi kwanini usitumie jina lako halisi?

Wewe ni punguani tu
Wewe unajua mimi ni nani?
 
Kwa zaidi ya wiki tatu Twitter ilikuwa haipatikani, Youtube, na.... Je kwa nini ilikuwa haipatikani mpaka utumie Vpn. Je Vpn haziwezi kuwa blocked @Richatd
Utumiaji wa VPN waitwa "circumvention" yaani wazunguruka mifumo rasmi na inayotambuliwa katika nchi kupata VPN.

Kwa mtu mmojammoja VPN iko sawa ila kwa watu wengi kutumia VPN ni security risk.

Lengo la VPN hapo mwanzo lilikuwa ni kutoa huduma za internet kwa makampuni makubwa, ambayo watumishi wake walikuwa mbali na ofisi au ofisi za makampuni hayo zilizokuwa na matawi katik asehemu zingine.

Wengi humu wanatumia VPN ambayo inatokea kwenye "Proxy Servers" ambazo usalama wake hauna uhakika na zipo kibiashara zaidi.

Hivyo ni uamuzi wa mtu binafsi.

Nikija kwenye kufunga matumizi ya VPN jibu ni kwamba hiyo yawezekana na kama nilivyosema hapo juu hili ni suala very technical kulijadili hapa maana linagusa maslahi ya wengi na ya taifa pia.
 
Hii mijitu mkaishitaki ICC mishamba alafu inataka kututawala kifala..waende The Hague wakaongee broken english ze ze ze kule kuna lugha tano tu na kiswahili hakizungumzwi
 
Naomba unijibu hili swali,mtu anapost picha kifua cha mtu kimetobolewa na risasi nchi nne. Je risasi ya mm9 inaweza kutengeneza tundu la nchi nne? Mtu kama huyu nia yake nini? Na anapost maiti ya mtu.

Nia yake ni kuweka ukweli hadharani. Kama shambulio la Lisu tu lenyewe mnaliletea upotoshaji ili ukweli usifahamike, unatarajia nini? Nawashukuru sana huko Twitter kwa kuweka ukweli hadharani.
 
Jibu swali nililouliza acha maneno mengi, mtu kapigwa risasi inaweza kuweka tundu la nchi nne? Acha ufala...
Mkuu ufala mbona uko kwako! Yaani unaamka kutoka usingizini na ndoto alafu unaandika kama vile unaota. Bahati mbaya kwamba mafunzo ya lazima ya JKT/JKU yameondolewa. Ufala nalo neno. Mkuu wajinga ndio waliwao
 
Nia yake ni kuweka ukweli hadharani. Kama shambulio la Lisu tu lenyewe mnaliletea upotoshaji ili ukweli usifahamike, unatarajia nini? Nawashukuru sana huko Twitter kwa kuweka ukweli hadharani.
Ahaaaa, ukweli hauwekwi kwa kudanganya na kupotosha umma. Lissu amekaa hapa zaidi ya siku 60, kwenye jinai victim ndio shahidi namba moja,sasa alishindwa nini kuweka mbinyo ukweli upatikane,amezurula kutukana matusi kuliko kufuatilia kesi yake huku akijua hata kushinda hawezi.
 
Ahaaaa, ukweli hauwekwi kwa kudanganya na kupotosha umma. Lissu amekaa hapa zaidi ya siku 60, kwenye jinai victim ndio shahidi namba moja,sasa alishindwa nini kuweka mbinyo ukweli upatikane,amezurula kutukana matusi kuliko kufuatilia kesi yake huku akijua hata kushinda hawezi.
Aweke mbinyo kwa mahakama zipi?
 
Mkuu ufala mbona uko kwako! Yaani unaamka kutoka usingizini na ndoto alafu unaandika kama vile unaota. Bahati mbaya kwamba mafunzo ya lazima ya JKT/JKU yameondolewa. Ufala nalo neno. Mkuu wajinga ndio waliwao
Ok wewe uliyepitia Jkt niambie polisi wanatumia bunduki aina gani? Na risasi zao ni mm ngapi? Je zinawezq kutoboa mtu inchi nne? Son of gun!
 
Kwa zaidi ya wiki tatu Twitter ilikuwa haipatikani, Youtube, na.... Je kwa nini ilikuwa haipatikani mpaka utumie Vpn. Je Vpn haziwezi kuwa blocked? Richard

VPN yaweza kuzuiwa kutumika Tanzania.

Nafikiri hiyo ndo hoja ya mtela mada ila kazunguka kwa kutumia Twitter.
Kweli nchi yeyote ile inaweza kuzuia/block VPN lakini inakuwa ni kama mchezo wa paka na panya na sijui kama Tanzania ina uwezo wa kifedha na wataalamu wa kuingia vita hivi. China kwa mfano ina Block VPN lakini na watengenezaji wa VPN kila wakiamka wanazifanya VPN zao kuwa more complicated na wanaweza ku bypass block zilizowekwa na china.

Kwa hiyo kila VPN mpya ikiwafikia wachina, china wanaingia kazini kuisoma na kujua namna ya kui block. Hii ndio ninayosema mchezo wa paka na panya, hakuna solution ya kudumu. China wanatumia utaalamu unaoitwa deep packet inspection kugundua na ku block VPNs lakini watengenezaji wa VPN kama Golden Frog wanawapa homa kila siku kwa kutumia ophisticated techniques mpya kuhakikisha haiwi rahisi kugundulikana.
 
Kweli nchi yeyote ile inaweza kuzuia/block VPN lakini inakuwa ni kama mchezo wa paka na panya na sijui kama Tanzania ina uwezo wa kifedha na wataalamu wa kuingia vita hivi. China kwa mfano ina Block VPN lakini na watengenezaji wa VPN kila wakiamka wanazifanya VPN zao kuwa more complicated na wanaweza ku bypass block zilizowekwa na china. Kwa hiyo kila VPN mpya ikiwafikia wachina, china wanaingia kazini kuisoma na kujua namna ya kui block. Hii ndio ninayosema mchezo wa paka na panya, hakuna solution ya kudumu. China wanatumia utaalamu unaoitwa deep packet inspection kugundua na ku block VPNs lakini watengenezaji wa VPN kama Golden Frog wanawapa homa kila siku kwa kutumia ophisticated techniques mpya kuhakikisha haiwi rahisi kugundulikana.
Kama anga la Tanzania linaweza kuona ndege vita inayoweza kuiletea madahara Tanzania ndio isiweze kudhibiti Vpn,naomba ulale kama hauna mke
 
Kweli nchi yeyote ile inaweza kuzuia/block VPN lakini inakuwa ni kama mchezo wa paka na panya na sijui kama Tanzania ina uwezo wa kifedha na wataalamu wa kuingia vita hivi. China kwa mfano ina Block VPN lakini na watengenezaji wa VPN kila wakiamka wanazifanya VPN zao kuwa more complicated na wanaweza ku bypass block zilizowekwa na china. Kwa hiyo kila VPN mpya ikiwafikia wachina, china wanaingia kazini kuisoma na kujua namna ya kui block. Hii ndio ninayosema mchezo wa paka na panya, hakuna solution ya kudumu. China wanatumia utaalamu unaoitwa deep packet inspection kugundua na ku block VPNs lakini watengenezaji wa VPN kama Golden Frog wanawapa homa kila siku kwa kutumia ophisticated techniques mpya kuhakikisha haiwi rahisi kugundulikana.
Sawasawa.

Ila China wana sheria inayozuia VPN kwa watu binafsi.

Makampuni na taasisi wao wanaruhusiwa kama nilivyosema hapo juu.

Sheria zinataka VPN ziwe approved na serikali ndio watu waweze kutumia.

China wao walijenga ukuta uitwao Great Firewall of China ambao unatoa huduma za kujikinga na matatizo ya Internet kutokea nje ya China.
 
Back
Top Bottom