Itakuwa jambo jema na la busara kama Serikali ya Tanzania itaifungia Twitter

Itakuwa jambo jema na la busara kama Serikali ya Tanzania itaifungia Twitter

Tcra wana mamlaka ya kufanya shughuli zao nje ya Tanzania? Kwa humu ndani wanaweza mkuu tena waanze na JF. Tujisajiri kwa kutumia kitambulisho cha NIDA. Hata kama user name ni nyingine lakini kitambulisho cha NIDA kitumike.

Hiyo yote ni ili watu waisifie serikali? Hapo ni kujirekebisha tu, unatumia vyombo vya dola kuua raia na kupora kura, kisha unakaa madarakani bila ridhaa ya umma, halafu unatengeneza sheria za kulinda madaraka haramu.
 
Mimi nna mawazo ya ziada.

1. Sheria ya mitandao iboreshwe na hao ISPs na wale wa private wote wadhbitiwe na sheria.

Ukiweka sheria basi unakuwa safe.

2. Tanzania iamue naiwekeze katika kuwa na Servers zetu wenyewe badala ya kutumia servers za nchi zingine.

Hiyo itatufanya tuwe na sauti kama "sovereign country" na itatufanya tuweze kudhibiti matumizi ya internet kwa kuweka Filters na mambo mengine.

Teknolojia hizi wanazo nchi kama China na Russia.

Kukiwa na matatizo au dharura basi nchi inakata mawasiliano na dunia mara moja na kwa kipindi fulani.

3. Sheria ya mtandao (kupitia TCRA) iwaelekeze watoa huduma su ISPs na wale wa VPN wawe na kifaa kiitwacho DPI ambacho kina uwezo wa kutambua traffic yatokea wapi ni kuchuja, hivyo watumiaji wa mitandao wanaweza kuendelea kutumia mitandao bila bughudha.

Yakifuatwa masuala kama haya basi kutakuwepo na udhibiti tabia ya kutoheshimu mamlaka na pia upotoshaji wa kutoa taarifa ambazo hazik osawa yaani "fake news" na "misinformation".

Unapoingia madarakani kwa kumwaga damu na kupora kura, ni lazima utengeneze sheria za kujilinda na huo ushindi haramu. Sehemu yoyote ambayo watawala wameingia madarakani kwa shuruti hutengeneza sheria za kuhakikisha wanakuwa salama kwa dhuluma zao.
 
Hiyo yote ni ili watu waisifie serikali? Hapo ni kujirekebisha tu, unatumia vyombo vya dola kuua raia na kupora kura, kisha unakaa madarakani bila ridhaa ya umma, halafu unatengeneza sheria za kulinda madaraka haramu.
tindo naona kama umekengeuka,mada inahusu Twitter kufungwa ili kudhibiti wapotoshaji. Watanzania walipiga kura Oktoba 28 na walishasahau habari za uchaguzi,maana kwamba WaTz hawaitaki Chadema ilijulikana mapema toka miaka mitatu nyuma. Maana walichokuwa wanakitaka kimepatikana. Ila la msingi jikite kwenye hoja.
 
Unapoingia madarakani kwa kumwaga damu na kupora kura, ni lazima utengeneze sheria za kujilinda na huo ushindi haramu. Sehemu yoyote ambayo watawala wameingia madarakani kwa shuruti hutengeneza sheria za kuhakikisha wanakuwa salama kwa dhuluma zao.
Watanzania wameamua na wamewachanganya sana.

Mimi naendelea kusema kwamba upinzani haupo Tanzania na ni kiinimacho.

Uchaguzi uliisha wiki ilopita sasa tujenge nchi.
 
Hakuna ubishi kabisa watu wengi wanaoneza uongo juu ya Taifa letu ni watumiaji wa mtandao wa Twitter.

Huko kuna watu wabaya sana ambao nafikiri sababu wengi wao wanaishi nje ya nchi basi muda wote ni kueneza propaganda za uongo na kutukana viongozi.

Mbona China waliifungia baada ya kuona inahatarisha usalama wa nchi yao? Maana watu wanatengeneza picha za uongo ili kuleta chuki dhidi ya serikali haifai kabisa kwa Tanzania.

Mfano hata kama mtu amepigwa risasi hivi kweli risasi inaweza kutoboa kifua cha mtu tundu la nchi nne?

Wengi wa hawa watu wanaotukana viongozi wapo nje ya nchi, wanatukana viongozi na kupotosha umma juu ya masuala mengi tu,hata kipindi Covid 19 inaingia Tanzania walipotosha watu kwa uongo mwingi na kutengeneza video za uongo.

Kwa hiyo serikali sikivu ya CCM ifunge Twitter maana siku za usoni italeta balaa kwenye nchi yetu.

Leo sina mengi najua litafanyiwa kazi na sasa naenda kijiweni kunywa kahawa na Alikasusu. Nafikiri wadau kijiwe mnakifahamu.
Unafahamu kitu inaitwa VPN
 
VPN yaweza kuzuiwa kutumika Tanzania.

Nafikiri hiyo ndo hoja ya mtela mada ila kazunguka kwa kutumia Twitter.
Nafikiri unataka kuwapa kiwewe watumiaji wa Super Vpn, hoja iko wazi usilete maneno yako.
 
Hakuna ubishi kabisa watu wengi wanaoneza uongo juu ya Taifa letu ni watumiaji wa mtandao wa Twitter.

Huko kuna watu wabaya sana ambao nafikiri sababu wengi wao wanaishi nje ya nchi basi muda wote ni kueneza propaganda za uongo na kutukana viongozi.

Mbona China waliifungia baada ya kuona inahatarisha usalama wa nchi yao? Maana watu wanatengeneza picha za uongo ili kuleta chuki dhidi ya serikali haifai kabisa kwa Tanzania.

Mfano hata kama mtu amepigwa risasi hivi kweli risasi inaweza kutoboa kifua cha mtu tundu la nchi nne?

Wengi wa hawa watu wanaotukana viongozi wapo nje ya nchi, wanatukana viongozi na kupotosha umma juu ya masuala mengi tu,hata kipindi Covid 19 inaingia Tanzania walipotosha watu kwa uongo mwingi na kutengeneza video za uongo.

Kwa hiyo serikali sikivu ya CCM ifunge Twitter maana siku za usoni italeta balaa kwenye nchi yetu.

Leo sina mengi najua litafanyiwa kazi na sasa naenda kijiweni kunywa kahawa na Alikasusu. Nafikiri wadau kijiwe mnakifahamu.

Maelezo yako yamenshangaza mno kiasi hata sijui niseme nini bila ya kufukuzwa katika jukwaa hili. Ndugu zangu watanzania nisaidieni hapa jamani! Sijui ndugu yetu huyu anaifananisha vipi China na Tanzania kiuchumi, kimaendeleo, ukubwa/ubabe katika dunia, na uchumi wa kujitegemea. Naona anataka tanzania tuige tembo kula boga zima.
 
Maelezo yako yamenshangaza mno kiasi hata sijui niseme nini bila ya kufukuzwa katika jukwaa hili. Ndugu zangu watanzania nisaidieni hapa jamani! Sijui ndugu yetu huyu anaifananisha vipi China na Tanzania kiuchumi, kimaendeleo, ukubwa/ubabe katika dunia, na uchumi wa kujitegemea. Naona anataka tanzania tuige tembo kula boga zima.
Kwa zaidi ya wiki tatu Twitter ilikuwa haipatikani, Youtube, na.... Je kwa nini ilikuwa haipatikani mpaka utumie Vpn. Je Vpn haziwezi kuwa blocked? Richard
 
tindo naona kama umekengeuka,mada inahusu Twitter kufungwa ili kudhibiti wapotoshaji. Watanzania walipiga kura Oktoba 28 na walishasahau habari za uchaguzi,maana kwamba WaTz hawaitaki Chadema ilijulikana mapema toka miaka mitatu nyuma. Maana walichokuwa wanakitaka kimepatikana. Ila la msingi jikite kwenye hoja.
Unacho lalamikia huko Twitter ni ukweli unaokukera kuhusu uchaguzi huu. Sasa sijui ni hoja gani unazungumzia.
 
Watanzania wameamua na wamewachanganya sana.

Mimi naendelea kusema kwamba upinzani haupo Tanzania na ni kiinimacho.

Uchaguzi uliisha wiki ilopita sasa tujenge nchi.

2/3 hawakujitokeza kupiga, na hiyo 1/3 ilikuwa na kura za kwenye mabeg. Ingia tovuti ya tume kisha uangalie kama kuna matokeo kama ipasavyo. Sasa ukisema watanzania sijui unamaanisha nini. Tujenge nchi na wamwaga damu na wezi wa kura?
 
Kama wewe kweli unalipenda Taifa lako na hausambazi uongo mbona unatumia fake name humu?
Kama wewe ni msafi kwanini usitumie jina lako halisi?

Wewe ni punguani tu
 
Unacho lalamikia huko Twitter ni ukweli unaokukera kuhusu uchaguzi huu. Sasa sijui ni hoja gani unazungumzia.
Naomba unijibu hili swali,mtu anapost picha kifua cha mtu kimetobolewa na risasi nchi nne. Je risasi ya mm9 inaweza kutengeneza tundu la nchi nne? Mtu kama huyu nia yake nini? Na anapost maiti ya mtu.
 
Back
Top Bottom