Itakuwa jambo jema na la busara kama Serikali ya Tanzania itaifungia Twitter

Itakuwa jambo jema na la busara kama Serikali ya Tanzania itaifungia Twitter

Mbona ni kama wameifungia maana walioko huko wanasema bila VPN haifunction halafu wengine wanasema zile ni kelele haziwatishi ila ujumbe wanaupata ndio maana wameipiga block.
 
Mbona ni kama wameifungia maana walioko huko wanasema bila VPN haifunction halafu wengine wanasema zile ni kelele haziwatishi ila ujumbe wanaupata ndio maana wameipiga block.
Tulia utasikia mziki unaokuja.
 
Tatizo sio kukosolewa bali upotoshaji na uongo unaosababisha mkanganyiko kwa wananchi. Ubaya zaidi mtu yupo Finland anatengeneza video ya uongo kuwakanganya watanzania.

Tatizo ni kukosolewa, ama unadhani hatujui tatizo ni nini?
 
Tatizo ni kukosolewa, ama unadhani hatujui tatizo ni nini?
Hivi tindo leo hii wananchi wapigwe risasi bila kufanya kosa, aibuke mwananchi aseme ukweli na JPM apate ukweli unadhani nini kitafuata?
 
Tulia utasikia mziki unaokuja...
Mziki gani? Mlisema wale ni wanaharakati wapiga kelele na hawawatishi ajabu wameifunga! Pia China unayosema watu mbona wanatumia mitandao vizuri tu sana nilifika kule VPN ndio uwanja wake waliblock Whatsapp ili kupromote Wechat so conflict yao imekaa kibiashara sana na against western countries ila sio machafuko na bado WhatsApp ipo. Instagram ipo nk
 
Kama mlifunga whatsup na bado tuko sawa itakuwa twiter? Mbona hata tv hatuangalii tena na bado tuko sawa?
 
Ungeshauri waanze kuifungia kijarida cha Uhuru na Channel Ten mkuu
 
Kufungia Tweeter sio ufumbuzi, watafute kwa nini wanatukanwa kama ni kweli.

Mbona mataifa mengi yanatumia tu huo mtandao bila shida? Lazima kuna tatizo kwenye huu utawala ndio maana wanatukanwa, hatukuyasikia haya huko nyuma.

Ni kuacha kutawala kiimla na kurudi kufuata utawala wa sheria na unaozingatia misingi ya haki, hapo hawataona tena hayo matusi na wenyewe watarudi kuhamasisha tena watu watumie mtandao wa Twitter. Hiyo ndiyo njia pekee.
 
Icc ya ufipa? Vpn zinaweze kugongwa nyundo mpaka ukashangaa. Uliza kwa nini Usa wana mgogoro na Huawei? Alafu Huwaei ni wachina? Alafu wanaurafiki wa karibu na Tanzania?
Kakojoe ulale.
 
Serikali ya awamu ya 5 imepoteza uhalali wa kuiongoza nchi. Haijachaguliwa kihalali. Ndiyo Serikali ya kwanza itayotinga ICC tangu tupate Uhuru. Kwanini isikolewe mitandaoni?

Hata wakifunga mitandao yote, bado teknolojia itawapa fursa wenye uchungu kutumia VPN na mawasiliano yataendelea kama kawaida. Be broad minded please. Acha ujinga zama hizi.

Wewe mwenyewe unashinda kwenye keyboard ukute hata kula hukupiga. Je sisi wanatulioichagua ccm siyo watanzania?
 
Cybercrimes Act,2015 section 6(1) inataka mtumie public servers ambazo Tcra wanazimonitor. Kutumia za nje ni illegal interception. Ngoja wafanyie kazi maoni yangu mtaona cha moto
Maoni yako yapo sawa ila yanahitaji marekebisho.

TCRA wanasoma hapa watayafanyia kazi.
 
Kama mlifunga whatsup na bado tuko sawa itakuwa twiter? Mbona hata tv hatuangalii tena na bado tuko sawa?
Mlivyokuwa mnalia mpaka makamasi yanawatoka,leo mnaleta jeuri? Subirini sasa.
 
Back
Top Bottom