Itakuwa jambo jema na la busara kama Serikali ya Tanzania itaifungia Twitter

Itakuwa jambo jema na la busara kama Serikali ya Tanzania itaifungia Twitter

Ok wewe uliyepitia Jkt niambie polisi wanatumia bunduki aina gani? Na risasi zao ni mm ngapi? Je zinawezq kutoboa mtu inchi nne? Son of gun!
Zinaweza. Na ndio maana zimetoboa. Zinaweza kutoboa zaidi ya nchi nne. Waswahili husema "ukipenda chon go huona kengeza". Kwani ukatili wote uliofanywa na vyombo vya ulinzi dhidi ya raia unakuja na utetezi usione na mashiko. Hii inakuja kwa sababu aliyepigwa sio ndugu yako. Siku yakimfika ndugu yako ndio utajua Kwamba risasi inaweza kutoboa nchi nne na zaidi.
 
Unadhani Tcra wakiamua kufanya undava hivyo vi Super vpn mtavipata kwa tabu sana. Ngoja walifanyie kazi hili ombi langu maana serikali yetu ni sikivu.
Watu wanatumia VPN server za kulipia na sio izi zenu za bure shekhe
 
Hakuna ubishi kabisa watu wengi wanaoneza uongo juu ya Taifa letu ni watumiaji wa mtandao wa Twitter.

Huko kuna watu wabaya sana ambao nafikiri sababu wengi wao wanaishi nje ya nchi basi muda wote ni kueneza propaganda za uongo na kutukana viongozi.

Mbona China waliifungia baada ya kuona inahatarisha usalama wa nchi yao? Maana watu wanatengeneza picha za uongo ili kuleta chuki dhidi ya serikali haifai kabisa kwa Tanzania.

Mfano hata kama mtu amepigwa risasi hivi kweli risasi inaweza kutoboa kifua cha mtu tundu la nchi nne?

Wengi wa hawa watu wanaotukana viongozi wapo nje ya nchi, wanatukana viongozi na kupotosha umma juu ya masuala mengi tu,hata kipindi Covid 19 inaingia Tanzania walipotosha watu kwa uongo mwingi na kutengeneza video za uongo.

Kwa hiyo serikali sikivu ya CCM ifunge Twitter maana siku za usoni italeta balaa kwenye nchi yetu.

Leo sina mengi najua litafanyiwa kazi na sasa naenda kijiweni kunywa kahawa na Alikasusu. Nafikiri wadau kijiwe mnakifahamu.
naunga mkono hojaa!
hiv kuna watu ghafla niliona wana tick za blue weng weng hivi.sijui walifanyeje fanyeje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akitokea mjinga mmoja uko twitter akasema serikali ifunge Jamiiforums sijui itakuaje.
 
Akitokea mjinga mmoja uko twitter akasema serikali ifunge Jamiiforums sijui itakuaje.
Kwa hiyo unadhani serikali ya JMT haina akili kama wewe ulivyo mjinga?
 
Mkuu....

Kuna kazi inayozuia MTU asiwe mwanachama wa CCM?!!!

Mkuu acha banaa.....

Kwani mwanachama mpaka UVAE NGUO ZETU ZA KIJANI,UGOMBEE na kushiriki VIKAO VYA CHAMA upenuni?!!!

Unataka uniambie Kanali Ngemera Lubinga Si mwanaCCM?!!!
Unataka uniambie J5 mh.akiteua maDC na MaRC hatowachukua kutoka JESHINI na majeshini(kwa mfano)?!!
Yaani MTU ateuliwe kutoka JWTZ awe DC halafu asiwe mwanaCCM ilihali anaingia Katika vikao vya chama kama mjumbe wa kamati ya siasa ya WILAYA?!!

Ok Mkuu wangu kubwa nimekuelewa kuwa wewe HUKUWA NA CHAMA na Ni hii CCM ya mh.Magufuli ndiyo PEKEE iliyokushawishi KUKIPENDA CHAMA CHETU...hongera Sana Mkuu ninaamini UMESHAKATA KADI ama Kama bado basi ni mtu PATRIOTIC unayemkubali sanaaa mh.El commandante JPM

KUDOS
Nilipokutana naye Dodoma Kanali Lubinga nilimjibu hivyo hivyo kuwa sikuwa na chama maana kwa sheria ambayo ilikuwa inaniongoza haikutaka niwe na chama chochote na alielewa maana anazijua sheria hizo ila nilimwambia nakubali sana jitihada za Rais na mimi ni miongoni mwa wazalendo ambao daima nitakuwa upande wake.

Kiapo cha UTII ni muongozo wa wazalendo wote wa nchi hii.
 
Nilipokutana naye Dodoma Kanali Lubinga nilimjibu hivyo hivyo kuwa sikuwa na chama maana kwa sheria ambayo ilikuwa inaniongoza haikutaka niwe na chama chochote na alielewa maana anazijua sheria hizo ila nilimwambia nakubali sana jitihada za Rais na mimi ni miongoni mwa wazalendo ambao daima nitakuwa upande wake.

Kiapo cha UTII ni muongozo wa wazalendo wote wa nchi hii.
👍👍
 
Ultimate kimbilio la serikali dhaifu na ya kidikteta iliyokosa uhalali wa kupendwa ni hoja ya "uzalendo"..

Hiyo ndio ultimate resort.....

Shame kabisa yaani
Kuwa Mzalendo kwa nchi yako sio dhambi...tumefundishwa kutii mamlaka zilizopo Duniani sasa kama Mungu anatoa mamlaka na anatuambia tuzitii je mimi ni nani nisitii mamlaka zilizowekwa na Mungu?
 
Serikali ya awamu ya 5 imepoteza uhalali wa kuiongoza nchi. Haijachaguliwa kihalali. Ndiyo Serikali ya kwanza itayotinga ICC tangu tupate Uhuru. Kwanini isikolewe mitandaoni?

Hata wakifunga mitandao yote, bado teknolojia itawapa fursa wenye uchungu kutumia VPN na mawasiliano yataendelea kama kawaida. Be broad minded please. Acha ujinga zama hizi.
Una hoja gani kuhalalisha maelezo yako haya!!? [emoji848] [emoji848]
 
Uzalendo kwa serikali sio uzalendo kwa nchi

Ni ajabu kusema ukweli ndio unakua si mzalendo ila ukisema uongo miraculously wewe ni mzalendo!

Mamlaka ya Hitler kaweka Mungu?

Mamlaka ya Idd Amin kaweka Mungu?

Mamlaka ya Makaburu South Africa kaweka Mungu?

Mamlaka ya Stalin Russia kaweka mungu?

Mamlaka ya Benito Mussolini kaweka Mungu?

Kama wewe kwa utashi wa akili yako binafsi unaona Mungu ndio kaziweka hizo mamlaka ziue watu zaidi ya 100mil basi huyo mungu pamoja na wewe wote wasenge mpaka basi!
Over expectations za October 28th ni lazima zitawapa nightmares sana sasa kama unakosa staha na kujenga hoja kwa matusi ni wazi kwamba watu 12M walikuwa sahihi kukupiga chini kikundi cha wahuni.

Hii ni mamlaka halali iliyopata kibali kutoka kwa Mungu na pia Watanzania wakaenda kumalizia kwenye box la kura.
 
Sio lazima kumfungia mitandao. Cha msingi ni Serikali kutolea ufafanuzi kila upuuzi unaoelezwa na watesi wa Taifa.

Wakati huo huo Serikali iendeelee kutengeneza mazingira mazuri kwa wananchi wake kujiletea maendeleo endelevu.

Kila fursa iliyopo ya maendeleo itumike to the fullest! Wanaochochea kuni na kuleta uvumi wa kipuuzi mitandaoni wao waendelee!!
 
Hakuna ubishi kabisa watu wengi wanaoneza uongo juu ya Taifa letu ni watumiaji wa mtandao wa Twitter.

Huko kuna watu wabaya sana ambao nafikiri sababu wengi wao wanaishi nje ya nchi basi muda wote ni kueneza propaganda za uongo na kutukana viongozi.

Mbona China waliifungia baada ya kuona inahatarisha usalama wa nchi yao? Maana watu wanatengeneza picha za uongo ili kuleta chuki dhidi ya serikali haifai kabisa kwa Tanzania.

Mfano hata kama mtu amepigwa risasi hivi kweli risasi inaweza kutoboa kifua cha mtu tundu la nchi nne?

Wengi wa hawa watu wanaotukana viongozi wapo nje ya nchi, wanatukana viongozi na kupotosha umma juu ya masuala mengi tu,hata kipindi Covid 19 inaingia Tanzania walipotosha watu kwa uongo mwingi na kutengeneza video za uongo.

Kwa hiyo serikali sikivu ya CCM ifunge Twitter maana siku za usoni italeta balaa kwenye nchi yetu.

Leo sina mengi najua litafanyiwa kazi na sasa naenda kijiweni kunywa kahawa na Alikasusu. Nafikiri wadau kijiwe mnakifahamu.
Kigogo wa Twitter amewahenyesha kwa kuwaumbua uovu wenu sasa mnahaha. Hi kalne ya sayansi na teknolojia kufunga Twitter hakujamaliza ubukishakobea uovu wenu
 
Internet shutdown ya muda kwa usalama wa nchi inatatizo gani? Kutype kunahitaki network? Kwani nondo huwezi kuzipata kwenye kitabu? Acha kujifanya umesoma kumbe huna lolote.
Kwa hiyo,hukuhitaji hats hiyo internet kujihakikishia ushindi?
 
Back
Top Bottom