Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #41
Kunasa wapi huko?Tiyari ccm wameisha nasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunasa wapi huko?Tiyari ccm wameisha nasa
Wewe ndio unaongoza familia yake?Lissu hana uwezo wa kuongoza Taasisi na chama kama CHADEMA.lissu anapaswa kuongozwa na siyo kuongoza.
Ruzuku inayopokewa na genge lake la majizi ya kura anaijua huyo bwabwa.Leo unazungumzia Ruzuku?
Umeona ujifiche hapo kwenye Ruzuku. Unawaza je yaani Kama wanapotea ruzuku basi wapangiwe cha kufanya. Hivi Chadema kikifa nyie si ndio itakuwa burudani mzee? Hofu yako ni nini!
Kwani umeona lissu yupo na familia hapa?Wewe ndio unaongoza familia yake?
Nakuhakikishia kama mukifuata ule utaratibu wa kutoa fomu kwa kila mwenye nia,basi mama ata tano bora hatoboi.Ni Imani kubwa kwa Mama yetu kutokana na uchapakazi wake
Hakukuwa na tume huru ya uchaguziLissu si aligombea 2020? Je aliambulia nini katika uchaguzi ule?
Hii ni hoja nzito sana ungeacha wenye akili Timamu wajadili hojaUWT mambo ya CHADEMA yanawahusu nini?
Yeye ni kaimu Katibu wa UWT Wilaya ya ChunyaWewe ndio unaongoza familia yake?
Tiyari ,ccm ya chadema yanawahusu nini ,mpaka leo anza toa ushauri ?Kunasa wapi huko?
Kwanini UWT hawataki Lisu awe Mwenyekiti?Hakukuwa na tume huru ya uchaguzi
Labda tulirekebishe swali lako mkuu... "Hivi Cdm imewafanya nini machawa wa Ccm?Sijui CHADEMA imewafanya nini CCM😂😂😂
Rais Samia ndio chaguo letu wana CCM na watanzania wote kwa ujumla wake.Nakuhakikishia kama mukifuata ule utaratibu wa kutoa fomu kwa kila mwenye nia,basi mama ata tano bora hatoboi.
Huyu shetani katumwa na CCMTiyari ,ccm ya chadema yanawahusu nini ,mpaka leo anza toa ushauri ?
Mlete mamayenu anayewabubujisha machozi agongwe vizuri na lissu kwenye mpambano.Kwani Tanzania ni koloni? Kwani Mbowe ulishaona akikimbia Nchi na kwenda kujificha uhamishoni na kuanza kupost picha akinywa na kula ?
Kwani umeona wenye akili Timamu wakimuunga mkono Lissu? Si unaona wote wapo upande wa Mwamba?Kwanini UWT hawataki Lisu awe Mwenyekiti?
Wanalijua moto wakeKwanini UWT hawataki Lisu awe Mwenyekiti?
Labda watanzania wauza UNGA na mafisadi.Rais Samia ndio chaguo letu wana CCM na watanzania wote kwa ujumla wake.
Uwe na adabu dogo acha kukurupuka hovyo hovyo hapa.Huyu shetani katumwa na CCM
Mimi ni CHADEMA kwanini nisichangie?Hii ni hoja nzito sana ungeacha wenye akili Timamu wajadili hoja