Itakuwa ni uwendawazimu na ukichaa kwa wana Mbeya kumtoa Dkt. Tulia jimbo la Mbeya Mjini

Sawa chawa, basi pia mwambie atusaidie changamoto ya mlima iwambi maana mlima unatumaliza na yeye yupo tu
 
Njaa itakuuwa
 
Kampeni zimeruhusiwa?
Mbona mlishaonywa jmn
 
Paragraph au Aya ya kwanza tu inaonesha ulivyo mbumbumbu na Muongo wa kujificha kwenye nadharia:

Serious kabisa inasema unazijua fikra wanambeya? Yaani ulipita kabisa ukamhoji mtu mmoja na kuzijua na kuzitunza fikra zake? Ninavyojua fikra Ni subjective na sio objective kutokana na Mazingira (physical or social environment)

Unaijua tabia za wanambeya (neno tabia ni Pana Sana) sijui Kama umeweza kufanya behavioral anaylsis na ukaja na conclusion kuhusu tabia za wanambeya wote, wakubwa kwa wadogo vijana na wazee au wanawake kwa wananume mpaka uje na conclusion kwamba unazijua. Ningepanda kujua tu kama wewe Ni behaviorist ambae hujui kwamba tabia pia Ni subjective kulingama na circumstances!
Unazidi kudhihirisha upumbavu wako kwa kujumuisha tabia ya mtu mmoja au msimamo wa mtu mmoja kuwa wa watu wote pasina kujua msimamo wa mtu unaweza kubadilika kutokana na external factors au incidents!

Naona Sasa umehama kwa mama Samia umehamia kwa speaker! Lazima ujue kwa mujibu wa katiba tuliyonayo Speaker Hana mamlaka ya kuteua mtu Katika nafasi yoyote isipokua Katibu wake, houseboy wake na housegirl wake! Hata mlinzi wake na dereva anapangiwa na serikali!

Hapo awali umeandika kuwa unazifahamu kero za wanambeya lakini huku chini umekaa uchi na kuelezea namna gani speaker amezitatua kinadharia na sio kivitendo. Usisahau lakini wakati sugu akiwa mbunge Tulia alikua mbunge wa kuteuliwa na hapo hapo DS wa Bunge la JMT!

KIUFUPI WEEE NI MOUMBAVU MMOJA HIVI NA ELIMU ULIYONAYO HAIJAKUSAIDIA. NDIO MAANA NILIOMBA CV YAKO IN THE FIRST PLACE!
 
Hana mpinzani wa kushindana Naye maana Wana Mbeya wameamua kumrudisha Tena Bungeni uchaguzi ujao maana Ameiheshimisha Mbeya na wanambeya

Umelewa mataputapu ya pale kwenu Ichenjezya?
Sugu atashinda saa 2 asubuhi
Pona pona yake ni afanyiwe favor na sensa idadi ya watu iseme Mbeya mjini igawiwe majimbo mawili
Yy akagombee jimbo la Mbaliz
Sugu jimbo la mjini

Lkn ikiwa jimbo moja tu Sugu anashinda
 
Siandiki hapa kwa ajili ya kulipwa ,Mimi naandika kwa uzalendo na hiyari yangu

Unategemea bakshishi kwa kuiandika vyema CCM na akina Tulia (PhD) ndiyo maana unatumia jina halisi na namba ya simu incase wakupigie!

Kaka teuzi haziombwi hivyo,wenzako hawa wameteuliwa wengine walikua CDM.Mfumo ukikuchagua hata mm Malafyale watapata namba yangu na jina langu kamili

Ww utaendelea kuandika weweee watateuliwa wengine kabisa
Unajipotezea muda tu
 
Hayo ni mawazo yako siyo ya Wana mbeya. Mbona mawzo yako unataka yawe ya Wana mbeya. Wana mbeya hawamtaki Tulia wanataka kipemzi Chao sugu
 
Wana Mbeya wasije kufanya kosa!
 
So far so good.
Dr Tulia anafanya kazi wana Mbeya waliyomtuma.
Ataendelea kwa nafasi yake hata baada ya 2025.
 
Eti unazifahamu fikra za wanambeya[emoji1787][emoji1787]we jamaa ni kichwa cha kuku
 
ki ukweli Tulia ni zawadi ya Mungu kwa wanambeya. Tulia ni alama ya mkoa wa mbeya na nyanja za juu kusini kwa ujumla. Ni vema Serikali imuunge mkono kuiletea maendeleo Mbeya. ukiangalia kasi ya ujenzi wa barabara za jiji la mbeya ni ndogo sana yaani utadhani Tulia anajenga barabara za jiji kwa kutumia pesa zake mfukoni! hii siyo kweli! Mbeya barabara ni moja tu Tanzam, Ukiingia ndani mitaani inasikitisha sana. Ukienda dodoma, mtwara unakuta mabarabara yanajengwa hadi maporini kusikokuwa na watu kabisa. Mbeya imesahaulika. jana nimepita maeneo ya Ilemi na msafara wa jaji mfawizi mbeya kutokea Isyesye kwenye msiba wa wakili msomi Mushokorwa, utaona nyumba na msongamano wa watu lakini barabara hakuna!!! aibu kuitwa jiji.
 
Hayo ni mawazo yako siyo ya Wana mbeya. Mbona mawzo yako unataka yawe ya Wana mbeya. Wana mbeya hawamtaki Tulia wanataka kipemzi Chao sugu
Wana Mbeya wanamhitaji Dr Tulia Ackson Mwansasu Kuendelea kututumikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…