Itakuwa vigumu Prof. Janabi kupenya ushindani wa Mkurugenzi wa WHO kanda ya Africa ila tutumie vigezo sahihi kumpima.

Itakuwa vigumu Prof. Janabi kupenya ushindani wa Mkurugenzi wa WHO kanda ya Africa ila tutumie vigezo sahihi kumpima.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Mjadala ulioibuka baada ya Janabi kupendekezwa kuingia katika ushindani wa kugombea nafasi ya Mkurugenzi wa WHO kanda ya Africa ni muhimu ila umepotoka kiasi kikubwa kwa kushindwa kujikita katika mahitaji ya mtu anayetakiwa katika hiyo nafasi. Pamoja na hayo nakubiliana na wanaosema CV ya Janabi inaweza isitoshe katika hiyo nafasi ila kwa vigezo tofauti na muhimu anavyokosa pamoja na kwamba yeye ni dakatri gwiji na bingwa.

Mtu anayehitajika katika nafasi hiyo ni mwenye uzoefu wa sera za afya, uongozi katika afya ya umma(public health) na zaidi sana ubobevu katika masuala ya magonjwa ya kuambukiza na milipuko. Haya ndio mambo kipaumbele kwa nafasi kama hiyo, sio gwiji wa matibabu au daktari bingwa. Ndugulile aliipata hiyo nafasi akiwa sio daktari gwiji au bingwa, wakuregenzi wengi WHO sio madaktari bingwa au magwiji wa matibabu na hata Mkuregenzi mkuu wa sasa wa WHO sio daktari kabisa kwa taaluma. Janabi anakosa sifa na uzoefu mkubwa katika maeneo haya yote.
 
Wabongo tunatatizo mmoja kuu kuwa wananchi wetu waliojaliwa kupata nyadhifa za Dunia ni vidudu tu.Tanzania ni nchi ngumu sana.
 
Wabongo tunatatizo mmoja kuu kuwa wananchi wetu waliojaliwa kupata nyadhifa za Dunia ni vidudu tu.Tanzania ni nchi ngumu sana.
Mfano nani aliyejaliwa kupata nyadhifa ya kidunia isiyo ya kisiasa akaoneka kidudu tu??
 
Anatosha kwani uwezo anao na atajiongeza hukohuko. Nani kasema hana sifa itajulikana huko huko.
 
Mjadala ulioibuka baada ya Janabi kupendekezwa kuingia katika ushindani wa kugombea nafasi ya Mkurugenzi wa WHO kanda ya Africa ni muhimu ila umepotoka kiasi kikubwa kwa kushindwa kujikita katika mahitaji ya mtu anayetakiwa katika hiyo nafasi. Pamoja na hayo nakubiliana na wanaosema CV ya Janabi inaweza isitoshe katika hiyo nafasi ila kwa vigezo tofauti na muhimu anavyokosa pamoja na kwamba yeye ni dakatri gwiji na bingwa.

Mtu anayehitajika katika nafasi hiyo ni mwenye uzoefu wa sera za afya, uongozi katika afya ya umma(public health) na zaidi sana ubobevu katika masuala ya magonjwa ya kuambukiza na milipuko. Haya ndio mambo kipaumbele kwa nafasi kama hiyo, sio gwiji wa matibabu au daktari bingwa. Ndugulile aliipata hiyo nafasi akiwa sio daktari gwiji au bingwa, wakuregenzi wengi WHO sio madaktari bingwa au magwiji wa matibabu na hata Mkuregenzi mkuu wa sasa wa WHO sio daktari kabisa kwa taaluma. Janabi anakosa sifa na uzoefu mkubwa katika maeneo haya yote.
Hata janabi sio daktari bingwa ukimaanisha MMED,Janabi n Msc Tropical diseases, na PhD,hayo magonjwa ndio aliyosomea
 
Mfano nani aliyejaliwa kupata nyadhifa ya kidunia isiyo ya kisiasa akaoneka kidudu tu??
Hadi leo hujui au hujafuatilia wasagiaji simply tu, mnufaiki au anaefanya kazi za dunia tajiri analipwa dollar za Marekani tena kitita na huyo kapuku analipwa vijisenti vya kauka nikuvae?
My dear friend tuache roho mbaya full stop.
 
Mjadala ulioibuka baada ya Janabi kupendekezwa kuingia katika ushindani wa kugombea nafasi ya Mkurugenzi wa WHO kanda ya Africa ni muhimu ila umepotoka kiasi kikubwa kwa kushindwa kujikita katika mahitaji ya mtu anayetakiwa katika hiyo nafasi. Pamoja na hayo nakubiliana na wanaosema CV ya Janabi inaweza isitoshe katika hiyo nafasi ila kwa vigezo tofauti na muhimu anavyokosa pamoja na kwamba yeye ni dakatri gwiji na bingwa.

Mtu anayehitajika katika nafasi hiyo ni mwenye uzoefu wa sera za afya, uongozi katika afya ya umma(public health) na zaidi sana ubobevu katika masuala ya magonjwa ya kuambukiza na milipuko. Haya ndio mambo kipaumbele kwa nafasi kama hiyo, sio gwiji wa matibabu au daktari bingwa. Ndugulile aliipata hiyo nafasi akiwa sio daktari gwiji au bingwa, wakuregenzi wengi WHO sio madaktari bingwa au magwiji wa matibabu na hata Mkuregenzi mkuu wa sasa wa WHO sio daktari kabisa kwa taaluma. Janabi anakosa sifa na uzoefu mkubwa katika maeneo haya yote.
Janabi ni 'Kihiyo' wa 'Afu Mbili'
Sasa hivi Madaktari wa kuunga-unga watakua wanaitwa 'Majanabi'
Ukiiwa Daktari halafu ukasikia watu wanakuita 'Janabi' ujue tayari umezingua na wameshaichukua ile Profesdional respect waliyokuwa wamekupa.
 
Mjadala ulioibuka baada ya Janabi kupendekezwa kuingia katika ushindani wa kugombea nafasi ya Mkurugenzi wa WHO kanda ya Africa ni muhimu ila umepotoka kiasi kikubwa kwa kushindwa kujikita katika mahitaji ya mtu anayetakiwa katika hiyo nafasi. Pamoja na hayo nakubiliana na wanaosema CV ya Janabi inaweza isitoshe katika hiyo nafasi ila kwa vigezo tofauti na muhimu anavyokosa pamoja na kwamba yeye ni dakatri gwiji na bingwa.

Mtu anayehitajika katika nafasi hiyo ni mwenye uzoefu wa sera za afya, uongozi katika afya ya umma(public health) na zaidi sana ubobevu katika masuala ya magonjwa ya kuambukiza na milipuko. Haya ndio mambo kipaumbele kwa nafasi kama hiyo, sio gwiji wa matibabu au daktari bingwa. Ndugulile aliipata hiyo nafasi akiwa sio daktari gwiji au bingwa, wakuregenzi wengi WHO sio madaktari bingwa au magwiji wa matibabu na hata Mkuregenzi mkuu wa sasa wa WHO sio daktari kabisa kwa taaluma. Janabi anakosa sifa na uzoefu mkubwa katika maeneo haya yote.
Yule ni patient level siyo Public Health
 
Mjadala ulioibuka baada ya Janabi kupendekezwa kuingia katika ushindani wa kugombea nafasi ya Mkurugenzi wa WHO kanda ya Africa ni muhimu ila umepotoka kiasi kikubwa kwa kushindwa kujikita katika mahitaji ya mtu anayetakiwa katika hiyo nafasi. Pamoja na hayo nakubiliana na wanaosema CV ya Janabi inaweza isitoshe katika hiyo nafasi ila kwa vigezo tofauti na muhimu anavyokosa pamoja na kwamba yeye ni dakatri gwiji na bingwa.

Mtu anayehitajika katika nafasi hiyo ni mwenye uzoefu wa sera za afya, uongozi katika afya ya umma(public health) na zaidi sana ubobevu katika masuala ya magonjwa ya kuambukiza na milipuko. Haya ndio mambo kipaumbele kwa nafasi kama hiyo, sio gwiji wa matibabu au daktari bingwa. Ndugulile aliipata hiyo nafasi akiwa sio daktari gwiji au bingwa, wakuregenzi wengi WHO sio madaktari bingwa au magwiji wa matibabu na hata Mkuregenzi mkuu wa sasa wa WHO sio daktari kabisa kwa taaluma. Janabi anakosa sifa na uzoefu mkubwa katika maeneo haya yote.
Ni aibu Mnaitafuta huko WHO!
 
Nakuunga mkono. Tusiwe na upendeleo. Kwa nini hawakumpendekeza Dr. Rubibamayila?.
Hata mtendaji mkuu wa Ifakara Health Institute (IHI) angefaa zaidi na kuwa nafasi kubwa ya kuleta ushindani.
 
Mjadala ulioibuka baada ya Janabi kupendekezwa kuingia katika ushindani wa kugombea nafasi ya Mkurugenzi wa WHO kanda ya Africa ni muhimu ila umepotoka kiasi kikubwa kwa kushindwa kujikita katika mahitaji ya mtu anayetakiwa katika hiyo nafasi. Pamoja na hayo nakubiliana na wanaosema CV ya Janabi inaweza isitoshe katika hiyo nafasi ila kwa vigezo tofauti na muhimu anavyokosa pamoja na kwamba yeye ni dakatri gwiji na bingwa.

Mtu anayehitajika katika nafasi hiyo ni mwenye uzoefu wa sera za afya, uongozi katika afya ya umma(public health) na zaidi sana ubobevu katika masuala ya magonjwa ya kuambukiza na milipuko. Haya ndio mambo kipaumbele kwa nafasi kama hiyo, sio gwiji wa matibabu au daktari bingwa. Ndugulile aliipata hiyo nafasi akiwa sio daktari gwiji au bingwa, wakuregenzi wengi WHO sio madaktari bingwa au magwiji wa matibabu na hata Mkuregenzi mkuu wa sasa wa WHO sio daktari kabisa kwa taaluma. Janabi anakosa sifa na uzoefu mkubwa katika maeneo haya yote.
Hawezi kupita huyu Mwamba, Labda watuonee huruma kwa vile tumefiwa.
 
Back
Top Bottom