Mimi napenda sana ambayo yananihusu mengi kayafanya. Nina watoto wangu wawili nilikuwa nawasomesha shule ya kulipia milioni 2 kila mwaka. Lakini Sasa nimewahamishia shule ya serikali natumia laki3 tu kwa kuwagaramia uniform na matumizi binafsi wanapokuwa shule.Subiri tumnyooshe naona nawewe hupendi yanafanywa nahuyu jamaa ilatatizo haupo huru
Bunge likivunjika, raisi nae anapaswa kuachia ngazi.Ataunda baraza lake la mawazili, CCM itabid wakubali tuu kwa sababu kama watamgomea waziri mkuu mteule Mara 3 bunge litavunjwa, likivunjwa CCM itapoteza hata hao wabunge watakaokuwa wamewapata wakati chadema wakinufaika kwa sababu system ya nchi itakuwa upande wao
Akivunja bunge, yampasa kuachia madaraka , achaguliwe upya.. Ina maana uchaguzi wa raisi na wabunge utaitishwa upya..Je hakuna uwezekano wa kuingia madarakani na kulivunja bunge kabla hajateua waziri mkuu na uchaguzi ukaitishwa upya ili apate wabunge wanaoweza kuunda serikali?
Mkuu amesema, kama chama kinakosa angalau asilimia sabini ya wabunge , raisi anakuwaje ameshinda katika mazingira ya Tanzania..Mna maana gani? Kama siyo NEC na upenfeleo wa wazi cvm ingekuwa wapi!
Mtanzania anayechagua ccm ambayo imetumia fedha za nchi kihovyo kama walivyofanya hii miaka mitano hawastahili kuitwa watanzania!
CCM Lisu anao marafiki wengi mno lakini hujificha kwa hofu ya kaburu Mkoloni mweusi kuwafanyiziaTanzania ni nchi ya Mfumo wa vyama vingi hata yule mama anayegombea Uraisi akishinda bila mbunge mmoja bado atachagua mawaziri na waziri mkuu kutoka kwenye vyama vyenye wabunge na watamsapoti kinafiki au kiupendo ni kulingana tu na uwezo wa mtu wa kuongoza kwa umoja na upendo na huwa havijifichi kama unafiki usivyojificha.
CCM bila uchakachuaji bila wizi wa kura bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe sanaPropaganda za kujifariji. Mwenyemacho ambiwi tazama na mwenyemasikio asikie. Ngome za CDM zote zimebomoka.
Kuna ujinga ulifanywa na NECCCM Tumeccm kuwakata wagombea wa chadema kwa kisingizio cha CCM kupita bila kupingwa kwa njia haramu za kishetani, wananchi wamekosa fursa ya kuchagua wamechaguliwa watu kwa nguvu na NECCCM Tumeccm kwa njia haramu za kishetaniKama unaamini Wabunge was CDM hawatashinda, kwa angalau 70% huo ni ushahidi kuwa Lissu naye atashindwa.
Watanzania wenye uwezo was Kumchagua Mbunge was CCM na Wakamchagua Lissu ni wachache japo 2015 Mimi nilifanya hivo. Nilimchagua Mama Anna Mgwilla na Halima Mdee. Lakini ninachojua asilimia 99% ya Watanzania wanapenda kupiga hatrick.
Ni Hatari kuwa mbunge ambaye siyo chaguo la wapi kuraSehemu zote walizopita mafisiem bila kupingwa lazima uchaguzi urudiwe hatuwezi kukubali kuongozwa na watu ambao hawakuchaguliwa.
Nb:Uwezekano wa kuitoa CCM kwa sanduku la kura hata kama tumepata kura zote haupo lazima Wananchi tuingilie kati.
Dah Ndio mnataka nchi nyinyi yaani hamshindi hata kwa Ndoto ni Maruku kuota Lissu kashinda1)Tunafungua kesi mahakani nchi nzima
.kuwaondoa wabunge wa ccm waliopitishwa kwa rushwa kwenye kura za maoni, uchaguzi utarudiwa
2.) Tutarudia uchaguzi majimbo ambayo waliopitishwa bila kupingwa
3). Tutawafuta wabunge wote ambao ushindi wao umepatikana kwa figisu ikiwa Ni pamoja na kukiukwa kwa sheria na kanuni za uchaguzi
No1-4 tuta fanikiwa kurudisha majimbo kama100 kabla ya december 2020
4 tutaunda serikali ya mseto na ACT wazalendo
Ni Hatari kuwa mbunge ambaye siyo chaguo la wapi kura
Sasa mimi nimemchukia kwasababu amechoma nyavu zangu 2 na ameteka engeine zangu mbili za boat anasema nikazininue kwake wakati nyavu zangu nihalali zilikuwa nazilipia leseni nawachomaji walisema zipo sawa lakini wao wametumwa pesa kama sina wanazichoma yote haya yamemuumiza hata lisu kasema anatulipaMimi napenda sana ambayo yananihusu mengi kayafanya. Nina watoto wangu wawili nilikuwa nawasomesha shule ya kulipia milioni 2 kila mwaka. Lakini Sasa nimewahamishia shule ya serikali natumia laki3 tu kwa kuwagaramia uniform na matumizi binafsi wanapokuwa shule.
Jamaa hebu acha bange basi. Urais wa wapi?Ni dhahiri shayiri kuwa uchaguzi huu umekuwa mgumu sana kwa CCM kuliko miaka yote. Mwaka 95 ulikuwa mgumu ila hayati Mwl. Nyerere alikuwepo kuokoa jahazi, na mwaka 2015 ulikuwa mgumu ila Mkapa alikuwepo kuokoa jahazi.
Mwaka huu sijaona wa kuokoa jahazi, hata hao wastaafu waliingizwa kwenye kampeni wamekosa mvuto tofauti na ilivyotarajiwa.
Swali langu ni kuwa: Itakuwaje kama Lissu akashinda kisha akakosa kupata wabunge wa kutosha? Si CCM wataamua kumkwamisha?
Kama ni stori za gahawa kusubiria 28 Oktoba sawa.Atakuwa na option mbili
1.kufanya maridhiano na chama tawala ili aunde serikali kwa serikali ya mseto
2. Kutumia mahakama kutengua wabunge wote waliopita bila kupingwa ili kukiongezea wabunge chama chake kisha kuendelea na kazi ya kujenga nji
Wewe ndiyo upo kwa bwawa yako cyprian Musiba anakudanganya hivyo?Kama ni stori za gahawa kusubiria 28 Oktoba sawa.
Ila huyo simuwazii hata kama angeenda jimboni au kata kugombea ubunge au udiwani bado alikuwa anapigwa mchana kweupe.
Ndio kajiandaa kabisa na tiketi ya kurudi kwa mabwana zake
Kama magufuli mtesi muonevu aliyeuza nyumba za Serikali akagawa nyumba kwa hawala yake akanunua kivuko kibovu cha Dsm Bagamoyo na kupiga bilion 252 wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa kawa Rais sembuse mtu mpenda haki kama Tundu lisu?Jamaa hebu acha bange basi. Urais wa wapi?
Muulize tu hata urais wa TLS alifanya nini cha maana.
Sembuse urais, hapati hata wabunge 10 wa majimbo.
Wewe hurejei ikulu hata kwa ndoto na wewe ni marufuku hata kuwazia Urais subiria uhuru tarehe 28 CCM bye bye Mkoloni kaburu mweusi mtesi muonevu anarejea kijijini chatoDah Ndio mnataka nchi nyinyi yaani hamshindi hata kwa Ndoto ni Maruku kuota Lissu kashinda
Je wanasoma na kupata maarifa huko shuleni au wanaambulia masimango na vipigo toka kwa waalimu?Mimi napenda sana ambayo yananihusu mengi kayafanya. Nina watoto wangu wawili nilikuwa nawasomesha shule ya kulipia milioni 2 kila mwaka. Lakini Sasa nimewahamishia shule ya serikali natumia laki3 tu kwa kuwagaramia uniform na matumizi binafsi wanapokuwa shule.