Ni kipi apa?Kuna kitabu kimoja kinaitwa,SATAN BUG,,yaani ukikisoma hicho ndo utajua hatari ya biological weapons,,yaani Bora silaha za kikemikali baada ya kupigwa baadae Hali inakua clear.satan bug kijiko kimoja tu kikiachiliwa,nusu ya wanadamu duniani wanapotea within one month
Mzee hivi we huwaga una amini uchawi upo ??Mungu saidia! mungu saidia! mungu saidia
Dua zenu zimeshindwa kuutokomeza ukimwi ambao unamiaka 30+ halafu leo hii mnataka mtudanganye kwenye corona yenye miezi mitatu?
It's Scars
Mie nawaombea sana. Yaani nikiangalia watoto wanavyopigania uhai (kupumua kwa shida) harafu navuta hisia kama ndo mwanangu hadi machozi yanatoka. Kuna Msouth yuko Belgium ananitumia clip za wagojwa aisee unaweza fikiri ni Movie kumbe kweli kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na hatua zote walizochukua hali bado ni tete sana. Siku ya leo tu watu 919 wamefariki kutokana na corona. Badala ya idadi ya vifo kupungua inazidi kuongezeka kila siku, pls kabla hujalala tumia hata dakika moja kuwaombea kwa Mungu awasaidieView attachment 1401142
JPM angebadiri msimamo kwa muda kuangalia matokeo ya nchi jirani, hii kujiaminisha corona ni kama mafua tunajiweka kwenye risk
Ndo chenyewe,Ni kizuri Sana hichoMkuu nimekitafuta ulivyosema hivyo, nafikiri ni hiki kilichoandikwa na Alistair Maclean na nimekipakua tyr
Nitakisoma ili nielewe behind the scenes.View attachment 1401237
Chemically weapons Ni chemically sumu Kama vx etc."utajua hatari ya biological weapons,,yaani Bora silaha za kikemikali "
Tofauti ya Biological weapons na silaha za kikemikali ni ipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo tayari kuaminishwa kwa macho ??
JAPAN PiaUgiriki ina wazee wengi mbona hatuwasikii>??
Ugiriki ina wazee wengi mbona hatuwasikii>??
kwa sababu Ugiriki(966) na Japan(1468), watu walioambukizwa ni wachache ukilinganisha na Italy(86000+)JAPAN Pia
Sent using My COVID-19
Nakipayaje hicho kitabu mkuu?Kuna kitabu kimoja kinaitwa,SATAN BUG,,yaani ukikisoma hicho ndo utajua hatari ya biological weapons,,yaani Bora silaha za kikemikali baada ya kupigwa baadae Hali inakua clear.satan bug kijiko kimoja tu kikiachiliwa,nusu ya wanadamu duniani wanapotea within one month
Upuhuzi! Yaani ukawaombee kwa Mungu watu wanaoishi na kaburi la Petro pamoja na kuishi na Papa?
utaamini utakapogundua nyakati...wala sio swala la kiimani zaidi.Siamini sana katika hili, Mungu ni Mungu wa rehema
unamaanisha nini sasa, mzungu ?WASHA TV yako international news usikie wahanga wa Corona, ndugu na jamaa zao wanahojiwa, hakuna mtu kwao uzunguni huko anaongelea kuomba Mungu!!!
Wanaongela vitu kama ku flaten the curve!
Yani mkakati wa mahesabu ya kisayansi wa ku slow down mlipuko wakati wanatafuta dawa. Nobody is talking about solving a cataclysmic pandemic through prayers!
Waafrika mkoje nyie vichwani ???
Corona ina taratibu zake, sio malaria. France walitangulia kuwa na corona kabla ya Marekani.Chakushangaza Marekani ina vifo vichache kuliko France yenye maambukizi 30000
Sent using Jamii Forums mobile app