Salahan
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,963
- 3,685
Habar wakuu.....
Nilinunua bidhaa kwa mtandao na nikasafisha kwa njia ya flat rate shipping ambayo ni free ila huchukua had muda mpaka siku 25 kukufikia........Kifurushi nimenunua rosewholesale.com na nilinunua bidhaa ndogo kama majaribio..baada ya wiki tatu tangu kusafirishwa Kifurushi nikapogiwa simu toka no Hii 0785 334 712 kuwa mzigo wako umeshafika njoo uchukue (tatizo inaonekana hana muda wa maelezo so kumuuliza ni wapi nije simu ikakatwa) ....Nikavunga zangu baada ya wiki 3 tena nikapigiwa njoo uchukue mzigo wako (kugundua ni ile na mm nikamuwahi kumuuliza nije kuuchukua wapi akaniambia njoo posta simu ikakatwa)Nikabak njia panda posta ya wapi nami Niko morogoro.Ningefahamu Hii no niya ofisi ya wapi ingekuwa poa au ndio bandarin au local poster ingawa sijatuma kwa po box.
HII NO JAMANI. 0785334712
SHUKRANI
Nilinunua bidhaa kwa mtandao na nikasafisha kwa njia ya flat rate shipping ambayo ni free ila huchukua had muda mpaka siku 25 kukufikia........Kifurushi nimenunua rosewholesale.com na nilinunua bidhaa ndogo kama majaribio..baada ya wiki tatu tangu kusafirishwa Kifurushi nikapogiwa simu toka no Hii 0785 334 712 kuwa mzigo wako umeshafika njoo uchukue (tatizo inaonekana hana muda wa maelezo so kumuuliza ni wapi nije simu ikakatwa) ....Nikavunga zangu baada ya wiki 3 tena nikapigiwa njoo uchukue mzigo wako (kugundua ni ile na mm nikamuwahi kumuuliza nije kuuchukua wapi akaniambia njoo posta simu ikakatwa)Nikabak njia panda posta ya wapi nami Niko morogoro.Ningefahamu Hii no niya ofisi ya wapi ingekuwa poa au ndio bandarin au local poster ingawa sijatuma kwa po box.
HII NO JAMANI. 0785334712
SHUKRANI