Itawezekana kweli kiongozi mpya wa Gabon General Nguema kupinduliwa

Itawezekana kweli kiongozi mpya wa Gabon General Nguema kupinduliwa

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Mzuka Wanajamvi!

Jitu kakamavu, limepanda hewani ana sura ngumu. Isitoshe ni jitu la mazoezi linahudhuria Gym kila siku na kabla ya kunyanyua vyuma linapiga push ep 100 iyo ni kupasha.

Kwenye mkono yuko njema. Yuko vizuri kwenye martial anatembeza ngumi balaa.

Ni msiri na mkimya sana. Pia ni mjasiriamali na mfanya biashara ana hela nyingi sana.

Licha ya makelele mengi kutoka magharibi na nchi zingine za Africa pamoja na upinzani arudishe utawala wa kiraia General Nguema kiongozi mpya wa Gabon kasema hakuna cha uchagzi wala nini.

Kwa sifa hizi kuna yeyote anaweza kuthubutu kumpindua?
000_33U22D2-1.jpg
 
Aliyemwambia ukiwa na mwili mkubwa na nguvu ndo kinga ya kutofanywa chochote amekudanganya sana.

Mapinduzi ni akili sio nguvu wala ukubwa wa mwili. Kwahiyo askari akiwa na sifa ulizozitaja basi yeye ndo alpha na omega?
 
Mzuka Wanajamvi!

Jitu kakamavu, limepanda hewani ana sura ngumu. Isitoshe ni jitu la mazoezi linahudhuria Gym kila siku na kabla ya kunyanyua vyuma linapiga push ep 100 iyo ni kupasha.

Kwenye mkono yuko njema. Yuko vizuri kwenye martial anatembeza ngumi balaa.

Ni msiri na mkimya sana. Pia ni mjasiriamali na mfanya biashara ana hela nyingi sana.

Licha ya makelele mengi kutoka magharibi na nchi zingine za Africa pamoja na upinzani arudishe utawala wa kiraia General Nguema kiongozi mpya wa Gabon kasema hakuna cha uchagzi wala nini.

Kwa sifa hizi kuna yeyote anaweza kuthubutu kumpindua?
View attachment 2736712
Hapo kawekwa na Ufaransa ili kueshadaa mataifa jirani waliokwisha pindua serikali....

Muda ni mwalimu
 
Aliyemwambia ukiwa na mwili mkubwa na nguvu ndo kinga ya kutofanywa chochote amekudanganya sana.

Mapinduzi ni akili sio nguvu wala ukubwa wa mwili. Kwahiyo askari akiwa na sifa ulizozitaja basi yeye ndo alpha na omega?
Umemuona Ibrahim Traure wa Mali? Umemuona wa Niger mijitu imeshiba imepanda hewani?
 
Mzuka Wanajamvi!

Jitu kakamavu, limepanda hewani ana sura ngumu. Isitoshe ni jitu la mazoezi linahudhuria Gym kila siku na kabla ya kunyanyua vyuma linapiga push ep 100 iyo ni kupasha.

Kwenye mkono yuko njema. Yuko vizuri kwenye martial anatembeza ngumi balaa.

Ni msiri na mkimya sana. Pia ni mjasiriamali na mfanya biashara ana hela nyingi sana.

Licha ya makelele mengi kutoka magharibi na nchi zingine za Africa pamoja na upinzani arudishe utawala wa kiraia General Nguema kiongozi mpya wa Gabon kasema hakuna cha uchagzi wala nini.

Kwa sifa hizi kuna yeyote anaweza kuthubutu kumpindua?
View attachment 2736712
Kikubwa asilete ujinga tu! Akizingua jamaa wanambwaga!
 
Back
Top Bottom