Pre GE2025 Itigi: Tundu Lissu adai kila Mfanyabiashara alitoa Rushwa ya Tsh Bil 9 ili kupata kibali cha Kuagiza Sukari

Pre GE2025 Itigi: Tundu Lissu adai kila Mfanyabiashara alitoa Rushwa ya Tsh Bil 9 ili kupata kibali cha Kuagiza Sukari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Akizungumza mbele ya Maelfu ya wananchi huko Itigi, Tundu Lissu, huku akijiamini kupita kawaida, amesema kwamba, baada ya Rushwa hiyo Kabambe, Wafanyabiashara hao wakaruhusiwa kuongeza shilingi elfu 1 kwenye kila kilo na kuvuna hela haramu Bil 27 kwa kila mfanyabiashara, hela hizi zilitokana na kukamuliwa Watanzania ambao mara zote wanaitwa Wanyonge.

Lissu amedai kwamba Vibali hivyo vilitolewa kwa Marafiki na Jamaa zao wa Karibu katika mpango Muruwa wa Nifae leo nikufae kesho .

Kwa vile Sakata hili ndio kwanza limeanza basi Jitahidi sana kubaki hapa JF ili kujua Mnyororo wote wa Waliohusika, kuanzia Serikalini hadi kwenye Bodi ya Sukari.

Liwalo na Liwe

Screenshot_2024-06-17-22-26-21-1.png



=====

Pia soma:

- Luhaga Mpina na Tundu Lissu, msiishie kwenye sukari tu, bali chunguzeni na biashara ya kukopesha mitandaoni

Pia Soma:
- Tundu Lissu: Kuna biashara haramu ya utoaji wa vibali vya uagizaji wa Sukari nchini. Siku nikitaja majina mtashangaa
 
Sijui kwa nini mkoloni mzungu alifukuzwa kwa mbwembwe nyingi vile enzi hizo
Maybe tulichukulia ni rahisi rahisi tu ku run makoloni tukaona na sisi tunaweza kuendesha nchi.

So far ni nchi chache sana zilizokuwa serious na zili maanisha katika kudai uhuru wa kweli na kwa Africa napata mashaka kama kweli tulikuwa serious au tulichukia tu kutawaliwa na ngozi nyeupe ?

Asia wanaonesha kwa vitendo sasa kwa nini walitaka uhuru mpaka wazungu wenyewe wanatikisa vichwa sisi sina hakika kama tupo serious
 
Akizungumza mbele ya Maelfu ya wananchi huko Itigi, Tundu Lissu, huku akijiamini kupita kawaida, amesema kwamba, baada ya Rushwa hiyo Kabambe, Wafanyabiashara hao wakaruhusiwa kuongeza shilingi elfu 1 kwenye kila kilo na kuvuna hela haramu Bil 27 kwa kila mfanyabiashara, hela hizi zilitokana na kukamuliwa Watanzania ambao mara zote wanaitwa Wanyonge.

Lissu amedai kwamba Vibali hivyo vilitolewa kwa Marafiki na Jamaa zao wa Karibu katika mpango Muruwa wa Nifae leo nikufae kesho .

Kwa vile Sakata hili ndio kwanza limeanza basi Jitahidi sana kubaki hapa JF ili kujua Mnyororo wote wa Waliohusika, kuanzia Serikalini hadi kwenye Bodi ya Sukari.

Liwalo na Liwe

View attachment 3019630


=====

Pia soma: Luhaga Mpina na Tundu Lissu, msiishie kwenye sukari tu, bali chunguzeni na biashara ya kukopesha mitandaoni
watu wa Itigi ni watu wa maana na wa muhimu sana,

walimpuuza jamaa wakati alijaribu kuzungumza kwa hisia sana, habari ya sukari, alipowasoma hata hawamtazami, ikabidi na kumlazimu abadili hoja kwa haraka sana, baada ya kustudy facial expressions na body languages za hadhira ya wana Itigi, kwamba sukari sio issue kwao....

vinginevyo angeendelea kuwaeleza vitu ambavyo si vya muhimu kwao, wangemuacha aongee pekeyake tu jukwaani 🐒
 
watu wa Itigi ni watu wa maana na wa muhimu sana,

walimpuuza jamaa wakati alijaribu kuzungumza kwa hisia sana, habari ya sukari, alipowasoma hata hawamtazami, ikabidi na kumlazimu abadili hoja kwa haraka sana, baada ya kustudy facial expressions na body languages za hadhira ya wana Itigi, kwamba sukari sio issue kwao....

vinginevyo angeendelea kuwaeleza vitu ambavyo si vya muhimu kwao, wangemuacha aongee pekeyake tu jukwaani 🐒
Vipi kuhusu hoja yake hiyo ya bil 9? hasa ukizingatia kwamba wewe ulishindwa gharama ya laki 5 tu kurejesha fomu huko ccm
 
Vipi kuhusu hoja yake hiyo ya bil 9? hasa ukizingatia kwamba wewe ulishindwa gharama ya laki 5 tu kurejesha fomu huko ccm
hiyo ya kusadikika ndio watu wa Itigi hawataki kama waTz wengine wanavyompuuza hivi sasa 🐒

hiyo ingine ya laki5 ni upotoshaji na uongo wa wazi, ama ni kwa makusudi ama kwa kutokujua lakini ni useless 🐒

hapana fomu CCM ya gharama ya laki5, ya kuchukua ama kurudisha kamanda 🐒
 
Back
Top Bottom