Pre GE2025 Itigi: Tundu Lissu adai kila Mfanyabiashara alitoa Rushwa ya Tsh Bil 9 ili kupata kibali cha Kuagiza Sukari

Pre GE2025 Itigi: Tundu Lissu adai kila Mfanyabiashara alitoa Rushwa ya Tsh Bil 9 ili kupata kibali cha Kuagiza Sukari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
watu wa Itigi ni watu wa maana na wa muhimu sana,

walimpuuza jamaa wakati alijaribu kuzungumza kwa hisia sana, habari ya sukari, alipowasoma hata hawamtazami, ikabidi na kumlazimu abadili hoja kwa haraka sana, baada ya kustudy facial expressions na body languages za hadhira ya wana Itigi, kwamba sukari sio issue kwao....

vinginevyo angeendelea kuwaeleza vitu ambavyo si vya muhimu kwao, wangemuacha aongee pekeyake tu jukwaani
 
Mkuu 'Tlaa', una kazi ngumu mno. Na itaendelea kuwa ngumu kwelikweli kadri tunavyo elekea 2025.

Itabidi niwe macho zaidi na kufuatilia kwa karibu zaidi hali yako itakavyo kuwa ikibadilika, kama hutazimia kabla ya kipenga cha mwisho.
ni mpuuzi, akiona mambo yatamuwia vigumu atabadili id ili kukwepa fedheha
 
Setikali hii kwenye uongozi, wamejaa wala rushwa na wevi wakubwa.

Huyu Bashe, bila shaka ni mwovu mkubwa. Mradi wake wa kilimo, ambao Mama aliidhinisha mabilioni ya pesa nyingi kupindukia, hauna lolote zaidi ya wizi mkubwa kupindukia.

Rafiki yake, bwana Rashid, ndiyo mrija wa kupokelea pesa hiyo ya wizi. Tena anathubutu mpaka kutamka kuwa yeye hawezi kuacha kupewa tenda hizo za mradi wa kilimo kwa sababu kila akilipwa, lazima amkumbuke. Wizi unafanyika kwa kumpa tenda za kutengeneza fence za mashamba, kutengeneza kinachoitwa barabara kuzunguka mashamba, na kuandaa mashamba. Ndiyo ile ya kuandaa eka moja ya shamba kwa milioni 7.

Fikiria mtu kama Bitko, aliyekuwa akimiminiwa sifa na Mama. Yeye watu wake wa karibu walisema toka mwanzo kuwa mawaziri wote wa marehemu wataondolewa lakini yeye hataondolewa kwa sababu chochote anachokipata kwenye madini lazima kinamfikia mama. Na kweli, licha ya uchafu mwingi alioufanya kwenye madini, ikiwa ni pamoja na kuyapora maeneo yenye leseni za wawekezaji wa nje, na kuwagawia wanyarwanda wenzake, lakini mpaka leo yupo, na akatengenezewa hata nafasi ambayo haipo kwenywe katiba.

Bashe, kama hiyo rushwa na ufisadi mkubwa alioufanya kupitia sukari, pesa ilikuwa inamfikia mama, basi hana wasiwasi, si ajabu mkashangaa anateuliwa kuwa naibu waziri mkuu wa pili. Hii inatoa picha ya wazi kuwa mama anawatumia baadhi ya mawaziri kama mirija yake ya kumtengenezea yeye mabilioni ya pesa.

Mama hatufai, hatufai hata kidogo. Watanzania tuseme imetosha. Na akishaondolewa, ile sheria ya kuwalinda viongozi wasishtakiwe tuifute kwa kuwa ni batili, inaenda kinyume cha katiba inayosema kuwa watu wote ni sawa mbele ya sheria. Hawa wote itabidi wachunguzwe na wawajibike kwa uhalifu wao.
 
Haya maisha jamani wengine tunatafuta hela kwa shida Ile wengine wako mezani wanapokea billions of 💰. Kwa hali hii nani atakuwa mzalendo na taifa lake? Ndiyo maana serikalini usemi wa kwamba ukipata nafasi ya kupiga hela wewe piga hauitasha kamwe.
 
Tukiamua tunaweza kuwarudisha, wanapataka sana Africa. Bora Mkoloni mweupe, kuliko Mkoloni mweusi.
Ni uzembe uliopitiliza kutamani kutawaliwa, na hii ni lugha ya kuudhi kwa wazazi na mababu zetu waliopigania uhuru. Kwa kauli hii laana Yao haiwezi kukuacha salama.
Nasema ni uzembe kwa sababu hao unaoona hawafanyi vizuri kukuongoza kinchi unawamudu ukitulizana kubuni mbinu ya kuwashughulikia mwenyewe kwa taratibu zilizopo.
 
Akizungumza mbele ya Maelfu ya wananchi huko Itigi, Tundu Lissu, huku akijiamini kupita kawaida, amesema kwamba, baada ya Rushwa hiyo Kabambe, Wafanyabiashara hao wakaruhusiwa kuongeza shilingi elfu 1 kwenye kila kilo na kuvuna hela haramu Bil 27 kwa kila mfanyabiashara, hela hizi zilitokana na kukamuliwa Watanzania ambao mara zote wanaitwa Wanyonge.

Lissu amedai kwamba Vibali hivyo vilitolewa kwa Marafiki na Jamaa zao wa Karibu katika mpango Muruwa wa Nifae leo nikufae kesho .

Kwa vile Sakata hili ndio kwanza limeanza basi Jitahidi sana kubaki hapa JF ili kujua Mnyororo wote wa Waliohusika, kuanzia Serikalini hadi kwenye Bodi ya Sukari.

Liwalo na Liwe

View attachment 3019630


=====

Pia soma:

- Luhaga Mpina na Tundu Lissu, msiishie kwenye sukari tu, bali chunguzeni na biashara ya kukopesha mitandaoni
Usemi wa Nyerere kuwa, mpinzani wa kweli wa CCM, atatoka CCM ulikuwa na maana kubwa kwenye duru za kisiasa. Mpina wa CCM amelianzisha kuhusu rushwa za msomali Bashe. Moto umekolea kwa Lissu wa cdm. Na utakolea nchi nzima.

Kama kweli, mama Samia ameamua kukutana na wasemaji wa serikalini basi ni kutaka kuwaelekeza namna ya kudhibiti huo moto. Mm nafikiri huu moto wa Mpina usiishie kwa Bashe tu, nasikia Makamba, Mkumbo, Mwigulu na Dada yetu wa Afya wana pesa ndefu na chafu kweli kweli.

Mpina pasua wote hao na Lissu aunge mkono wawashiwe moto wa kufa mtu. Ikiwezekana wajiuzuru mwanawani.
 
Hii nchi Ina madudu wakati mwingine naona Bora hata nosiingie JF ili kupunguza presha.
Mara utaona wasanii wako Korea Wana negotiate mkopo,
Mara mpemba Fulani hatoi risiti ya EFD,
Mara waliotajwa na CAG wateuliwa kuendeleza ufisadi,
Mara mtetea haki kaswekwa ndani kwa kutetea mnyonge fulani.
Mara RC kamdhalilisha mtoto ambaye amemzidi miaka 25 kingono.
Sasa hili la utamu maana sukari ni tamu na asilimia zaidi ya 80 ya watanzania wanatumia sukari kwa namna moja au nyingine.
No. Wiki hii nakwenda RETREAT Lushoto. Sitaingia JF nikirudi labda angalau mmoja aliyetajwa na CAG atakua Segerea.
 
Usemi wa Nyerere kuwa, mpinzani wa kweli wa CCM, atatoka CCM ulikuwa na maana kubwa kwenye duru za kisiasa. Mpina wa CCM amelianzisha kuhusu rushwa za msomali Bashe. Moto umekolea kwa Lissu wa cdm. Na utakolea nchi nzima.

Kama kweli, mama Samia ameamua kukutana na wasemaji wa serikalini basi ni kutaka kuwaelekeza namna ya kudhibiti huo moto. Mm nafikiri huu moto wa Mpina usiishie kwa Bashe tu, nasikia Makamba, Mkumbo, Mwigulu na Dada yetu wa Afya wana pesa ndefu na chafu kweli kweli.

Mpina pasua wote hao na Lissu aunge mkono wawashiwe moto wa kufa mtu. Ikiwezekana wajiuzuru mwanawani.
Huyo mdada Kuna mabasi Fulani ya TANGA/DAR yaliyoibuka siku za karibuni na kuvunja umaarufu wa Rahaleo na Ratco wambea wanasema kwamba Ni mdau mkubwa huku NHIF ikiteketea.
 
Mkuu kama ulinunua sukari sh 6000 kwa kilo umewatajirisha kina bashe na jamaa zao wasomali wa itel na akina abdul
Nasikia mke wa bashe anatembea na mabegi ya hela
Wacha nikwambie tanzania hakuna wanasiasa wala wanaharakati kuna uhanithi tu,walisimama mwembe yanga wakaleta maneno yao na porojo za kuhanithi kama halafu 2015 wakasema sio fisadi,tunataka kujua vyanzo vyake vya mapato ,ikiwezekana huyo mke wa bashe atembee na benk kabisa kila mtu atafute pesa zake hata wewe ukipata nafasi iba tu,sukari hata ikiuzwa milion nitanunua lakini uhanithi wa wanasiasa siutaki!
 
Wazungu husema liars have good memory,cha kushangaza huyu bwana ni msahaulifu kweri kweri
 
Watu watakuja humu kuulizia ushahidi. Yaani the charge of life style pekee haziwezi kuwapa majibu. Mke wa Bashe inasemekana anapokea pesa kwenye mabegi.

Kuna haja ya kuanza kuwafangia viongozi wetu LIFE STYLE AUDIT.

SISI WANA CCM KINDAKINDAKI TUKISIA HAYA TUNAVUNJIKA MOYO SANA..., NGUVU ZINATUISHIA, UKIZINGATIA HATA SIKUKUU WENGI WETU TUMESHINDWA KUISHEHEREKEA, MUNGU ANAWAONA!
Tajiri wa Chalinze na mbunge wao Kwa kushirikiana na waturuki sijui waliouziwa maliasil yetu ipi wamechinja ng'ombe 1500 ungeenda kuchukua nyama. Kweli Bashiru na Ndugai tutawakumbuka. Kama CCM wanavunja Katina Kwa nini hawakuachiwa wakaitikisa tu.
 
Sijui kwa nini mkoloni mzungu alifukuzwa kwa mbwembwe nyingi vile enzi hizo
Na afukuzwe tena, ikibidi wasiruhusiwe kutembea barabarani. Yaani wakamatwe watiwe viboko, wafungwe pingu, na kuburuzwa kwenye matenga, kuanzia Lubumbashi mapka kapiri mposhi.

Wazungu hawa walibaka, waliua, waliiba, walitesa na kufanya kila aina dhambi, yaani walienda kinyume kabisa na amri kumi za Mungu.

Wafukuzwe tena.
 
I
Na afukuzwe tena, ikibidi wasiruhusiwe kutembea barabarani. Yaani wakamatwe watiwe viboko, wafungwe pingu, na kuburuzwa kwenye matenga, kuanzia Lubumbashi mapka kapiri mposhi.

Wazungu hawa walibaka, waliua, waliiba, walitesa na kufanya kila aina dhambi, yaani walienda kinyume kabisa na amri kumi za Mungu.

Wafukuzwe tena.
Haohao ndo wamekuletea hizo amri 10
 
Akizungumza mbele ya Maelfu ya wananchi huko Itigi, Tundu Lissu, huku akijiamini kupita kawaida, amesema kwamba, baada ya Rushwa hiyo Kabambe, Wafanyabiashara hao wakaruhusiwa kuongeza shilingi elfu 1 kwenye kila kilo na kuvuna hela haramu Bil 27 kwa kila mfanyabiashara, hela hizi zilitokana na kukamuliwa Watanzania ambao mara zote wanaitwa Wanyonge.

Lissu amedai kwamba Vibali hivyo vilitolewa kwa Marafiki na Jamaa zao wa Karibu katika mpango Muruwa wa Nifae leo nikufae kesho .

Kwa vile Sakata hili ndio kwanza limeanza basi Jitahidi sana kubaki hapa JF ili kujua Mnyororo wote wa Waliohusika, kuanzia Serikalini hadi kwenye Bodi ya Sukari.

Liwalo na Liwe

View attachment 3019630


=====

Pia soma:

- Luhaga Mpina na Tundu Lissu, msiishie kwenye sukari tu, bali chunguzeni na biashara ya kukopesha mitandaoni
Maza huwezi kusikia ametengua uteuzi kutoka kwenye hii mikoa Zanzibar, Pwani na Tanga na ndiyo ina viongozi wa hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom