Pre GE2025 Itigi: Tundu Lissu adai kila Mfanyabiashara alitoa Rushwa ya Tsh Bil 9 ili kupata kibali cha Kuagiza Sukari

Pre GE2025 Itigi: Tundu Lissu adai kila Mfanyabiashara alitoa Rushwa ya Tsh Bil 9 ili kupata kibali cha Kuagiza Sukari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa hiyo wanampuuza hivi sasa kwani Zamani hawakumpuuza? Au unasemaje Chawa?
zamani alijifanya so special than special itself 🐒

alivyoaanza kuomba omba tu kuchangiwa wanainchi, licha ya kulipwa mamilioni ya fedha na Bunge, wakajua hili ni Tatizo na sasa hawataki tena, jitu zima na akili na nguvu zake linaomba omba kweli?🐒
 
zamani alijifanya so special than special itself 🐒

alivyoaanza kuomba omba tu kuchangiwa wanainchi, licha ya kulipwa mamilioni ya fedha na Bunge, wakajua hili ni Tatizo na sasa hawataki tena, jitu zima na akili na nguvu zake linaomba omba kweli?🐒
He is still special except for haters like you
 
Watu watakuja humu kuulizia ushahidi. Yaani the charge of life style pekee haziwezi kuwapa majibu. Mke wa Bashe inasemekana anapokea pesa kwenye mabegi.

Kuna haja ya kuanza kuwafangia viongozi wetu LIFE STYLE AUDIT.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-06-01-12-24-33-217_com.instagram.android.jpg
    Screenshot_2024-06-01-12-24-33-217_com.instagram.android.jpg
    377.2 KB · Views: 1
Tajiri wa Chalinze na mbunge wao Kwa kushirikiana na waturuki sijui waliouziwa maliasil yetu ipi wamechinja ng'ombe 1500 ungeenda kuchukua nyama. Kweli Bashiru na Ndugai tutawakumbuka. Kama CCM wanavunja Katina Kwa nini hawakuachiwa wakaitikisa tu.
Hiyo ndiyo Msoga Kingdom!
 
Issue Kama hizi ndizo zinatoa uhalali kwa JPM kuchukua fedha kwenye akaunti ya mfanyabiashara! Yes he was right!

Haiwezekani mfanyabiashara afanye ufisadi wa kuhujumu nchi, na kujitengenezea mabilion ya fedha kwa kuumiza wanyonge, then umtazame tu

Vyombo vya Usalama vikithibitisha kuwa mfanyabiashara amefanya hujuma ya kujipatia billions, nyang'anya pesa zote zikajenge fly over ili raia walioteseka kwa hujuma waende wakafurahie kuseleleka kwenye fly over!

Amiri jeshi kumpeleka mahakamani mhujumu wa Taifa lako ni aibu
Takukuru ndio wafanye hio kazi ya kupeleka watu mahakamani!


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Inasemekana!!?..na mnataka muaminiwe kwa maneno ya kusemekana!?..anapokea hela kwenye mabegi,kila siku,toka kwa nani!?..ni pesa haramu!?..acheni unafikiri na uchakubimbi,haipendezi kwa mtu mwenye korodani na ndevu
Hutaki , ACHA .... Lakini huo ndio UKWELI wenyewe.
 
Akizungumza mbele ya Maelfu ya wananchi huko Itigi, Tundu Lissu, huku akijiamini kupita kawaida, amesema kwamba, baada ya Rushwa hiyo Kabambe, Wafanyabiashara hao wakaruhusiwa kuongeza shilingi elfu 1 kwenye kila kilo na kuvuna hela haramu Bil 27 kwa kila mfanyabiashara, hela hizi zilitokana na kukamuliwa Watanzania ambao mara zote wanaitwa Wanyonge.

Lissu amedai kwamba Vibali hivyo vilitolewa kwa Marafiki na Jamaa zao wa Karibu katika mpango Muruwa wa Nifae leo nikufae kesho .

Kwa vile Sakata hili ndio kwanza limeanza basi Jitahidi sana kubaki hapa JF ili kujua Mnyororo wote wa Waliohusika, kuanzia Serikalini hadi kwenye Bodi ya Sukari.

Liwalo na Liwe

View attachment 3019630


=====

Pia soma:

- Luhaga Mpina na Tundu Lissu, msiishie kwenye sukari tu, bali chunguzeni na biashara ya kukopesha mitandaoni

Pia Soma:
- Tundu Lissu: Kuna biashara haramu ya utoaji wa vibali vya uagizaji wa Sukari nchini. Siku nikitaja majina mtashangaa
Wanaobisha wamfungulie mashtaka
 
Back
Top Bottom