ITIKAFU ni nini?

Status
Not open for further replies.
Mm binafsi bado namuombea uhai sana Jakaya Mrisho Kikwete, ili baada ya mwaka 2015 ana mshtaka ya kujibu, lazima apande mahakamani, sema hawa wanaitikafu wanataka kutupeperushia ndege wetu!
1.kudanganya WA -TZ kuwa atawapa maisha bora!
2.Kuua raia wema wakiandamana kudai Haki.
3.Kushindwa kusaidia ulinzi wa raia na mali zao! as per katiba!
 
Kanyaboya tu?, mkuu, japo nimeipenda hiyo lakini nimecheka sana
 
Japo huyo uliemnukuu mie simwamini kabisa!...
Ila naomba niuleza swali, kumwombea mtu kifo..sio kati ya haya? (ile haombi mambo ya madhambi na kuvunja undugu)
Ndiyo inaweza kuangukia katika hayo na inaweza isiangukie...ndio maana nikakuambia kuwa ni suala linalotaka upambanuzi.
 
Naambiwa kuna masheikh huwa wanapangua itkaf. Eti mtu anashtakia kwa mungu halafu mungu akiachia adhabu yake - unakwenda kwa mganga anaipangua adhabu hiyo.

Unatoa hela kidogo tu - kuku /mbuzi nk.
 
Kikwete ni mwoga tu kwa sababu anjua maovu anayowafanyia watanzania ni mengi mno. Kwa vile sauti ya wengi ni sauti ya Mkuu wa nchi anaweweseka tu hajiamini.
 
1.Umejuaje kama kachanganya au wewe ni mmoja wapo wa waliomuombea afe?
2. Sasa hawa jamaa wanamuombea mtetezi na promoter wao afe tena?
Kuna jamaa hapa mtaani kwetu anasema hili neno limetokana na na neno itii cuf sasa inaonekana hii misikiti mi 3 inawanachama wengi wa cuf ndio maana wanamsomea hii dua
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…