Itoshe kusema Ali Kiba ana msogo wa mawazo

Itoshe kusema Ali Kiba ana msogo wa mawazo

Kwa hiyo kuwasingizia watu kuchokonolewa ndo matusi sana[emoji1787][emoji1787]
 
Kiba sasa hivi yuko kwenye level za wakina The Weeknd au Ed Sheeran. Huwezi kumfananisha na hawa kina Rayvanny.
 
Kibakuli sijui kiba huyo ali
Alipaswa kutoa list yake kisha ajiweke namba 1 diamond amuweke namba 99 mmakonde hata namba 2 au 3 kina zuchu wake namba 60 namba 5 amuweke hata dudu baya bonta maarifa 7
10 angefunga na ambaluti

Wala asingejiumiza kichwa
 
Siku 10 Soma vizuri.
Ningekuletea video sema staki nisijekuwa chawa want huyo Kibakuli wenu
Sema huna bhan kila mtu c kaiona ile vidio kwa poromota gan anaweza kulipa hy fedha kwa show moja punguza mahaba ya kijinga kwenye ukweli sema ukwel mpka hpo umekuwa zaida ya chawa sio useme hutaki kuja kuwa chawa wake
 
Kiba yupi unamzungumzia? Kiba n
Yuko katika kilele Cha mafaniko ya kimuziki kuliko kipindi chochote kilichopita. Album yake imefanya vizuri sana mwaka huu hasa katika streams mitandaoni.
Kapiga shoo kubwa ugenini zilizomwingizia so chini ya B1 kwa siku karibu 10 alizokaa Marekani.
Sawa alikiba, naona unajikosha kupitia hii AIDII
 
Ukweli ni kwamba,hutarajii meneja wa wasafi akatoa maoni kuhusu hasimu wa diamond ,na alikiba aione halafu akae kimya..

Kiuhalisia alikiba huwa hapendi shobo so ni lazima angejibu tuu yaani lazima angawakata ngebe tu.

Kilichofanyika hapo ni propaganda ya kuendelea kimshusha ali kwa kigezo cha mawazo huru.

Naona ali yuko sawa tu,wao sio miungu kwamba lazima wasemee muziki wa tanzania.

Waambiani waache shobo.
 
Kulikua kuna haja gani ya yeye kuwajibu mameneja Wa WCB? Kwamba kosa ni yeye kuwekwa No. za mbali katika zile Top ten za wale Mameneja?

Ile ni mitazamo binafsi ya watu, kulikua na haja gani kuanza kubisha kwa maneno ya hovyo yaliyokosa stahaa kama sio stress zinamsumbua King wetu huyu?
Hebu tujadilini

[emoji3544] Alikiba awachana mameneja wawili wa Wasafi kwa kutoa orodha yao ya wasanii 10 bora kwa mwaka 2022, huku akijitapa kuwa King.

Alikiba ameandika, "I think mmeshajulikana kama nilazima mchokenol*we, Ndio mfunction, ili jambo lenu liende. Nilitamani kumwambia Njomba kimbulu asiwachok*noe maana mtakua mmekamilisha malengo yenu kwa bahati mbaya Njomba Hajawagundua ila mimi nawajua vizuri for your [emoji3482], Sisumbuki tena."

"Najua hata hiki nilicho kiongea hapa kitawasaidia kwasababu mimi ni KING wenu tena, maana msije mkasema waporini wakati ni wewe ndio waporini. Tena mmekaa kikao kujadili na kurank wasanii, WHO ARE YOU? Nitaongea jambo lenu likiisha, Haya sasa nadhani nimewachokun*a vyakutosha tena kwa malengo mnayoyataka, have nice show."
Stressed Kiba
giphy.gif
 
Kulikua kuna haja gani ya yeye kuwajibu mameneja Wa WCB? Kwamba kosa ni yeye kuwekwa No. za mbali katika zile Top ten za wale Mameneja?

Ile ni mitazamo binafsi ya watu, kulikua na haja gani kuanza kubisha kwa maneno ya hovyo yaliyokosa stahaa kama sio stress zinamsumbua King wetu huyu?
Hebu tujadilini

[emoji3544] Alikiba awachana mameneja wawili wa Wasafi kwa kutoa orodha yao ya wasanii 10 bora kwa mwaka 2022, huku akijitapa kuwa King.

Alikiba ameandika, "I think mmeshajulikana kama nilazima mchokenol*we, Ndio mfunction, ili jambo lenu liende. Nilitamani kumwambia Njomba kimbulu asiwachok*noe maana mtakua mmekamilisha malengo yenu kwa bahati mbaya Njomba Hajawagundua ila mimi nawajua vizuri for your [emoji3482], Sisumbuki tena."

"Najua hata hiki nilicho kiongea hapa kitawasaidia kwasababu mimi ni KING wenu tena, maana msije mkasema waporini wakati ni wewe ndio waporini. Tena mmekaa kikao kujadili na kurank wasanii, WHO ARE YOU? Nitaongea jambo lenu likiisha, Haya sasa nadhani nimewachokun*a vyakutosha tena kwa malengo mnayoyataka, have nice show."
Stressed Kiba
giphy.gif
 
Ukweli ni kwamba,hutarajii meneja wa wasafi akatoa maoni kuhusu hasimu wa diamond ,na alikiba aione halafu akae kimya..

Kiuhalisia alikiba huwa hapendi shobo so ni lazima angejibu tuu yaani lazima angawakata ngebe tu.

Kilichofanyika hapo ni propaganda ya kuendelea kimshusha ali kwa kigezo cha mawazo huru.

Naona ali yuko sawa tu,wao sio miungu kwamba lazima wasemee muziki wa tanzania.

Waambiani waache shobo.
Simple mtu akikwambia wewe sio bora, ina maana ina maanisha wewe sio bora?

Pili huwezi kupinga mawazo ya mtu binafsi tupo kwenye ulimwengu wa Demokrasia na si kutaka kudiktate mawazo ya watu.

Obama katoa List ya nyimbo anazo sikukiliza kwa mwaka ushasikia msanii yoyote wa USA akilalamika? Zito naye katoa list ya nyimbo zake bora za mwaka huu ushasikia msanii yoyote akilalamika,sababu moja Obama na Zito wametumia haki zao za uhuru wa kujieleza,kama Sallam na Tale walivyofanya.

Huu ulimwengu wa Demokrasia huwezi kumpangia mtu cha kuongea na ule ni mtizamo binafsi na si boomplay, audiomack,iTunes,BET Awards,Grammy,Bilboard chat nk.

Kama yeye anajiita King, mbona wenzake hawalalamiki, sababu ni mtizamo wake binafsi na hata kesho kuna msanii mwengine anaweza kujiita na hasimfanye lolote.
 
Ukweli ni kwamba,hutarajii meneja wa wasafi akatoa maoni kuhusu hasimu wa diamond ,na alikiba aione halafu akae kimya..

Kiuhalisia alikiba huwa hapendi shobo so ni lazima angejibu tuu yaani lazima angawakata ngebe tu.

Kilichofanyika hapo ni propaganda ya kuendelea kimshusha ali kwa kigezo cha mawazo huru.

Naona ali yuko sawa tu,wao sio miungu kwamba lazima wasemee muziki wa tanzania.

Waambiani waache shobo.
Kwani mkuu kiba anavyojiita King kwani kuna msanii yoyote amewahi kulalamika include WCB wenyewe?
 
Ila hata kama ni wewe kweli Alikiba ni WA kupitwa na Lava lava jamani
 
Back
Top Bottom