Itoshe kusema CCM ni kisiki cha mpingo!

Nchi ipo kwenye maandalizi Muhimu sana matatu kwa sasa,

1.maboresho daftari la kudumu la wapiga kura,

2.uchaguzi wa serikali za mtaa 2024

3.uchaguzi mkuu 2025...
Mambo yote haya yanahitaji muda wa kutosha, fedha za kutosha na umakini mkubwa.....
Unaweza kufanya marekebisho kwenye katiba mpya kitu ambacho kinawezakana kabisa
 
nakukumbusha hujaandika namba ya simu mkuu
 
Unaweza kufanya marekebisho kwenye katiba mpya kitu ambacho kinawezakana kabisa
hakuna kinachowezekana kwa sasa kuhusu katba mpya ispokua hayo niliyo yaeleza hapo juu.

Ile kitu ndogo yawezafanyika ni kurekebisha sheria, kanuni na taratibu za uchaguzi na kidogo tume ya uchaguzi
 
hakuna kinachowezekana kwa sasa kuhusu katba mpya ispokua hayo niliyo yaeleza hapo juu.

Ile kitu ndogo yawezafanyika ni kurekebisha sheria, kanuni na taratibu za uchaguzi na kidogo tume ya uchaguzi
Sasa tume si iwe huru na huku mnakubalikana makada wa CCM wasiwe wasimamizi!
 
calm down Commander, ni mtazamo tu masela msijenge chuki

..DOLA inawabeba Ccm kwa kiwango kikubwa.

..pia Tanu / Ccm ilianzishwa miaka 38 kabla ya vyama vya upinzani kuanzishwa hapa Tanganyika / Tanzania.

..pamoja na kuzidiwa kiukwasi na kiumri ,vyama vya upinzani vimejipambanua na vimeizidi Ccm ktk kuwa na hoja zinazotetea wananchi.
 
Nchi ipo kwenye maandalizi Muhimu sana matatu kwa sasa,

1.maboresho daftari la kudumu la wapiga kura,

2.uchaguzi wa serikali za mtaa 2024

3.uchaguzi mkuu 2025...
Mambo yote haya yanahitaji muda wa kutosha, fedha za kutosha na umakini mkubwa.....

..matatizo ktk mfumo wetu wa uchaguzi yanajulikana kwa muda mrefu.

..tatizo ni kwamba kumekosekana utashi wa kuyatatua.

..Na utashi huo unakosekana kwasababu matatizo na kasoro ktk mifumo yetu ya uchaguzi ni moja ya turufu za ushindi za chama kilichoko madarakani.
 
Chama kinachokubalika hakiwezi kuwa kinaingiza kura zilizopigwa tayari kwa mgombea wake kwenye mabegi.

Chama kinachokubalika hakiwezi kuteka mawakala wa vyama pinzani.

Chama kinachokubalika hakiwezi kuwazimia mitandao ya kijamii kutoka October 28 hadi November 3.

Chama kinachofanya hivyo ni cha kijambazi na hakina uhalali wa kuongoza nchi.
 
mie nadhani utashi na nia ya serikali kushughulika na jambo hilo iko wazi kabisa na 2026 sio mbali hata kidogo.

Shida ni kukosekana kwa subra na ustahimilivu kwa miongoni mwa makundi binafsi ya wasioridhika na wenye tamaa za vyeo na madaraka ya kisiasa....
 
hili igizo halijawahi kuthibitika na kuleta badiliko lolotsee....

Tuliahidi, tumetekeleza, tunasonga mbele....
 
Wananchi gani hao?, unamaanisha Yanga right?
 

..naheshimu maoni yako.

..Ccm haikutekeleza kwa kikamilifu mapendekezo ya tume ya Jaji Mkuu Francis Nyalali kuhusu namna ya kuanzisha mfumo wa vyama vingi hapa nchini.

..Ripoti ya Jaji Nyalali ilitoka mwaka 1992 au 1993. Huwezi kusema Watanzania hawana subira au ustahamilivu wakati wamekuwa waungwana na wamevumilia hali iliyopo kwa miaka 30+.
 
NONSENSE!!!!!
 
Hivi mtu mzima kujikomba inaleta tafsiri gani?
inaleta tafsiri ya kutamani kujifunza na kuongeza uelewa zaidi juu ya masuala mbalimbali yanayoendelea nchini na duniani kisiasa, kiuchumi na kijamii....

ikiwa huna haja ya hayo unatulia tuli na kupita kimyakimya haidhuru....

Hata hivyo, hongera kutumia uhuru wako wa kutoa maoni 🐒
 
nikuhakikishie under Dr SSH administration, 2026 tunapata katiba mpya na madhaifu yote ya nyuma yatazikwa rasmi kwenye katiba mpya kama hiyo ndio muarobaini wa changamoto zote nchini....

Let's relax, wait and see it
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…